Safi kabisa kwa kurusha sandakaraweee atakayepata na apate
Aww asante sana mkuu! mimi nimejitolea tu, silipwi na wala sihitaji kulipwa! hawa wenye njaa siku zote ndio akili zao ziko hivyo basi hawanisumbui wala!Muanzisha thread unafanya kazi kubwa pongezi kwako. Watu wanaobeza hawana Shukrani, kwa UAE,Qatar,Oman,Kuwait na Saudia Arabia waajiri huwa wanawapa watu wawatafutie staff na anayetangaza kazi na kuwaleta huwa analipwa kwa kila mtu atakayepatikana.
Umejiunga juzi tuu hapa unajifanya mjuaji,punguza shobo au upinde wewe?Nimekuja kutoa povu. Haiwezekani wana jf waibiwe na mimi naona