Nafikiria kuachana na mke wangu

Nafikiria kuachana na mke wangu

Nenda mkapime hospitali kwanza kabla hamjachukua maamuzi.
Kama sivyo,Usiache mbachao kwa msala upitao.
 
Ubinafsi sio kitu kibaya .

Ukiona mwanamke hazai ujue 90% shida IPO kwa mwanamke kwakuwa lazima Huyo mwanamke ameshajaribu Sana nje
UNGEJUA! laiti ungejua.
ENEWei ACHA NISIKUHARIBIE weekend ?
 
Haswaaa, hawajui unaweza kuwa una sex ila manii hazina uwezo
Hawaelewi hilo,huwa wanashtuka kumekucha,kashamuacha mwanamke Kwa dharau halafu bidada huko kakutana na kijamaa kinapiga kimoko chali na mimba juu🤓🤓🤓🤓🤓
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
unajuaje kuwa tatizo ni la mkeo
 
UNGEJUA! laiti ungejua.
ENEWei ACHA NISIKUHARIBIE weekend ?
Niharibie Mkuu tu hiyo weekend.

Wanawake wengi ambao hawashiki mimba shida inakuwa kwao maana mwanamke akiona hapati Mimba anaenda jaribu nje.

So Mimi mwenyewe nimechapa Sana wanawake wanaotafuta mimba
 
Usimuache kaka,mimi nimepita changamoto hiyo for 6 years tangu tufunge ndoa lakini tunamshukuru Mungu mke wangu ni mjamzito.kuna dawa za kichina alitumia mke wangu baada ya kuhangaika kwa gynecologists mbalimbali Tz bila mafanikio.Ndani ya mwezi mmoja tu baada ya kutumia akapata ujauzito.So usimuache endelea kutafuta suluhisho utaona ushindi wenye raha mbeleni.
Hakuna dawa ya kichina either unataka kumpiga au mkeo kapewa mimba na MTU mwingine
 
Niharibie Mkuu tu hiyo weekend.

Wanawake wengi ambao hawashiki mimba shida inakuwa kwao maana mwanamke akiona hapati Mimba anaenda jaribu nje.

So Mimi mwenyewe nimechapa Sana wanawake wanaotafuta mimba
So Wewe ni spermdonor?
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
kama swala ni mtoto usijaribu.
hata hivyo miaka mitano ni michache sana.
zamani ningekujibu inbox lakini kwa faida ya wengi na kwakuwa sasa nimekuwa mtu mzima naomba nikujibu haphapa.
  • kwanza niktaarifu kuwa mimi ni mmoja ya watu waliokaa muda mrefu bila mtoto nikiwa na mke kwa ndoa halali ya kanisani kwa zaidi ya miaka ishirini ukiongeza uchumba sugu wa miaka 4 unaweza ona nimekaa naye kwa miaka 24.
  • faida za kuwa naye ni nyingi zaidi ya watoto kwakuwa naziona ndoa za rafiki zangu zilivyo.
  • ikumbukwe kwamba tunapooana kigezo cha kwanza ni kwasababu tumependana na watoto wanakuja kwa hatua nyingine lakini chakwanza huongozwa na upendo.
  • atakayekuja atakuja kwasababu unataka mtoto/watoto kiukweli hautampenda kwakuwa mwanadamu anapenda mtu mmoja tu anayefuata ni by the way.
    • utasikia hivi Gerome huyu ndio mke wake wa kwanza nao watajibu hapana waliachana na mkewe kisa hazai ndo akaoa huyu.
    • hata ukiwa mgane mke wa pili lazima atatambulika kuwa livyofariki yule ndo akamuoa fulani.
  • kiufupi hautapata satisfaction ya love
  • hatukufundishi dhambi kama unaona swala ni mtoto we tafuta mtoto kwingine halafu baki na ndoa yako wako manesi na waalimu kibao hawana pa kushika kubaliana naye terms kuwa utatunza mtoto kwa mwezi utapeleka kiasi fulani cha fedha kwa kutunza mtoto.
  • mwisho kabisa watoto sio muhimu kwakuwa watoto wote tulionao tunapewa na MWENYEZI MUNGU tuwatunze tu mwisho wa siku lazima waondoke kwenye himaya yetu unasomesha mtoto kuanzia chekechea mpaka chuo kwa average ya ada ya milioni tatu kwa mwaka ukihesabu chekechea miaka 2, primary 7, secondary 6 na chuo 3 master 2 jumla kama miaka 20 sawa na 60,000,000/- halafu unakuja kulipwa mahali milioni 3 send off unatumia milioni 10 na mikopo hiyari isiyopungua milioni 20 achilia mbali wazazi mnatoa zawadi ya kiwanja chenye thamani ya milioni 20 halafu jamaa anaondoka na mshahara wa binti yako usiopungua milioni tatu kwa mwezi kwa miasha yake yote. mwezi wa kwanza tu mahali isharudi.
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
kama ni ya kikatoliki ndoa kama hii haipo na haijawahi kuwepo inavinjwa fasta kwakuwa kigezo hakikuwa upendo bali mtoto
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Ukute wewe ndo mwenye shida mkuu. Mmekwisha waona wataalam na kufanya vipimo
 
Niharibie Mkuu tu hiyo weekend.

Wanawake wengi ambao hawashiki mimba shida inakuwa kwao maana mwanamke akiona hapati Mimba anaenda jaribu nje.

So Mimi mwenyewe nimechapa Sana wanawake wanaotafuta mimba
sawa
 
Back
Top Bottom