Poleni sana vijana mimi pia ni mtumishi sijaomba hizi kazi ni aibu kwakweli nimesikitishwa na kitendo cha watumishi wenzangu kupewa hizi nafasi .bado hazitawasaidia wataendelea kuwa mafukara hasa wale washika ChakiHapa tumepigwa na kitu kizito. Vigezo walisema ni kwa wasio na ajira ila hapa... Mh!
Nchi la kipumbavu sana hili.. wasio na Ajira wameomba walau hicho kingepatikana wangejiwekea misingi Cha ajabu anapewa ambae yupo kwenye mfumoHapa tumepigwa na kitu kizito. Vigezo walisema ni kwa wasio na ajira ila hapa... Mh!
Ameshindwa kuandika tarehe kwa kiswahili? 31 July ndio nini? Eti hawa ndio watoa semina....
Mawela vtcUru kusini
Haijulikani bado...
Kivipi mkuu!?? Si tar. 31!?ilala semina za sensa znaendelea ,sahv wanaita majina kam haupo unakatwa .
Tangazo mbona Ni la nchi mzima?Kivipi mkuu!?? Si tar. 31!?
Jamaaa anasema wanapangwa kimadarasa ila semina inaanza jpili,,!!Tangazo mbona Ni la nchi mzima?
Wewe unafikiri hapa kosa ni la nani, la alietoa tangazo la maombi au la alie omba?Nchi la kipumbavu sana hili.. wasio na Ajira wameomba walau hicho kingepatikana wangejiwekea misingi Cha ajabu anapewa ambae yupo kwenye mfumo
Sawa juma lokoleilala semina za sensa znaendelea ,sahv wanaita majina kam haupo unakatwa .
Sawa juma lokole
yah kuna jamaa ang amenambia pia hvo kuw wameitwa wamepangwa ila jpil ndo wataanz semina ila kama haupo unakatwa.Jamaaa anasema wanapangwa kimadarasa ila semina inaanza jpili,,!!
ndo hvo mkuu leo wamepangwa kimadarasaHuyu jamaa anazingua au real?
Sio kweli,usipokuja jpili ndio unakatwailala semina za sensa znaendelea ,sahv wanaita majina kam haupo unakatwa .