Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

barbieloree

Member
Joined
Jan 2, 2024
Posts
35
Reaction score
91
Habari wana JamiiForums.

Natafuta nafasi ya kazi yoyote nitakayopewa kulingana na uwezo wangu. Kwa sasa sina ujuzi maalum wa kitaalamu, lakini niko tayari kujifunza, kufanya kazi kwa bidii na kufuata maelekezo.

Nipo Dar es Salaam na niko tayari kuanza kazi mara moja.

Kama kuna mtu anajua nafasi ya kazi au kampuni inayohitaji mtu wa kuajiriwa, naomba mnisaidie kwa mawasiliano.

Asanteni sana
 
Habari wana JamiiForums.

Natafuta nafasi ya kazi yoyote nitakayopewa kulingana na uwezo wangu. Kwa sasa sina ujuzi maalum wa kitaalamu, lakini niko tayari kujifunza, kufanya kazi kwa bidii na kufuata maelekezo.

Nipo Dar es Salaam na niko tayari kuanza kazi mara moja.

Kama kuna mtu anajua nafasi ya kazi au kampuni inayohitaji mtu wa kuajiriwa, naomba mnisaidie kwa mawasiliano.

Asanteni sana
Mkuu kilimo kinapanda mwenzio napiga jembe mwanzo mwisho porini huku mjini nanusa tu lakini miezi minane yote kwenye mwaka namalizia porini liwale huku,nanjilinji maeneo yapo kibao mapori ya kutosha kabisaaa your welcome 🤗.
 
Habari wana JamiiForums.

Natafuta nafasi ya kazi yoyote nitakayopewa kulingana na uwezo wangu. Kwa sasa sina ujuzi maalum wa kitaalamu, lakini niko tayari kujifunza, kufanya kazi kwa bidii na kufuata maelekezo.

Nipo Dar es Salaam na niko tayari kuanza kazi mara moja.

Kama kuna mtu anajua nafasi ya kazi au kampuni inayohitaji mtu wa kuajiriwa, naomba mnisaidie kwa mawasiliano.

Asanteni sana
Nicheki Dm ndugu yangu tuongee vizuri
 
Ndio lakini sio ya ulinzi me wa kike na 24 sijawahi pita hata mgambo nawezaje kulinda hizo mali za watu kiasi hicho
Alafu ukiwa unatafuta kazi usiseme huna ujuzi wowote.

Kazi ambazo ziko na zinapatikaa kwa wingi ni za Sales.
Sasa uwe unasema kuwa unaweza kufanya sales and marketing.

Wakikuuliza sales zipi au wapi utasema kuwa ushawah kuuza Duka (liwe la Mangi, nguo au vipodozi), au ushawah kufanya kazi za uwakala na miamala ya simu, nk.

Kwahiyo jifunze na jifanyie mazoezi eneo hilo.

Lakini usiseme Huna ujuzi wowote.
sawa mdogo wangu?. barbieloree
 
Alafu ukiwa unatafuta kazi usiseme huna ujuzi wowote.

Kazi ambazo ziko na zinapatikaa kwa wingi ni za Sales.
Sasa uwe unasema kuwa unaweza kufanya sales and marketing.

Wakikuuliza sales zipi au wapi utasema kuwa ushawah kuuza Duka (liwe la Mangi, nguo au vipodozi), au ushawah kufanya kazi za uwakala na miamala ya simu, nk.

Kwahiyo jifunze na jifanyie mazoezi eneo hilo.

Lakini usiseme Huna ujuzi wowote.
sawa mdogo wangu?. barbieloree
Wazo zuri sana sasa kama hana elimu yoyote na ujuzi hana alikua wapi kipindi chote hicho labda kama alikua nyumbani inabidi kinamuda jichanganye sema hata nilikua MHUDUM wa hoteli ila Kwa sasa sitaki hiyo kazi
 
Back
Top Bottom