Nahitaji kibarua cha 4,000 kwa siku

Nahitaji kibarua cha 4,000 kwa siku

📌Kama upo Tegeta nenda Chemicotex pale karibu na Jogoo kama sikosei.
📌Buguruni nenda kiwanda cha Barkhresa
📌Mbagala nenda kiwanda cha Barkhresa au Tiles
📌Tabata kuna nasikia kiwanda cha mhindi kinaitwa Guantenam mateso kama upo mateka vile Guatenum bay😂😂😂
📌Ubungo nenda Mkapa Processing Zone pale External hakikisha una kitambulisho cha Nida
📌Nenda kwenye masoko makubwa kama Ilala kuna kazi za nguvu za kubeba mizigo ,pia unaweza enda mchikichini kariakoo .
📌Temeke nenda Bandarini ukapakue mizigo

Zingatio:Hakikisha unaenda mapema sana saa 11 ushafika kiwandani kabla hawajafika wafanyakazi kaa getini pale sikilizia supervisor pia jaribu kuwa mchangamfu kwa wale utakao waona getini ulizia taarifa wanaingiaje
 
Wabongo walivyo wachawi ndio wanapenda mtu awe hivi.....
Ukileta thd kua maisha yako ni mazuri na umetusua,kila mtu atakusema vibaya,wengine watasema unaongopa tu coz umepigika hata kama mtu hakujui! ila ukileta thd kua umepigika kila mtu anakua na huruma na wewe!

😀😀😀😀
 
Kama upo siriaz ngoja nikupe mbinu za kupata kibarua kwa urahisi mtaani, nendeni kitaa kajitolee kupiga kazi bure hata kwa wiki halafu jipendekeze sana kwa msimamizi baada ya wiki unaingizwa kwenye system, mfano wa hizo sehemu ni Kama, carwash, mahotelini, vijiwe vya kuziba pancha, site za ujenz na kadhalika.
 
[emoji419]Kama upo Tegeta nenda Chemicotex pale karibu na Jogoo kama sikosei.
[emoji419]Buguruni nenda kiwanda cha Barkhresa
[emoji419]Mbagala nenda kiwanda cha Barkhresa au Tiles
[emoji419]Tabata kuna nasikia kiwanda cha mhindi kinaitwa Guantenam mateso kama upo mateka vile Guatenum bay[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji419]Ubungo nenda Mkapa Processing Zone pale External hakikisha una kitambulisho cha Nida
[emoji419]Nenda kwenye masoko makubwa kuna kazi za nguvu za kubeba mizigo ,pia unaweza enda mchikichini kariakoo .
[emoji419]Temeke nenda Bandarini ukapakue mizigo
Hiyo Guantanamo tabata nasikia hayo mateso ya vibarua ni usipime

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ka
Kama upo siriaz ngoja nikupe mbinu za kupata kibarua kwa urahisi mtaani, nendeni kitaa kajitolee kupiga kazi bure hata kwa wiki halafu jipendekeze sana kwa msimamizi baada ya wiki unaingizwa kwenye system, mfano wa hizo sehemu ni Kama, carwash, mahotelini, vijiwe vya kuziba pancha, site za ujenz na kadhalika.
Katika njia hizo we umepata kazi gani hapo.
 
Kama upo siriaz ngoja nikupe mbinu za kupata kibarua kwa urahisi mtaani, nendeni kitaa kajitolee kupiga kazi bure hata kwa wiki halafu jipendekeze sana kwa msimamizi baada ya wiki unaingizwa kwenye system, mfano wa hizo sehemu ni Kama, carwash, mahotelini, vijiwe vya kuziba pancha, site za ujenz na kadhalika.
Hahaha jf sihami. Hizo pancha atazibia wapi? Hebu toa location.
 
Hahaha jf sihami. Hizo pancha atazibia wapi? Hebu toa location.
Watu wa jf wengi bongo zenu zimejaa negativity sana, nikupe mfano hai kutoka kwangu, by 2010 namaliza six nilpigika kitaa mwaka mzima bila ishu ya kuniingizia hata jero, maisha ya kupiga mzinga yakanishinda kufikia 2011 nikaingia kitaaa kutafuta vibarua, so far haikuwa rahisi kila unapoenda kuomba kibarua hata cha usaidizi wa ujenzi unaambiwa tumejaa, baadaye nilkuja gundua watz wengi tupo wabinafsi hata mikazi ya nguvu watu tunabaniana yaani wanaona ukiongezwa utapunguza kipato chao, thanks God ktk kawoshi moja niliyowahi toswa kwa kuambiwa tumejaa, nikarudi nikasoma mchezo nikamwona mmoja wa waoshaji pale ambaye ndo alikuwa mbabe wao nikamfata nikamzuga bro tangu Jana sijala naomba nikusaidie Leo mpaka jioni utanipa buku tu nipate wali maharage, kwel mbinu ikakubalika jamaa kila gari inayokuja likawa linanitolea makapeti naosha jioni likanitoa elf3 na likaniambia na kesho njoo, nilionyesha bidii na ndani ya wiki likawa limenifundisha kuosha gari nzima at the end nikawa kibarua wa hapo mwaka mzima nikazichanga na kupata hela ya kuingia mgodini bulyanhulu mpaka Leo nishatoboa maisha kupitia hiyo mbinu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom