Ajira za PBZ Bank kwa Watanganyika

Kanye2016

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
2,474
2,445
Habari,

Majuzi kulitangazwa nafasi za ajira katika Bank ya PBZ Kupitia mitandao mbalimbali na pia kwenye website ya PBZ Bank. (Tangazo nime ambatanisha hapo chini).

Kwenye tangazo wamesema wanataka wa Tanzania wenye sifa watume maombi ya kazi kujazia nafasi zilizoachwa wazi.

PBZ 1.JPG


Changamoto
inakuja kwenye kutuma maombi unakiwa utume kwenye website ya tume ya ajira ya zanzibar ambayo ni http://portal.zanajira.go.tz.
PBZ 2.JPG


Na ukiregister unatakiwa uingize Namba ya utambulisho wa mzanzibari yaani Zanzibar Identification Number, kama inavyoonekana hapo chini.

PBZ 3.JPG

Sasa je hizi kazi ni za Watanzania wote au ni Wa zanzibari tu?

Kama walikuwa wanataka Wazanzibari ndo watume maombi kwa nini wasingesema tu kwenye tangazo lao kuwa inataka wazanzibari tu ndo watume maombi kama matangazo mengine wanavyofanya.

Kwa nini watu hadae vijana wakitanganyika wenye nia na vigezo vya kufanya kazi walizotangaza ilihali wakijua njia ya kutuma maombi si rafiki kwa ambao sio wanzanzibari.

Kama kuna mtanganyika ameweza kutuma maombi haya kwa kutumia hiyo portal atume ushahidi hapa huenda kuna namna ya ku bypass na kuweza kutuma maombi.

Nawasilisha.
 

Attachments

  • PBZ-BANK-Vacancies.pdf
    565.4 KB · Views: 8
Ndivyo ilivyo brother, na ukijaribu kuvaa viatu vya waZanzibari basi haitokuwa ngumu kwako kuelewa ni kwanini wamefanya hivyo.

Me nilipata bachelor's yangu miaka miwili iliyopita, kwenye harakati za kutafuta kazi ndipo nikagundua kuwa sisi hatuko eligible kuajiriwa na serikali ya SMZ mpaka tupate kitambulisho cha mZanzibari mkazi ambacho formally, unaweza kukiomba ukiwa umeishi Zanzibar kwa muda wa miaka mitatu.
 
Ndivyo ilivyo brother, na ukijaribu kuvaa viatu vya waZanzibari basi haitokuwa ngumu kwako kuelewa ni kwanini wamefanya hivyo.

Me nilipata bachelor's yangu miaka miwili iliyopita, kwenye harakati za kutafuta kazi ndipo nikagundua kuwa sisi hatuko eligible kuajiriwa na serikali ya SMZ mpaka tupate kitambulisho cha mZanzibari mkazi ambacho formally, unaweza kukiomba ukiwa umeishi Zanzibar kwa muda wa miaka mitatu.
Shida kwenye PBZ wamesema wanataka Watanzania wenye vigezo watume maombi then chini wanakwambia utume maombi kwenye website ya serikali ya zanzibar ambayo wao wanajua kabisa watanganyika hawatoweza kutuma maombi kwa sababu watatakiwa waweke kitambulisho cha mzanzibari.
 
Shida kwenye PBZ wamesema wanataka Watanzania wenye vigezo watume maombi then chini wanakwambia utume maombi kwenye website ya serikali ya zanzibar ambayo wao wanajua kabisa watanganyika hawatoweza kutuma maombi kwa sababu watatakiwa waweke kitambulisho cha mzanzibari.
Hapo ni Bakary kumuita Beka tu kaka, same old shit, just a different day. Wasingeweza kuandika waZanzibari kwenye tangazo ili kuepusha hali ya sintofahamu.
 
Habari,

Majuzi kulitangazwa nafasi za ajira katika Bank ya PBZ Kupitia mitandao mbalimbali na pia kwenye website ya PBZ Bank. (Tangazo nime ambatanisha hapo chini).

Kwenye tangazo wamesema wanataka wa Tanzania wenye sifa watume maombi ya kazi kujazia nafasi zilizoachwa wazi.

View attachment 2938799

Changamoto
inakuja kwenye kutuma maombi unakiwa utume kwenye website ya tume ya ajira ya zanzibar ambayo ni http://portal.zanajira.go.tz. View attachment 2938808

Na ukiregister unatakiwa uingize Namba ya utambulisho wa mzanzibari yaani Zanzibar Identification Number, kama inavyoonekana hapo chini.

View attachment 2938809
Sasa je hizi kazi ni za Watanzania wote au ni Wa zanzibari tu?

Kama walikuwa wanataka Wazanzibari ndo watume maombi kwa nini wasingesema tu kwenye tangazo lao kuwa inataka wazanzibari tu ndo watume maombi kama matangazo mengine wanavyofanya.

Kwa nini watu hadae vijana wakitanganyika wenye nia na vigezo vya kufanya kazi walizotangaza ilihali wakijua njia ya kutuma maombi si rafiki kwa ambao sio wanzanzibari.

Kama kuna mtanganyika ameweza kutuma maombi haya kwa kutumia hiyo portal atume ushahidi hapa huenda kuna namna ya ku bypass na kuweza kutuma maombi.

Nawasilisha.
hawa hapa bara wamejaa kila sehemu, hadi mapolisi, sekta zote za umma wapo, ila bara ukienda kule hupati kazi. wabaguzi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom