Nafikiria kuhama Catholic


Mungu yupo kila mahali. Usinikwoti, sawa mpinga Kristo?
Munguhayupo kila mahali?
Mungu yupo kwenye neno lake na ahadi zake.

Huwezi kumpeleka mungu kwenye uchafu. Ukasema yupo kila mahali.
Kamwe hayupo katoliki, na hajawahi.
Na si katoliki tuu.
Sehem yoyote ambayo watu wamejiwekea taratibu za ibada nje ya neno la mungu. Nje ya utaratibh Mungu alioweka kuabudiwa.
 
Mungu alichagua mahali pakuabudiwa na namna yakuabudiwa.
Nje ya apo woote wafanyao wanajifurahisha kwenge ushetani.
 
Nakazia hapa
Kote ni hivihivi me ata simshauri kuhama abaki tu na dhehebu lake
 
Umri wako ni muhimu kwa kupewa ushauri.
Maana hapo ndipo mzizi wa tatizo.
Tatizo halipo nje. Lipo kwako
 
Jana nilikuona na wale wenzako wavaa madela pale ubalozi wa vatican...vipi ushahama ama badobado
 
Tena huko ndiko balaa kabisa kuna sadaka za kujimaliza! Mara sadaka inayouma kama zuzu vile!
 
Umri wako ni muhimu kwa kupewa ushauri.
Maana hapo ndipo mzizi wa tatizo.
Tatizo halipo nje. Lipo kwako
Kwanini umri wake ni muhimu kupewa ushauri??

Nje ya mada, Mtibeli mbona nyumba yako ipo juu juu sana, huko ulipojenga kunajaa maji au ni ghorofa?? Ina malumalu kila pahala, kwanini??
 
Nilidhani ungemshauri amuelekee kristo.
Enyi wa romani.
Ni lini mtapata akili.
Shida yake haipo huko unakoielekeza, hana tatizo la kiimani bali michango..

Umemfahamu mleta uzi leo?? Sina shaka na kummjua kwake Kristo.

Ewe usie mromani punguza ujuaji.
 
Muda wa magugu kujitenga na ngano umefika
 
Tena hamia burundi itapendeza.
 
Shida yake haipo huko unakoielekeza, hana tatizo la kiimani bali michango..

Umemfahamu mleta uzi leo?? Sina shaka na kummjua kwake Kristo.

Ewe usie mromani punguza ujuaji.
Ni heri uwe mkristo.
Japo mmechagua kuwa madhehebu

Tatizo halijaanza kwenye michango. Michango ni matokeo ya mfumo uliooza
 
Basi ww ni mwabudu sanamu.


Ezekieli 33:8-9
[8]Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo, aiache njia yake, mtu mbaya huyo atakufa katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

[9]Walakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye asiiache; atakufa huyo katika uovu wake, lakini wewe umejiokoa roho yako .
 
Hujui maana ya kuabudu sanamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ