Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
U hali gani, Mwana JamiiForums
Nimepokea ujumbe toka Tigo Tanzania unaosema,
Ndugu, Mteja! Kuanzia JULY 26, 2021 kutakuwa na tozo ya Sh 100 kupitia salio la kawaida la muda wako wa maongezi kwa kila atakayetumia huduma yoyote ya Simbanking sanjari na kuangalia salio.
Je, Na wewe umepokea ujumbe huo?
Nawasilisha.
Nimepokea ujumbe toka Tigo Tanzania unaosema,
Ndugu, Mteja! Kuanzia JULY 26, 2021 kutakuwa na tozo ya Sh 100 kupitia salio la kawaida la muda wako wa maongezi kwa kila atakayetumia huduma yoyote ya Simbanking sanjari na kuangalia salio.
Je, Na wewe umepokea ujumbe huo?
Nawasilisha.