Na wewe umepokea ujumbe huu wa tozo za huduma ya Simbanking?

Reginald L. Ishala

JF-Expert Member
Jun 18, 2011
3,811
6,780
U hali gani, Mwana JamiiForums

Nimepokea ujumbe toka Tigo Tanzania unaosema,

Ndugu, Mteja! Kuanzia JULY 26, 2021 kutakuwa na tozo ya Sh 100 kupitia salio la kawaida la muda wako wa maongezi kwa kila atakayetumia huduma yoyote ya Simbanking sanjari na kuangalia salio.

Je, Na wewe umepokea ujumbe huo?

Nawasilisha.
 
Hakuna pa kukimbilia, tulia hapo hapo ulipo😂

IMG_20210724_192433.jpg
 
Back
Top Bottom