Labda chuo cha cherani170,000 unataka mtu wa chuo?
Labda chuo cha cherani170,000 unataka mtu wa chuo?
karibu tufanye kaziMuogopeni Mungu wazee,huu unaofanya ni unyonyaji
asante mkuumkuu tena hapo nalipa vizuri sana, ingia mtaani uliza watu wanalipwaje
karibu kazini mkuu, achana na maneno ya mitandao hayaleti kitu mezani.
mitandao inawadanganya mkuu, waje mtaani waone watu wanalipwaje, viwanda vinalipaje.?Watu mnashangaa hio pesa hamjui watu walivyopigika kuna dogo mmoja alikuwa day worker hata sehemu ya kulala analala kwenye vibaraza alikuwa anatafuta sehemu ya kulinda usiku angalau awe anajilaza ndani ya gate.....
Watu mpo out of touch na uhalisia wa kitaa....
Sijui kama ni kuendesha maisha ila ndio uhalisia, hata wewe mwenye kampuni yako huenda ni end to mouth na ukicheleweshewa malipo huchelewi kuuziwa nyumba yako uliyoweka bond bank..mitandao inawadanganya mkuu, waje mtaani waone watu wanalipwaje, viwanda vinalipaje.?
mtu anashangaa degree kufanya kazi hii, nawaalika ofisini waje waone degree holder kama wao wapo na wanaendesha maisha
Vijana hawaelewei uhalisia mkuu, matajiri wanatulipa kulingana na kima cha chini cha serikali kwenye sekta hizi....bado TRA bado uendeshaji nk,Sijui kama ni kuendesha maisha ila ndio uhalisia, hata wewe mwenye kampuni yako huenda ni end to mouth na ukicheleweshewa malipo huchelewi kuuziwa nyumba yako uliyoweka bond bank..
In short it's hard times..., maisha yamekuwa ndivyo sivyo na wabongo wengi ujira hautoshi ni mwendo wa kukopa mwezi huu ili ulipe madeni ya mwezi jana...
mkuu tena hapo nalipa vizuri sana, ingia mtaani uliza watu wanalipwaj
Inasikitisha sana, hapo anaenda kibaruani mwezi mzima akisubiria hiyo laki na sabini kweli!!!Dah maisha haya, hivi atakua analinda usiku kucha? Baridi+mbu kwa 170k🙄
Ulinzi hapana mwanangu, yaani nilinde Mali na watu wakiwa wame lala 😂😂😁Ngoja nifanye application..shida nauli kutoka msongola mpaka eneo la kazi @ 3000 *
Nyumbani mke anataka Kodi ya meza @10,000
Economic of scale inanigomea cc. Raisi wetu wa ma jobless pro max ndugu, Intelligent businessman
HUo mshaara mdogo sana nyie huko askri mnamkodisha kwa laki 7500000 alafu yeye mnamlipa 170? Ndio maana wanawaibia wanalala mbeleHusika na kichwa cha habari hapo juu, kampuni ya secure net limited , yenye makao makuu yake jijini dar es salaam. inatangaza nafasi ya kazi ya ulinzi.
sifa za mlinzi anaehitajika.
Awe mtanzania
Awe anajua kusoma na kuandika vizuri,elimu kuanzia Darasa la saba hadi Chuo, pia waliopita Veta
Awe anajua kuongea kiswahili au kingereza vizuri,Namba ya nida ni Muhimu
Awe ana umri kuanzia miaka 23-45.jinsia ya kiume/ Kike
Awe anaishi Dar es salaam, kazi ipo ilala industrial area. hivyo awe maeneo jirani ili kuepuka usumbufu.
Awe amehudhuria mafunzo ya mgambo au Jkt, (kwa asiye na mafunzo awe tayari kujifunza kazi hii)
Awe tayari kulipwa mshahara wa Tsh 170,000
NB. nafasi ni chache
maombi/Cv zitumwe kupitia email hii
info@secure.co.tz
Labda chuo cha cherani
Mshahara ambao ni chini ya 600 kwa siku! Hawezi hata kununua chai na kitumbua asubuhi, halafu umpe kazi ya kulinda ghala lenye mali yenye thamani ya mabilioni ya shilingi? Mnaleta matatizo yasiyo ya lazima katika jamii.170,000 unataka mtu wa chuo?
Hii ni dhuluma, kwa mshahara huo kwanini walinzi wasiibeHusika na kichwa cha habari hapo juu, kampuni ya secure net limited , yenye makao makuu yake jijini dar es salaam. inatangaza nafasi ya kazi ya ulinzi.
sifa za mlinzi anaehitajika.
Awe mtanzania
Awe anajua kusoma na kuandika vizuri,elimu kuanzia Darasa la saba hadi Chuo, pia waliopita Veta
Awe anajua kuongea kiswahili au kingereza vizuri,Namba ya nida ni Muhimu
Awe ana umri kuanzia miaka 23-45.jinsia ya kiume/ Kike
Awe anaishi Dar es salaam, kazi ipo ilala industrial area. hivyo awe maeneo jirani ili kuepuka usumbufu.
Awe amehudhuria mafunzo ya mgambo au Jkt, (kwa asiye na mafunzo awe tayari kujifunza kazi hii)
Awe tayari kulipwa mshahara wa Tsh 170,000
NB. nafasi ni chache
maombi/Cv zitumwe kupitia email hii
info@secure.co.tz