Mzungu ana nini cha ziada?

Mzungu ana nini cha ziada?

Mungu ametupa akili na utashi sawa. Lakini kuna vitu vinatukwamisha na kuna Issue za kihistoria ambazo sitazitaja kwa kuwa natumia simu lakini kikubwa ni kuwa sisi hatutumii akili wenzetu wanatumia zao. Sisi mabingwa wa kulalamika wakati wao wanatafuta suluhisho. Sisi ni watu wa kujidharau wao wanajiamini. Hata hivyo hiyo misemo ni ya mtu aliyekata tamaa na si lazima awe mwafrika. Wazungu nao kuna mambo mengi wako shallow au nyuma hivyo basi topic hii ni tata na si rahisi kama inavyodhaniwa.

Tuache kulalama, tutumie akili tulizopewa na Mungu pamoja na maliasili zetu. Tujifunze kutatua matatizo yetu badala ya kulalamika na tuache utapeli na ujanja ujanja.
 
Mungu ametupa akili na utashi sawa. Lakini kuna vitu vinatukwamisha na kuna Issue za kihistoria ambazo sitazitaja kwa kuwa natumia simu lakini kikubwa ni kuwa sisi hatutumii akili wenzetu wanatumia zao. Sisi mabingwa wa kulalamika wakati wao wanatafuta suluhisho. Sisi ni watu wa kujidharau wao wanajiamini. Hata hivyo hiyo misemo ni ya mtu aliyekata tamaa na si lazima awe mwafrika. Wazungu nao kuna mambo mengi wako shallow au nyuma hivyo basi topic hii ni tata na si rahisi kama inavyodhaniwa.

Tuache kulalama, tutumie akili tulizopewa na Mungu pamoja na maliasili zetu. Tujifunze kutatua matatizo yetu badala ya kulalamika na tuache utapeli na ujanja ujanja.

Asante Mkuu nimekuelewa sana tu.
 
Comment za kujiponda sisi wenyewe!!
kama upo hohehahe hujielewi usisubirie upondwe, hii ndio inauma na mbaya zaidi unaweza ukanywa hata sumu, jitafakari kasoro zako ujishangae kisha uchukue hatua, usijipe moyo upo vizuri wakati una hali mbaya mno
 
Kweli wazungu wametupiga Gap kwenye vitu vingi Sana.
Waafrika wanaweza kugundua vitu sema Kwenye issue ya ugunduzi tatizo linaanzia nyumbani. toka utoto hatujajengewa kujiamini na kukuzwa kulingana na vipaji vyetu. Je ni waafrika wangapi utoto wao wanatengezeza vitu ila wazazi wanawakatisha tamaa na kuona kama ni upotevu wa muda? vile vifaa vya Skiing wanavyotumia wazungu kuna watoto kijijini miaka hiyoo walishatengeneza kwa kutumia miti na walikuwa wanatelezea kwenye udongo ila mzazi akimkamata ni kipigo kufaaa.
Pia serikali yetu haijawekeza kwenye kukuza vipaji vya wananchi wake. ni Mara ngapi tunasikia watu flani wamegundua vitu ila hawafuatiliwi ili kuwezeshwa??
Wazungu elimu yao imelenga kwenye kujiamini na kuendeleza vipaji vya watoto tokea kindergarten hadi uzee.
Utapata wagunduzi kwa vipi wakati hukuweka mazingira ya kuwagundua??
 
Ni kwamba Mtu mweusi ni jamii ya watu wenye akili ndogo zaidi ktk historia ya binadamu!Ebu ona majina yako?mtu kuongea kiingereza, unaonekana ni msomi, wa kisasa kuliko kiswahili!!tena ukute mtu ndio yuko super market au sehemu ya halaiki.Atajaribu kujitutumua na kiingereza kwa sauti ya juu ili wapu.mbavu wengine wamshangae!!!
Angalia uvaaji wetu!ona sherehe za harusi? ona misiba ya siku hizi!!,kwamba ni sehemu za kwenda kuonyesha uzuri,gari unayoendesha, simu ,nguo, namna ulivyojichubua na taka taka zingine za namna hiy😵na siasa za watu weusi!ona mfumo wa ulaji vyakula wetu? angalia kuhabudu kwetu? wakati mwingine pepo inabidi akemewe kwa kizungu ndio atoke? eti in jesus name!!Tena unaweza kukuta mungu wa weusi ndio shetani wa wazungu!!je hapo mzungu kakushikia bunduki?
Hatuna muda wa kuiga mazuri toka kwao, zaidi tunaiiga ujinga ujinga wao!
MWAFRIKA NI MFANO WA MTU NA SIO MTU KAMILI, ENDELEA KUKUBALI KUKATAA....
 
Yani sisi miafrika hadi huku ulaya we are completely disorganised. Mwafrika mwenzako tena subsaharan anakuhujumu hadi kwenye kazi ya kubeba boksi. Tabia zetu ni mbaya sana zakurudishana nyuma. Hata kwenye kazi hizi azihitaji elimu low skilled or unskilled labour( kubeba boksi) mwafrika inamuwia vigumu kufanya Yani work ethics ni zero. Ndio maana manepali mabangladeshi wanakuwa favoured sana kwenye hizi kazi za kubeba boksi

Nyambaff zetu
Hii kitu inaniumiza sana. Hivi kwanini sisi tunapenda kuharibiana hata ugenini?
Hawa waliobaki home nao mizinga kibao wakisia unasafari ya nyumbani lakini wakati huo huo wanatuita wabeba box
Mtu mpaka unaogopa kujimix na waafrika wenzio sababu ya tabia zisizoeleweka
 
hivi kuzaliwa mwanadamu burundi, somalia, africa ya kati, au drc halafu ukawa una kipato cha kawaida, na mbwa aliyezaliwa labda uingereza ni nani ambaye atakua anatendewa ubinadamu?

Mkuu real @G kuielewa hiyo kauli mtu ujiongeze ukiiangalia juu juu mtu unatoka empty kama mleta mada,Burundi hapo Mkurunzinza anang'ang'ania nchi kama familia yake na watu wanakufa,Kagame ndo huyo ana act anapendwa na raia,hiyo Somalia sijui Sudan ndo kiama watu wanuwawa kama nzige...mbwa ulaya anaogeshwa ilhal hapa Tanzania kuna sehemu watu wanakaa wiki bila kuoga,maji yakunywa yenyewe tabu,mbwa ulaya ana chumba chake kina mpaka mziki bongo watu wanalala nyumba za tembe hela ya mafuta ya taa hawana wanakaa giza,ulaya mbwa wanapelekwa hospitalini bongo dadazetu,mamazetu sometimes wakezetu wanajifungulia vichakani huko hospitali wakifika umeme hamna manurse wanatumia torches kumulikia wazazi wanakufa vichanga vinakufa,hapo hujazungumzia chakula,hujazungumzia elimu maana mbwa ulaya anafundishwa mpaka kuwatambua wezi but Africa especially Tanzania watoto wnamaliza Std7 hawajui hata kuandika majina yao,sasa kwanini mimi mwafrika nisikufuru Mungu kusema "bora ningezaliwa mbwa ulaya",Waafrika tuna matatizo mengi sema tunajikaza kisabuni tu pakwenda hatuna ila tunateseka.
 
Kabla ya Hawa makatili (wazungu) kuja afrika, sayansi ya afrika ilikua juu sana gunduzi mbalimbali ziliendelea, fikiria pyramids zilivyojengwa, uhunzi mbalimbali, ugunduzi wa kalenda, Viwanda vya chuma..... Kuna mambo mengi yanafichwa kwenye historia... Kama mnavyomficha joh okello...

OPEN YOUR MIND.
Ok, kabla ya wazungu kuja afrika, kwa nini waafrika hamukwenda kutawala ulaya kabla kama kweli mlikuwa juu kimaendeleo zaidi ya wazungu enzi hizo. Mimi ni mwafrika, lakini kukiri ukweli sio kosa.
 
Ukimchunguza mwanamke wa kizungu na mwanake wa kiafrika utapata jibu kuwa mzungu na mwafrika wanatofauti kubwa....ushawahi kuona mwanamke wa kizungu kabenua domo? Au wakisutana?

Mkuu umeua aisee hadi kubenua mdomo?
 
kama upo hohehahe hujielewi usisubirie upondwe, hii ndio inauma na mbaya zaidi unaweza ukanywa hata sumu, jitafakari kasoro zako ujishangae kisha uchukue hatua, usijipe moyo upo vizuri wakati una hali mbaya mno



Wewe ni Mzungu? Kama sio umechukua hatua gani ili iwe fundisho kwa wengine? Au ndio unajitutumua tu?!!
 
Africa tupo nyuma sana nchi zilizosogea angalau ukifuatilia historia Yao utagundua wageni ndo waliendeleza mathalani Misri teknolojia kuanzia ya mahesabu,Pyramid,kilimo iliendelezwa na mtumwa wa kiyahudi wakati huo,,,South Africa pia Makaburu na hizo ndio nchi chache Africa ambazo zina few self innovations zinazowekwa kwenye rekodi za innovation duniani...tukubali tu Africans tunaburuza mkia
 
Back
Top Bottom