Nafikiria kuachana na mke wangu

Nafikiria kuachana na mke wangu

tumeshapita changamoto ni hormone
sasa alokwambia hormone ni tatizo permanent la uzazi ni nani?
Hormone mbona zinarekebishika?
We mpk umri huo kuna mwanamke umeshampa ujauzito?
Umeshafanya kipimo cha uwezo wako wa kutungisha mimba?( zingatia sijakuuliza iwapo unadinda au la)mana ndo huwa mnajuaga mradi unasimamisha basi unaweza kutungisha mimba.
If hujawahi kufanya kipimo cha uwezo wa manii zako kuwa na mbegu za kutungisha mimba usimwambie mwanamke hazai!
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.

Kiongozi natamani ningekushauri kwa voice note ila siwezi.

Kiufupi usimwache bali oa mke mdogo .
Mwombe mpaka akubqri kwamba inabidi uoe mke mdogo.

Ni jambo positive kuto kumwacha mke wa ujana wako kama biblia ilivyoagiza.

Na ni jamb positive mkakubqliqna kuhusu kuongeza mke kama ambavyo Ibrahim alifanya.

Na hakuna mtu anaelea wake zake wawili au watatu akabakia kuwa masikini.
NB: anaelea wake sio michepuko.
 
Usimuache kaka,mimi nimepita changamoto hiyo for 6 years tangu tufunge ndoa lakini tunamshukuru Mungu mke wangu ni mjamzito.kuna dawa za kichina alitumia mke wangu baada ya kuhangaika kwa gynecologists mbalimbali Tz bila mafanikio.Ndani ya mwezi mmoja tu baada ya kutumia akapata ujauzito.So usimuache endelea kutafuta suluhisho utaona ushindi wenye raha mbeleni.
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Okay, achana naye tu
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Je mmepima na kuona tatizo lipo wapi.

Ikiwa yeye ndo Ana tatizo oa mke wa pili usianze kumfukuza utakuwa umetengeneza bad karma
 
MUNGU alivyokuwa na maajabu unaachana nae hapo baada ya miezi miwili anapata mwanaume mwingine alafu chap bin vuuu anapewa na mimba, hapo waja watakuona wewe miyeyusho hauna shughuli 🙌 ila achana nae tu inawezekana ikawa ndio njia ya kupata mtoto kwako au kwake ✍️
 
Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu hili.
Mmeshajua shida ni nini? Piteni kwa wataalam mnaweza kupata solution,pia kuna Dr yupo pale Kairuki alimsaidia jamaa yangu,mkewe amejifungua last week.Pia nina Kaka yangu wa hiyari amezunguka mpaka India hakufanikiwa lakini amepata watoto watatu ndani ya miaka mitano ila wote wanazaliwa na miezi saba maana ikivuka hapo kiumbe kinakufa,kuna Dr yupo na clinic yake pale Buyuni njia ya kwenda Chanika,kama utahitaji mawasiliano yao nitakupa, ni rahisi kuchukua kwa hawa jamaa zangu.

Binafsi nakushauri usimwache kwasababu hiyo utampa shemeji psychological torture ya hali ya juu sana.Fanya jitihada ili mjue shida ni nini, kama hakuna solutions then mtafanya mutual agreement 🙏
 
MUNGU alivyokuwa na maajabu unaachana nae hapo baada ya miezi miwili anapata mwanaume mwingine alafu chap bin vuuu anapewa na mimba, hapo waja watakuona wewe miyeyusho hauna shughuli 🙌 ila achana nae tu inawezekana ikawa ndio njia ya kupata mtoto kwako au kwake ✍️
Anapewa mimba na anajifungua mapacha
 
Usiache mwanamke kwa sababu ya kushindwa kuzaa. Wakati unamuoa uliapa mtaishi kwa shida na raha

Habari za muda humu ndani,nawaza kuachana na wife niliyekaa nae kwenye mahusiano miaka 5 kwa maana miaka mitatu tumeishi pamoja.
Sababu iliyofanya kufikiria maamuzi haya ni kukosa mtoto mpaka leo,sasa nafikiria kuanza maisha mapya tu.Naombeni ushauri wenu juu
 
Back
Top Bottom