Mzungu ana nini cha ziada?

Mzungu ana nini cha ziada?

Sayansi inakua kuendana na muda naamini kwa sayansi tuliyokua nayo na tusingeingiliwa leo hii tungekua mbali kwa namna yetu....

Wazungu waliharibu sayansi yetu.
Ndo mana wanasema wana akili sana, we fikiri kama waliweza ua teknoloji yetu, sasa hapo huoni kama hawa watu wana akili zaidi yetu. Tungekuwa juu yao basi sisi tungeua yao
 
Sayansi inakua kuendana na muda naamini kwa sayansi tuliyokua nayo na tusingeingiliwa leo hii tungekua mbali kwa namna yetu....

Wazungu waliharibu sayansi yetu.
basi kwa nini tulikubali kuingiliwa? Mbona hatukukomaa? Na mbona sisi hatukuwaingilia wao? Hivi wewe unamjua mwafrika tabia yake ilivyo mbaya? Si Afrika tu bali popote alipo Dunian?
 
Mzungu ndiye binadamu halisi

Wa asia vichwa maji

wa afrika tunaongeza idadi tu duniani

Hebu fikiria bila wazungu kingegunduliwa nini ?
wewe unamaanisha asia ipi unaposema ni vichwa maji? maana japan, china, korea pia ni asia, na hawa huwezi kamwe kuwaita vichwa maji
 
basi kwa nini tulikubali kuingiliwa? Mbona hatukukomaa? Na mbona sisi hatukuwaingilia was? Hivi wewe unamjua mwafrika tabia yake ilivyo mbaya? Si Afrika tu bali popote alipo Dunian?
mkuu mtu ambaye anaishi kwa kulamu failures zake kwa watu wengine kama huyu, huwa nakua na wasiwasi hata na maendeleo yake binafsi kama ni makubwa
 
Yani sisi miafrika hadi huku ulaya we are completely disorganised. Mwafrika mwenzako tena subsaharan anakuhujumu hadi kwenye kazi ya kubeba boksi. Tabia zetu ni mbaya sana zakurudishana nyuma. Hata kwenye kazi hizi azihitaji elimu low skilled or unskilled labour( kubeba boksi) mwafrika inamuwia vigumu kufanya Yani work ethics ni zero. Ndio maana manepali mabangladeshi wanakuwa favoured sana kwenye hizi kazi za kubeba boksi

Nyambaff zetu
 
baada ya mungu ni mzungu uktaka kujua ilo ebu jifungie ndan then tafakali v2 vyote unavyotumia toka unaamka asubuh mpaka unakwenda kulala je icngekuwa akili ya mzngu ingekuwaje mungu aliposema na tuumbe binadam kwa mfano wetu kuna jamii ya watu wameumbwa kwa mfano wake kweli mungu ameumba binadamu kweli na watu ambao wanaishi kwa kutegemea utashi wa binadamu kwan kusudi la mungu kwa binadamu ni ili aje kuwa kiongoz wa viumbe wote dunian je mtu mweuc ni kiongoz wa kiumbe gan mpaka leo cc weuc ni kama tunafugwa 2 hatuna tofauti na nyani au sokwe lakn leo nyan na sokwe hawajuh kama wanafungwa wanajiona wapo huru 2 kwa vle hawana kamba miguun
 
binadamu ni mzungu tu .waafrika kwetu ni maporini .kula ,kusex ,kulogana,wivu,uchoyo.kujisifu kupenda madaraka angalia maisha ya sokwe,sokwe mfalme akione kuna kisokwe kinautaka ufalme lazima akiuwe.yaani mpaka afe ndo mwingine mfalme,angali zanzibar ccm wameshindwa wanafuta matokeo.,ili wasitoke madarakani haya mambo yanasibitisha kuwa sisi ni sokwe japokua hatukabali,angalia burundi ,rwanda
 
Sayansi inakua kuendana na muda naamini kwa sayansi tuliyokua nayo na tusingeingiliwa leo hii tungekua mbali kwa namna yetu....

Wazungu waliharibu sayansi yetu.
hivi ni visingizio tu,hivi ukiharbu mzinga wa asali basi nyuki hataweza kutengeneza asali tena eti kwa sababu wameingiliwa duniani ni mapambano
 
Salaam..

Wadau naomba kuuliza hivi mtu mweupe ususani mzungu, ananini cha zaida mpaka sisi ma Negro tunafikia kuleta misemo ya ajabu ajabu.

1. Bora kuzaliwa mbwa ulaya.
2. mzungu hazoei njaa.
3. mzungu ukitoa 'z' unapata Mungu.
4. Ulaya hakuna masikini.
5. Ahadi ya kizungu.

Na wengine inafika kipindi mpaka wanasema mzungu akija Afrika hapimi ukimwi lakini waafrika hupimwa maradhi yote, hili mimi siliafiki.
hivi kuzaliwa mwanadamu burundi, somalia, africa ya kati, au drc halafu ukawa una kipato cha kawaida, na mbwa aliyezaliwa labda uingereza ni nani ambaye atakua anatendewa ubinadamu?
 
Kabla ya Hawa makatili (wazungu) kuja afrika, sayansi ya afrika ilikua juu sana gunduzi mbalimbali ziliendelea, fikiria pyramids zilivyojengwa, uhunzi mbalimbali, ugunduzi wa kalenda, Viwanda vya chuma..... Kuna mambo mengi yanafichwa kwenye historia... Kama mnavyomficha joh okello...

OPEN YOUR MIND.
Aaah wapi hayo maneno tu ili kujifariji ila ukiangalia uhalisia utagundua tu sisi mablack si chochote wala si lolote mvele ya mzungu. Najua utasema sijitambui ila mimi najaribu kuangalia uhalisia wa mambo kama ulivyo. Ukiangalia early contact zote utagundua ni wao walikuwa wanatoka huko kwao wanakuja huku kwetu ila sisi tulikuwa hatuendi kwao. Jamaa walitufanya watumwa, wakatufanyia ukoloni sisi tupo tu tunaangalia. Ukweli ni ukweli tu, mablack si lolote wala si chochote yaani tunaongeza tu idadi ya watu duniani.
 
Sayansi inakua kuendana na muda naamini kwa sayansi tuliyokua nayo na tusingeingiliwa leo hii tungekua mbali kwa namna yetu....

Wazungu waliharibu sayansi yetu.
Iliwezekana vipi wao kuiharibu sayansi yetu? Nadhani waliweza kwa kuwa sayansi yetu ilikuwa very primitive ukilinganisha na yao yaani ni kama hatukuwa na sayansi kabisa. Najua wamevuruga historia ila hata kama wasingeivuruga bado sisi ni watu duni sana tena sana mbele ya mzungu
 
Mzungu ndie binadamu halisi na ndie aliepewa dhamana ya kuisimamia dunia,kifupi mwafrika na mwarabu ni wanyama wanaofanana na binadamu tofauti yao ni ndogo tu,mwafrika ni zezeta na mwarabu ni chizi
 
Dunia ndiyo inaaminishwa hivyo kwamba mzungu ndiyo bora zaidi.

Ni sawa na mtoto/watoto wanavyoaminishwa kwamba baba ndiyo kila kitu, hajawahi feli, hakosei, mwenye nguvu kuliko wote...
Tuachane na hayo ya kuaminishwa na tuangalie uhalisia. Waafrika ni hohe hahe, hatuna mbele wala nyuma na sio sisi tu bali tokea zama na zama. Yaani mi nahisi tunafanana tu na binaadamu ila kiuhalisia sisi sio binaadamu. Binadaamu hawezi kuwa sisi japo sisi tunaweza kuwa kama binaadamu.
 
basi kwa nini tulikubali kuingiliwa? Mbona hatukukomaa? Na mbona sisi hatukuwaingilia wao? Hivi wewe unamjua mwafrika tabia yake ilivyo mbaya? Si Afrika tu bali popote alipo Dunian?
Mababu zetu walivyoona wazungu kwa mara ya kwanza waliwashangaaje!! Hadi kuuza watu wako wateseke na utumwa.

Hadi sasa hivi wako hivyo hivyo sema wanavaa suti. Kiongozi wa kiafrika akimuona mzungu anakuwa kama zezeta.
 
Wana midomo mipana.
Wana masikio kama jani la kunde
Wengi wao hawana makalio
 
dah labda pua ndefu tu ndo chaziada
 
Tuachane na hayo ya kuaminishwa na tuangalie uhalisia. Waafrika ni hohe hahe, hatuna mbele wala nyuma na sio sisi tu bali tokea zama na zama. Yaani mi nahisi tunafanana tu na binaadamu ila kiuhalisia sisi sio binaadamu. Binadaamu hawezi kuwa sisi japo sisi tunaweza kuwa kama binaadamu.

Hata wewe uneaminishwa hivyo, ndiyo maana una amini hivyo. Lakini siyo kweli. Tatizo ni mfumo.
 
Back
Top Bottom