Umevunja dau la Mwenye uzi
Habari mkuu, naweza vipi kwenda kubeba box? Au ni kazi inayohitaji wasomi? Niko tayariTsh 4,000 kwa siku ni sawa na dola 2 kwa siku.
Halafu Kuna watu humu utawasikia wanawakatisha tamaa watanzania kwenda kubeba boksi ulaya anapolipwa dola 5-10 kwa saa
Mkuu unakuta ni kweli tunavitu vya kugawana ridhiki na wenzetu ila sasa rafiki nahisi mwenyewe umeshuhudia baada ya kusema kila mtu aandika japo kwa vifaa hivyo atavitumia vipi na kuingiza vipi kipato ili tugawane,lakini Cha ajabu unakuta hesabu zinazopigwa ni za uongo tupu na ambazo zinahitaji kuongeza na gharama zingine pi so kibongobongo ni ngumu sana kuwezeshana bado watu hawajajua kutumia fursaHumu JF unakuta mtu anasema katumia zaidi ya 350K ili kunywa na mwanamke same person hayupo radhi kumpa 350K mleta uzi as mtaji wa kupata zaidi ya elfu 4 kwa siku.
Instead unakuta uzi wa mtu kama Ugumu wangu akifanya sadaka rawe ya vifaa vya kamera (kama kweli anavyo) and yet hata watu wakireach out kwamba mzee sasa tuendeleze mchakato wa ulichokisema hua inakua komedi.
So at its core JF ni sehemu ya kuja kubrag, show off, kutukanana, kuumizwa roho on you being broke etc.
Niliwahi kupata kazi nikiwa hoi bin taabani, nina hali mbaya sana lakini namshukuru Mungu nilipata kazi siku hiyo.Nahitaji kazi kwenye kampuni ya kuzoa taka, naishi Dar!
Na wawezeshaji mna ugumu wenu piaMkuu unakuta ni kweli tunavitu vya kugawana ridhiki na wenzetu ila sasa rafiki nahisi mwenyewe umeshuhudia baada ya kusema kila mtu aandika japo kwa vifaa hivyo atavitumia vipi na kuingiza vipi kipato ili tugawane,lakini Cha ajabu unakuta hesabu zinazopigwa ni za uongo tupu na ambazo zinahitaji kuongeza na gharama zingine pi so kibongobongo ni ngumu sana kuwezeshana bado watu hawajajua kutumia fursa
Wewe hukusoma na kuelewa mkuu siwezi kutoa contact kabla sijapata mawazo yako toa mawazo yako kwenye uzi niyasome au njoo pm andika mawazo yako then nikipendezwa ndio mazungumzo yanaanzsNa wawezeshaji mna ugumu wenu pia
Mi nilikuambia acha contacts ukagoma
Ni kawaida mkuu, hata huku mtaani wapo wenye pesa hawagaii wasio na pesa. Sio rahisi Kama unavyosema...kila mtu na mipango yake na maisha yakeHumu JF unakuta mtu anasema katumia zaidi ya 350K ili kunywa na mwanamke same person hayupo radhi kumpa 350K mleta uzi as mtaji wa kupata zaidi ya elfu 4 kwa siku.
Instead unakuta uzi wa mtu kama Ugumu wangu akifanya sadaka rawe ya vifaa vya kamera (kama kweli anavyo) and yet hata watu wakireach out kwamba mzee sasa tuendeleze mchakato wa ulichokisema hua inakua komedi.
So at its core JF ni sehemu ya kuja kubrag, show off, kutukanana, kuumizwa roho on you being broke etc.
4000 ni dollar 1 na pointTsh 4,000 kwa siku ni sawa na dola 2 kwa siku.
Halafu Kuna watu humu utawasikia wanawakatisha tamaa watanzania kwenda kubeba boksi ulaya anapolipwa dola 5-10 kwa saa
Uko sahihiNi kawaida mkuu, hata huku mtaani wapo wenye pesa hawagaii wasio na pesa. Sio rahisi Kama unavyosema...kila mtu na mipango yake na maisha yake
Mbona unang'ang'ania kampuni ya kuzoa taka tu???Nahitaji kazi kampuni za kuzoa taka
Tunasema watu hawapo seriously na kazi jamani ila tunapotaka kuwawezesha mnatuona hatuna loloteMbona unang'ang'ania kampuni ya kuzoa taka tu???
Kama kuna option ya kazi nyingine?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
nasisitiza kazi ya kuzoa taka sababu elimu yangu nilifeli darasaniMbona unang'ang'ania kampuni ya kuzoa taka tu???
Kama kuna option ya kazi nyingine?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
kama kuna option nyingine nisaidie dadaMbona unang'ang'ania kampuni ya kuzoa taka tu???
Kama kuna option ya kazi nyingine?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
kuna kibarua gani mkuu. nisaidie kama kipoWewe hukusoma na kuelewa mkuu siwezi kutoa contact kabla sijapata mawazo yako toa mawazo yako kwenye uzi niyasome au njoo pm andika mawazo yako then nikipendezwa ndio mazungumzo yanaanzs