Msaada: Nahitaji soil stabilizer machine ya kukodi – Dar es Salaam

Msaada: Nahitaji soil stabilizer machine ya kukodi – Dar es Salaam

JOH CARLOS

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2016
Posts
583
Reaction score
272
NAHITAJI SOIL STABILIZER MACHINE YA KUKODI – DAR ES SALAAM

Habari wana JamiiForums,

Natafuta Soil Stabilizer Machine / Recycler ya kukodi kwa ajili ya kazi ya road construction/soil stabilization, preferably Wirtgen WR series au machine yenye uwezo unaofanana.

📍 Location: Dar es Salaam
🔧 Inahitajika kwa: C1 works
📅 Rental: Short-term
0753403263

Mwenye kampuni, contractor au anayejua sehemu yenye machine hiyo ya kukodi tafadhali ni-PM au acha contact hapa.

Asanteni.
 
Back
Top Bottom