Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

Hio hali ni hali ambayo unaweza kuibadilisha, hasira unaweza kuibadilisha wewe mwenyewe tena kwa kupuuzia tu, kuwa aah kwani kitu gani, najikumbuka mimi mwenyewe nilikuwa nina hasira sana, nyumbani balaa ni kila wakati sitaki kuonewa na rafiki wala kaka wala dada angu, lakini huwezi amini nimejicontrol mpk sasahivi nimekuwa raia wa kawaida kabisa, ata unifanye nini sina time kabisa, tabia hio ukiwa nayo inaendana na kukosa usingizi unakuwa mtu wa mawazo usiku kucha, nimeacha vyote ata unifanye nini sshivi nakoroma tuu yaani nasahau kabisa kama ulinifanya kitu, kwaiyo jicontrol tu, maana hio hali ni hatari kwa afya yako na kwa sifa ya mtoto wa kike
Kumbe kale kautafiti cha juzi kwamba kukosa usingizi ni dalili moja wapo ya ugonjwa wa kichaa 1:4.
 
Niwe tu mkweli nimecheka sana, eti natetemeka kama teja, nalipuka kama bomu na kupiga mateke. Btw pombe sio nzuri hasa kwa jinsia yako, na kama utaendelea hivi itakuletea matatizo makubwa sana.

Sasa bby boi umempa vip maziwa wakati ulikuwa tungi
Si kuna formula mkuu tulia
 
habari zenu wakuu.

ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..

kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..

wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.

asanteni
kunywa babu maana ni hatari. tafuta mmpenzi wa kuku fariji kwa karibu sana
 
nimewahi kumchioma mtu visu
nimewahi kumkata mtu vidode
nimewahi kumpiga mtu chupa za bia km 10
housegirl wangu alinizingua defender lilihamia mtaani
nilishambutua mwanamke mmoja mchepuko wa bwana wangu zamani nikavunja karibu vitu vyote baa nzima '''' yesu kristu wa nazaret .. bint yangu ananisemesha akiwa amesimmama mita kadhaa maana anajua mama mkali nikiwepo huwa anatii sheria hahaha'

mpangaji mwenzangu wa kiume aliniletea uswahili hahahaha mpaka leo tunaheshimiana.. wakike tunasalimiana tu tunapishana sitaki mazoea nao maana wanawake na majungu ntawekwa kwenye nondo

nikichukia navunja vitu, nalia.. ama natapika pamoja na kujikata wakati mwingine damu ikitoka napata ahueni

nina hasira za papo kwa papo lakini pia ni mwenye huruma sana na sipendi kukasirisha WENGINE
Duuu wewe unahitaji zaidi ya maombi au ubatizo wa moto huu wa maji haitoshi
 
ukikasirika au ukiwa na hacra sana, hesabu 1 had 20 mara 2 au 3, hacra zote kwisha. tena hesab kmya kmya. jarb utafankwa
 
Duuu wewe unahitaji zaidi ya maombi au ubatizo wa moto huu wa maji haitoshi
sema ukiweza kunidhibiti ukanipa dushe bhaaas hasira inapotea ila dushe lenyewe liwe la uhakika nasahau kabisa km nilikasirika .....sema mtiti ni kunikamatia chini wakati huo
 
mbona sasa, tafuta nyumba ndogo
Habari zenu wakuu.

Ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..

kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..

wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.

asanteni
 
Habari zenu wakuu.

Ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..

kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..

wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.

nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.

asanteni
Unatakiwa uache kujishtukia
 
Back
Top Bottom