Mzungu ana nini cha ziada?

Mzungu ana nini cha ziada?

mimi najituma kaka, na kuna baadhi ya waafrica wengi wanajituma pia, maana kuna waafrica wengi tu wana mafanikio na akili zaidi ya wazungu, na mimi ni mmoja wao

Wewe hiyo brilliance yako umeipima kwa criteria gani? I meant umejuaje kama wewe ni brilliant?
 
Wewe hiyo brilliance yako umeipima kwa criteria gani? I meant umejuaje kama wewe ni brilliant?
I'M YOUNG, RICH, SMART, YET VERY AMBITIOUS.... RELENTLESSLY FIGHTING TO GET MORE
 
Last edited:
Sayansi inakua kuendana na muda naamini kwa sayansi tuliyokua nayo na tusingeingiliwa leo hii tungekua mbali kwa namna yetu....

Wazungu waliharibu sayansi yetu.
Kweli kabisa kaka kwa
Sisi weusi ni mashetani angalia hata viongozi wetu ni mashetani kweli we fikiria tu tuna rasimali kibao lakin hazitunufaishi,tunategemea misaada kuna liraisi lililopita liliulizwa kwanini nchi yako maskini na ina rasilimali nyingi likasema halijui
Bora tungewaacha wakoloni wakatutengenezea miji,sie hovyo sana hata akili zetu zinaweza kufanya mambo mepesi mepesi tu aaarghhhhhhhhhhhh
Kwani viingozi wenu wa
Nadhani mnawazungumzia wazungu wa kwenye movie,
Mngeenda kuishi kwao mngeelewa ni watu wa aina gani,
Hakuna watu wachafu kama wao,
Roho mbaya kama wao,
Chuki, wizi, ubinafsi vyote wamejaza wao,
Maendeleo yeah wapo juu ila tukiamua tunawaweza sema ukijaribu tu wanakuzimisha kama taa.

Mzungu wa kumuamini ni yule aliyekufa tu.
Wanakuzimisha sababu wanajua ili wao waendelee ni lazima wakunyonye wewe
 
J
Hii kitu inaniumiza sana. Hivi kwanini sisi tunapenda kuharibiana hata ugenini?
Hawa waliobaki home nao mizinga kibao wakisia unasafari ya nyumbani lakini wakati huo huo wanatuita wabeba box
Mtu mpaka unaogopa kujimix na waafrika wenzio sababu ya tabia zisizoeleweka
Sister haupo tz
 
Back
Top Bottom