Usishangae kuambiwa Fake News
Ngja tusubiri official page zaoZimetoka???
Official page inasubiriwaUsishangae kuambiwa Fake News 😂
Hivi Viambatanisho A na B viko wapihaya sasa View attachment 2437341View attachment 2437342
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Uhakika unao..au unasema tu ila vijana mnapenda kuturusha roho 😅😅yaaah
Official page inasubiriwa
Ndio tunasubiri hapa piaMaana nimeingia siioni
hii advert nilipost humu kipindi hicho wamepewa kibali. but leo ndio wametoa tangazo la ajira wakuu tupambanie hta kma vigezo ni vigumuUzi upumzishwee.
wa tulio omba fire bila ya kuwa na vigezo husika tupo? Tutatoboa kweli wakuu?
View attachment 2437451
Dah yaani me nikiwazaga urefu wanaotaka napotezaga matumaini nina futi 5'1hii advert nilipost humu kipindi hicho wamepewa kibali. but leo ndio wametoa tangazo la ajira wakuu tupambanie hta kma vigezo ni vigumu
PPoliUzi upumzishwee.
wa tulio omba fire bila ya kuwa na vigezo husika tupo? Tutatoboa kweli wakuu?
View attachment 2437451
Dah yaani me nikiwazaga urefu wanaotaka napotezaga matumaini nina futi 5'1
Hakuna kulegeza mzee, issue kuitwa interview kwanzaDaah hii ngoma ngumu