teetotaller
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 317
- 214
Husika na kichwa cha habari hapo juu, kampuni ya secure net limited , yenye makao makuu yake jijini dar es salaam. inatangaza nafasi ya kazi ya ulinzi.
sifa za mlinzi anaehitajika.
Awe mtanzania
Awe anajua kusoma na kuandika vizuri,elimu kuanzia Darasa la saba hadi Chuo, pia waliopita Veta
Awe anajua kuongea kiswahili au kingereza vizuri,Namba ya nida ni Muhimu
Awe ana umri kuanzia miaka 23-45.jinsia ya kiume/ Kike
Awe anaishi Dar es salaam, kazi ipo ilala industrial area. hivyo awe maeneo jirani ili kuepuka usumbufu.
Awe amehudhuria mafunzo ya mgambo au Jkt, (kwa asiye na mafunzo awe tayari kujifunza kazi hii)
Awe tayari kulipwa mshahara wa Tsh 170,000
NB. nafasi ni chache
maombi/Cv zitumwe kupitia email hii
info@secure.co.tz
sifa za mlinzi anaehitajika.
Awe mtanzania
Awe anajua kusoma na kuandika vizuri,elimu kuanzia Darasa la saba hadi Chuo, pia waliopita Veta
Awe anajua kuongea kiswahili au kingereza vizuri,Namba ya nida ni Muhimu
Awe ana umri kuanzia miaka 23-45.jinsia ya kiume/ Kike
Awe anaishi Dar es salaam, kazi ipo ilala industrial area. hivyo awe maeneo jirani ili kuepuka usumbufu.
Awe amehudhuria mafunzo ya mgambo au Jkt, (kwa asiye na mafunzo awe tayari kujifunza kazi hii)
Awe tayari kulipwa mshahara wa Tsh 170,000
NB. nafasi ni chache
maombi/Cv zitumwe kupitia email hii
info@secure.co.tz