Naelekea Pemba, naombeni uzoefu wa kimazingira

Habarini ndugu watanzania.

Ninaelekea Pemba kufanya study ya masuala ya mwani, majongoo bahati n.k nikitokea Tanga. Wazoefu na wenyeji wa huko naombeni uzoefu wa kimazingira, tamatuduni, hotel za bei nafuu, price za gari ndogo ya kukodi + driver wakati nikiwa huko na vitu vingine muhimu kuvifahamu kwa mtu ambaye si mwenyeji wa huko.

Lakini pia ningependa kufahamu kama kuna ferry ambazo zinatoka Tanga direct to Pemba.

Ahsanteni.
Meli zipo, kuna Sea link, AKRAM kama sikosei, ila huko unapoeenda nyege zako acha nyumbani ukirudi utazikuta ukipuuza utarudi ukiwa chizi au kama wakiume utarudi ukiwa na mimba, hapo ndo ujiulize inawezekanaje. Tofauti na hapo jamaa ni waaminifu mnoooo hata ukisahau hela dukani kwa mtu au mahali ambako kuna watu utarudi na utaikuta
 
Meli zipo, kuna Sea link, AKRAM kama sikosei, ila huko unapoeenda nyege zako acha nyumbani ukirudi utazikuta ukipuuza utarudi ukiwa chizi au kama wakiume utarudi ukiwa na mimba, hapo ndo ujiulize inawezekanaje. Tofauti na hapo jamaa ni waaminifu mnoooo hata ukisahau hela dukani kwa mtu au mahali ambako kuna watu utarudi na utaikuta
 
Kama ww si muislamu na haufungi subiri mwezi uishe..
Ukikutwa unakunywa hata utachapwa bakora hadharani
 
Habarini ndugu watanzania.

Ninaelekea Pemba kufanya study ya masuala ya mwani, majongoo bahati n.k nikitokea Tanga. Wazoefu na wenyeji wa huko naombeni uzoefu wa kimazingira, tamatuduni, hotel za bei nafuu, price za gari ndogo ya kukodi + driver wakati nikiwa huko na vitu vingine muhimu kuvifahamu kwa mtu ambaye si mwenyeji wa huko.

Lakini pia ningependa kufahamu kama kuna ferry ambazo zinatoka Tanga direct to Pemba.

Ahsanteni.
Wewe nenda tu, upate yako sio ya kuambiwa
 
naomba fafanua kidogo mkuu, ugumu wa kupata ushirikiano unatokana na nini?
Kila muda wa sala ukiwa na watu kama wewe siyo muislam, utaachwa hapo wanaenda kusali. Jamaa hawachelewi hata sekunde. All in all jamaa ni watu wazuri sana. Ila kama walivyokushauri mambo ya mapenzi kule ni mpaka uoe na kuoa ni rahisi tu
 
Pemba wote wanajuana, mgeni unajulikana tu.
Usitongoze tongoze ovyo(muhim sana). Wengi wana mdudu anatoa taarifa kwa ndugu utaijiwa kuadhibiwa au kuozeshwa.
Kuna hadi fumanizi za kupangwa!
Binti, mke,na bibi wanafanana kwa sabab ya maumbo, uvaaji na salaam, hivyo usisimamishe holela jinsia ya kike sehem za wazi hata kama unaulizia huduma za kijamii. Tumia wanaume.
Penda kutembea na mwenyeji.
Vaa kwa namna ambayo dini yako haitatanabaishwa haraka endapo we si muisram.
....................karibu Gando
 
Habarini ndugu watanzania.

Ninaelekea Pemba kufanya study ya masuala ya mwani, majongoo bahati n.k nikitokea Tanga. Wazoefu na wenyeji wa huko naombeni uzoefu wa kimazingira, tamatuduni, hotel za bei nafuu, price za gari ndogo ya kukodi + driver wakati nikiwa huko na vitu vingine muhimu kuvifahamu kwa mtu ambaye si mwenyeji wa huko.

Lakini pia ningependa kufahamu kama kuna ferry ambazo zinatoka Tanga direct to Pemba.

Ahsanteni.
Mkuu mbona unaweka marinda yako rehani?
 
Habarini ndugu watanzania.

Ninaelekea Pemba kufanya study ya masuala ya mwani, majongoo bahati n.k nikitokea Tanga. Wazoefu na wenyeji wa huko naombeni uzoefu wa kimazingira, tamatuduni, hotel za bei nafuu, price za gari ndogo ya kukodi + driver wakati nikiwa huko na vitu vingine muhimu kuvifahamu kwa mtu ambaye si mwenyeji wa huko.

Lakini pia ningependa kufahamu kama kuna ferry ambazo zinatoka Tanga direct to Pemba.

Ahsanteni.
Choo na bafu zao zinaangalia mbinguni, ngoja niishie hapo.
 
ngoja nikufafanulie, kwa mwezi huu wa ramadhani huwezi kupata huduma ya breakfast kwenye hoteli au guest house za kawaida. Hata lunch itakuwa shida.

Ushauri: nunua kibirika chako kidogo cha vikombe viwili pamoja na majani ya chai na sukari yako, weka chumbani kwako utengeneze mwenyewe asubuhi unywe ndani mwako. Aidha lunch itabidi ushindie matunda au mikate mpaka jioni wakati wa futari.
Ahsante mkuu
 
Back
Top Bottom