Nafikiria kuhama Catholic

Kwamba!!??!!

Anafanya makusudi,
Shida yake Vinci Ile yeye kujiona special sana basi anataka kila mtu amuone hivyo.
Kama Ego haka katoto😂😂😂

Hapo aje alog in afute comments zote 🤣 au kaacha hiyo tabia? Akiii ni maajabu

Atakuja aanze kuwafokea mods kwamba kwa nini hawafuti comments za watu wanaomdhihaki.🤣🤣🤣

Ngoja tuone kama atajikaza kutofuta comments zake😂😂😂😂😂
Sasa mimi najionaje special??? Wanadamu mna maneno
 
Kama Invisible Mafia
 
Alihama MARTIN LUTHER KING, JR.


Wewe ni NANI????

😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

Sasa hapa unaaga ili UTAFUTWE ubembelezwe au nini???
 
Asomewe misa ya pekeyake labda
 
Nilidhani unahama kwa mkanganyiko wa imani kumbe ni matoleo.

Mkuu sababu unataka ukiona wagonjwa na kusaidia yatima kanisa likutambue kwa namna gani yani??
Sio kwamba unafanya hayo kwa ajili ya nafsi yako??

Mimi nikienda kanisana michango ambayo siielewi huwa sitoi nakaa zangu tu, hujalazimishwa kufanya hayo.

Huko kwenye jumuia ndogondogo ndo wana michango balaa na mi huko wala sipo kabisa.

Ila kwa ninachoona unachokikimbia RC huko uendako utakutana nacho tena na tena.
 
Kwani mpaka utuulize? Si wewe uhame tu? Na hautaona Padre yeyote anakuja kukuuliza, huo ndio uzuri wa Kanisa Katoliki
 
Inasikitisha kuona bado unashikilia mpinga kristo aliejivalisha ngozi za kondoo. Hujachelewa ila ukihama kwenye uo upagani hamia kwa kristi tu usiende kwenye dhehebu lingine lolote.
Maana yeye ni mama wa makahaba na amezaa binti wakufanana nae
 
Kanisa ni moja takatifu, katoliki na la mitume.
Usiposadiki. Unaruhusiwa kuhamia.

Siku Maaskofu wengi wa Anglican wanaamia katoliki
Mtume nani aliwahi kuwa mkayoliki?
Wakatoliki waliua wakristo wangap unajua??
 
Inasikitisha sana mlipo. Yani bado haamjawahi kuujua ukristo.
Mungu hayopo wala hajawahi kuwepo katoliki. Wanaenda kwa sababu ni utaratibu tuu.
Lakini kamwee hayupo na wanajua hio
 
Inasikitisha sana mlipo. Yani bado haamjawahi kuujua ukristo.
Mungu hayopo wala hajawahi kuwepo katoliki. Wanaenda kwa sababu ni utaratibu tuu.
Lakini kamwee hayupo na wanajua hio
Thibitisha Mungu hayupo..
 
Thibitisha Mungu hayupo..
Marko 16:17-18
[17]Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;

[18]watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
 
Mathayo 11:17
[17]Tuliwapigia filimbi, wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.


Tunawaambia sana sanaa.
Ila wanamasikio lakini wahasikii.
Wanamacho na hawaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…