Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Ushuhuda mfupi juu ya kupata nafasi ya sensa.
Binafsi niliomba kaz ya maudhui, sikufaham kama ile nafasi sitakiwi mtu wa namna yangu.
Nilifanya usaili nikiwa kama msimamizi wa maudhui.
Kutokana na umuhimu wangu katika mtaa niliopo iliwalazimu kunisaidia kuniamisha na kunipeleka kwenye ukarani,lkn wenzangu wote wameliwa vichwa zaidi ya 30
Wapo waliopata bila connection nawajua ,lkn pia wapo waliopata kwa connection ,hii ipo sehemu yoyote.
Mliokosa msikate tamaa, uchaguzi 2020 sikupata,post code sikupata ila hii nipo ndani.
TUSHIRIKI SENSA KWA MAENDELEO.
Naomba kuuliza....hiv huko kwenye semina ni go and return au kuna kulala wakuu???

Sent from my TECNO PR651E using JamiiForums mobile app
 
Mwanangu amemaliza UDOMU na alijiandikisha Mkonze kwenye mtandao. Walipoitwa kwenye usaili walikuwepo walimu zaidi ya kumi na waliambiwa wafanyiwe usairi kwanza sababu wanaenda kazini. Watu walikataa hivyo wote wakasubiri majina yao kuitwa.

Leo majina yametoka karibu wote ni walimu wengine hawaishi mkonze na wala hawakufika kujiandikisha. Wakazi wa mkonze kama mwanangu amemaliza chuo na yupo mtaani kaachwa.

Je kuweka kwenye mtandao ilikuwa danganya toto? Msimamizi wa kituo ni mwalimu mkuu wa Mkonze wasaidizi wake ni walimu je ulitegemea nini. Walimu wengine wametoka shule nyingine siyo za Mkonze.
 

Attachments

  • IMG-20220728-WA0008.jpg
    IMG-20220728-WA0008.jpg
    30.7 KB · Views: 8

Similar Discussions

Back
Top Bottom