Mzungu ana nini cha ziada?

Mzungu ana nini cha ziada?

Na wanawake mliowahi lala na wazungu Embu share experience tujue utofauti zaid kati yetu na wao"
 
Tofauti ya wazungu na sie watu weusi moja tu wao wanafikiria wajukuu wao wataishije yan vizaz vya baadae, maendeleo unayoyaona wanayo mababu zao ndio waanzilish walioforecast, sis hatufikirii mbele yan tunajifikiria sis, hata mababu zetu hawakufikiria zaid kuhusu sis ndo maana tuko hapa tulipo, na mbaya zaid hata sis hatuna mpango na watakaotuatia.

Salaam..

Wadau naomba kuuliza hivi mtu mweupe ususani mzungu, ananini cha zaida mpaka sisi ma Negro tunafikia kuleta misemo ya ajabu ajabu.

1. Bora kuzaliwa mbwa ulaya.
2. mzungu hazoei njaa.
3. mzungu ukitoa 'z' unapata Mungu.
4. Ulaya hakuna masikini.
5. Ahadi ya kizungu.

Na wengine inafika kipindi mpaka wanasema mzungu akija Afrika hapimi ukimwi lakini waafrika hupimwa maradhi yote, hili mimi siliafiki.
 
Haujui tofauti yako na mzungu? Muulize Donald Trump atakupa tofauti.
 
Walituibia sana wakati wa ukoloni na sasa wana maisha mazuri that's all
 
Kweli mzungu katupga gepu kubwa sana yani hata hizi dini katuletea yeye
 
Salaam..

Wadau naomba kuuliza hivi mtu mweupe ususani mzungu, ananini cha zaida mpaka sisi ma Negro tunafikia kuleta misemo ya ajabu ajabu.

1. Bora kuzaliwa mbwa ulaya.
.
.

Nakumbuka jirani yetu (very poor people) waliiba mbwa ili wamuuze. Mbwa kakaa hapo kakondeana kaisha na kupata kupe. Wakaona wamtupe. Lakin alikuwa anarudi. Mwishowe wakaamua wamuue. Imagine anambeba mmbwa juu na kumpigiza kwenye sakafu. Nilitoka ndani nikawafwata nikawaambie nipeni huyu mbwa. Nikampigia rafiki yangu ana hobby ya mbwa amchukue. Tukachanga Vet akaenda kumtibu maskini. Kambwa kakaanza na kucheza. Kumbe alikuwa kavunjika uti wa mgongo akafa.
Baadae napewa umbea na housegirl, jirani ananisema nitatoaje 20,000 kumpandisha mbwa Bajaj badala ya kuwapa wao wale. Eti me ni mchawi!!

Unajua kadri muda unavyoenda binadamu anaendelea kukua kifikra. Tukubali tu ukweli kuwa wazungu wametuacha.

Tena hii ya kutreat wanyama ndo wametuacha mbali kabisaa.
Not only wana sheria kali dhidi ya ukatili kwa wanyama, but also wanathamini uhai na uwezo wa wanyama.

Wanaishi na wanyama nyumbani na kuwatunza.

Wana hospitali na foster homes za wanyama.

Imagine kuna madaktari wa upasuaji kwa ajili ya wanyama jamani!
Wakipata mnyama alieumia porini wanamchukua, wanamtibu, wanamrudisha. Sio huku bongo ukiokota kipaka kimeumia unaambiwa "subiri akuongeleshe, embu tupa huo uchawi".
Wana sheria za kutunza species za wanyama.
Wanajifunza tabia za wanyama hadi wanyama tuliowaogopa sasa wanaweza ishi nao peacefully (mf. simba)

Bora kuzaliwa mbwa ulaya kuliko maskini Africa
 
evolution-1.jpg
 
Salaam..

Wadau naomba kuuliza hivi mtu mweupe ususani mzungu, ananini cha zaida mpaka sisi ma Negro tunafikia kuleta misemo ya ajabu ajabu.

1. Bora kuzaliwa mbwa ulaya.
2. mzungu hazoei njaa.
3. mzungu ukitoa 'z' unapata Mungu.
4. Ulaya hakuna masikini.
5. Ahadi ya kizungu.

Na wengine inafika kipindi mpaka wanasema mzungu akija Afrika hapimi ukimwi lakini waafrika hupimwa maradhi yote, hili mimi siliafiki.

Survival of the fittest.
 
Na wanawake mliowahi lala na wazungu Embu share experience tujue utofauti zaid kati yetu na wao"
They do not look down on women.
They are good lovers. *wink * sio wanaume wa jf eti siridhishi tena mwanamke kumbe hajui game maskini
 
A
.

Nakumbuka jirani yetu (very poor people) waliiba mbwa ili wamuuze. Mbwa kakaa hapo kakondeana kaisha na kupata kupe. Wakaona wamtupe. Lakin alikuwa anarudi. Mwishowe wakaamua wamuue. Imagine anambeba mmbwa juu na kumpigiza kwenye sakafu. Nilitoka ndani nikawafwata nikawaambie nipeni huyu mbwa. Nikampigia rafiki yangu ana hobby ya mbwa amchukue. Tukachanga Vet akaenda kumtibu maskini. Kambwa kakaanza na kucheza. Kumbe alikuwa kavunjika uti wa mgongo akafa.
Baadae napewa umbea na housegirl, jirani ananisema nitatoaje 20,000 kumpandisha mbwa Bajaj badala ya kuwapa wao wale. Eti me ni mchawi!!

Unajua kadri muda unavyoenda binadamu anaendelea kukua kifikra. Tukubali tu ukweli kuwa wazungu wametuacha.

Tena hii ya kutreat wanyama ndo wametuacha mbali kabisaa.
Not only wana sheria kali dhidi ya ukatili kwa wanyama, but also wanathamini uhai na uwezo wa wanyama.

Wanaishi na wanyama nyumbani na kuwatunza.

Wana hospitali na foster homes za wanyama.

Imagine kuna madaktari wa upasuaji kwa ajili ya wanyama jamani!
Wakipata mnyama alieumia porini wanamchukua, wanamtibu, wanamrudisha. Sio huku bongo ukiokota kipaka kimeumia unaambiwa "subiri akuongeleshe, embu tupa huo uchawi".
Wana sheria za kutunza species za wanyama.
Wanajifunza tabia za wanyama hadi wanyama tuliowaogopa sasa wanaweza ishi nao peacefully (mf. simba)

Bora kuzaliwa mbwa ulaya kuliko maskini Africa
Acha kukufuru yaani bora uzaliwe mbwa ulaya? Ila usijali kuna watu wanadai kuna reincarnation basi ukifa utazaliwa mbwa huko ulaya. Kila la heri mbwa wa ulaya
 
Aliwazalo mjinga ndio linalomtokea....haya yanayotutokea sisi waafrika ni matokeo ya mawazo yetu....
Na yanayowatokea wazungu ni zao la mawazo yao na juhudi zao....
 
A

Acha kukufuru yaani bora uzaliwe mbwa ulaya? Ila usijali kuna watu wanadai kuna reincarnation basi ukifa utazaliwa mbwa huko ulaya. Kila la heri mbwa wa ulaya

Haha. Me nilikuwa najaribu kutetea hiyo point. Kwani unabisha lakini. You get free food, free hugs and pets and kisses. Toys. A nice home. Medical care. No work. Yani raha.
 
Ikitokea wazungu wooote wahamie afrika,na sisi waafrika woote tuhamie ulaya,sisi tuhamie ulaya na kila kitu chetu,na wao kule ulaya watuachie kila kitu majengo ,viwanda,magorofa,ndege,makombora ya kivita,vifaru,nguo ,vijiko hadi chupi...baada ya miaka kumi wao (afrika) watakuwa matajiri kuliko sisi na sisi tutakuwa masikini kupindukia na tutaomba misaada kutoka kwao...tatizo la waafrika, hamna kitu kichwani
 
Kabla ya Hawa makatili (wazungu) kuja afrika, sayansi ya afrika ilikua juu sana gunduzi mbalimbali ziliendelea, fikiria pyramids zilivyojengwa, uhunzi mbalimbali, ugunduzi wa kalenda, Viwanda vya chuma..... Kuna mambo mengi yanafichwa kwenye historia... Kama mnavyomficha joh okello...

OPEN YOUR MIND.
That z Romanticism mdau,we r back coz we r fool
 
Haha. Me nilikuwa najaribu kutetea hiyo point. Kwani unabisha lakini. You get free food, free hugs and pets and kisses. Toys. A nice home. Medical care. No work. Yani raha.
Yaani ww hujikubali kabisa thamani ya utu wako ni bora kuliko huyo mbwa anaekula bure haijalishi upo kwenye mazingira yapi.
 
Mzungu ndiye binadamu halisi

Wa asia vichwa maji

wa afrika tunaongeza idadi tu duniani

Hebu fikiria bila wazungu kingegunduliwa nini ?
Hao hao ndio wametuletea dini kisha watu kuacha dini zao za asili na kuwa mfuasi wa hizo dini zao UISLAM waarabu na UKRISTO kwa huyo m(z)ungu.
 
Salaam..

Wadau naomba kuuliza hivi mtu mweupe ususani mzungu, ananini cha zaida mpaka sisi ma Negro tunafikia kuleta misemo ya ajabu ajabu.

1. Bora kuzaliwa mbwa ulaya.
2. mzungu hazoei njaa.
3. mzungu ukitoa 'z' unapata Mungu.
4. Ulaya hakuna masikini.
5. Ahadi ya kizungu.

Na wengine inafika kipindi mpaka wanasema mzungu akija Afrika hapimi ukimwi lakini waafrika hupimwa maradhi yote, hili mimi siliafiki.
Pekuwa kuna thread mmoja watu wanaongelea na kuamini eti Morogoro kuna wanyonya damu wanaokumulika na kioo unadonda chini halafu wanakunyonya damu yako wanakwenda kuuza ndio utagundua mzungu ana tofauti gani na mwaafrika!
 
Back
Top Bottom