Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,262
- 18,251
Hivi shetani ni Mweusi au Mweupe
Kwa mujibu wa historia, bwana Shetani ni MWEUPE tena PEEEEEE
Hivi shetani ni Mweusi au Mweupe
Historia ipi?Kwa mujibu wa historia, bwana Shetani ni MWEUPE tena PEEEEEE
Mzungu ndie binadamu halisi na ndie aliepewa dhamana ya kuisimamia dunia,kifupi mwafrika na mwarabu ni wanyama wanaofanana na binadamu tofauti yao ni ndogo tu,mwafrika ni zezeta na mwarabu ni chizi
Tuachane na hayo ya kuaminishwa na tuangalie uhalisia. Waafrika ni hohe hahe, hatuna mbele wala nyuma na sio sisi tu bali tokea zama na zama. Yaani mi nahisi tunafanana tu na binaadamu ila kiuhalisia sisi sio binaadamu. Binadaamu hawezi kuwa sisi japo sisi tunaweza kuwa kama binaadamu.
mpaka wanakuingilia wewe mwafrika (slow learner) ulikuwa wapi ndiyo maana unaambiwa mzungu ana iq kubwa mpaka anakuingilia wewe unashangaa kwanini na wewe usimwingilie kama na wewe una iq kubwa kumzidiSayansi inakua kuendana na muda naamini kwa sayansi tuliyokua nayo na tusingeingiliwa leo hii tungekua mbali kwa namna yetu....
Wazungu waliharibu sayansi yetu.
Ndio nyinyi mnaojichubua ili mfanane nao.
Sorry nathamini uhai wa wanyama. Ni viumbe vyenye thamani na uwezo na hisia , unless hujawahi kuwa na pet.Yaani ww hujikubali kabisa thamani ya utu wako ni bora kuliko huyo mbwa anaekula bure haijalishi upo kwenye mazingira yapi.
Nani kawachagua?Mm naamini kuwa ss pia tunauwezo mkubwa sema wanotusimamia na kuwasilisha fikla zetu kwa viongozi waandamizi wa serikali hawako makini
Ngoja nikuache nisije jikuta naongea na roboti.Sorry nathamini uhai wa wanyama. Ni viumbe vyenye thamani na uwezo na hisia , unless hujawahi kuwa na pet.
Ndomana wanaoamini reincarnation hawali wanyama.
Me kwakweli nisivyopenda shida kuliko kuzaliwa kwenye umasikini wa kutupwa na kufia Burundi sasa hivi, bora nizaliwe mmbwa wa rafiki yangu kule tegeta haha
alafu sasa hiv hawana time nazo, ila sisi ndo tunatokwa na mapovu tukibishana kuhusu dhehebu gani la ukweli zaidiKweli mzungu katupga gepu kubwa sana yani hata hizi dini katuletea yeye
wewe unashangaa mnyama kuteswa?? duh watu wananyanyasa watoto wa wengine kinyama wewe unashangaa ya mbwa?.
Nakumbuka jirani yetu (very poor people) waliiba mbwa ili wamuuze. Mbwa kakaa hapo kakondeana kaisha na kupata kupe. Wakaona wamtupe. Lakin alikuwa anarudi. Mwishowe wakaamua wamuue. Imagine anambeba mmbwa juu na kumpigiza kwenye sakafu. Nilitoka ndani nikawafwata nikawaambie nipeni huyu mbwa. Nikampigia rafiki yangu ana hobby ya mbwa amchukue. Tukachanga Vet akaenda kumtibu maskini. Kambwa kakaanza na kucheza. Kumbe alikuwa kavunjika uti wa mgongo akafa.
Baadae napewa umbea na housegirl, jirani ananisema nitatoaje 20,000 kumpandisha mbwa Bajaj badala ya kuwapa wao wale. Eti me ni mchawi!!
Unajua kadri muda unavyoenda binadamu anaendelea kukua kifikra. Tukubali tu ukweli kuwa wazungu wametuacha.
Tena hii ya kutreat wanyama ndo wametuacha mbali kabisaa.
Not only wana sheria kali dhidi ya ukatili kwa wanyama, but also wanathamini uhai na uwezo wa wanyama.
Wanaishi na wanyama nyumbani na kuwatunza.
Wana hospitali na foster homes za wanyama.
Imagine kuna madaktari wa upasuaji kwa ajili ya wanyama jamani!
Wakipata mnyama alieumia porini wanamchukua, wanamtibu, wanamrudisha. Sio huku bongo ukiokota kipaka kimeumia unaambiwa "subiri akuongeleshe, embu tupa huo uchawi".
Wana sheria za kutunza species za wanyama.
Wanajifunza tabia za wanyama hadi wanyama tuliowaogopa sasa wanaweza ishi nao peacefully (mf. simba)
Bora kuzaliwa mbwa ulaya kuliko maskini Africa
Ndio tumewachagua Lakin hawatekelezi tunayoyakusudia na wanayotuhaidiNani kawachagua?
Mzungu alikuwa mpenda ngono sana na ile hali ya hewa yao. Basi wakazaliana wengi kweli mpaka wakajaza kabara kao.. Wakawa na matatizo lukuki... Hapo akili zikawaingia Wakawa wanajituma kusolve matatizo yao... (Wakaanza kutuacha) Kwenye mchakato huo wa kutatua matatizo, wakapigana sana. Wengi wakafa (hasa watu wa hali ya chini) wakabaki viongozi wa serikali na dini, walimu na watu wenye ushawishi mkubwa kwenye jamii.. (Tabaka la wenye akili) na watu wa kawaida wasio wengi sana.. (Hatua nyingine ya kutuacha). Hapo wakasafiri safiri wakakuta midude Ina nguvu inaishi maisha ya raha, hamna baridi kali, ardhi ya kumwaga, wanyama n.k..wakarudisha news kwao.. "mzee Bismarck, sisi tuna shida huku Kuna watu washamba kweli kweli wanakula raha sehemu tumeiita Africa'' Basi hapo wakajikusanya kama nyuki.. Wakaja kutulaghai na kutawala. Hapo tu ndo walipopiga msamba wa kutosha na kutuacha kabisa.
alafu bado unawachagua tena!!Ndio tumewachagua Lakin hawatekelezi tunayoyakusudia na wanayotuhaidi
Najua.wewe unashangaa mnyama kuteswa?? duh watu wananyanyasa watoto wa wengine kinyama wewe unashangaa ya mbwa?