Nabii
Member
- Mar 20, 2007
- 17
- 9
LIYUNGU,
LIYUNGU, SAMAHANI JARIBU TENA KUFANYA UTAFITI WAKO VIZURI ILI TUFAHAMIANE ZAIDI NA NI KITU GANI NINACHOANDIKA HAPA. UDJ TENA? MBONA SIKUELEWI UNACHOSEMA?
MAELEZO NILIYOTOA MIMI NI MAJIBU YA MAELEZO YAKO AMBAYO HUZAA MASWALI MENGI SANA NA PIA UNAKUWA NA LUGHA YA KUJIGHAMBA KITU AMBACHO SIKIFAGILII HASILANI. MFANO ANGALIA MANENO UNAYOANDIKA MWENYEWE:-
SASA HAPO NDIPO UNAPOULIZWA DATA NZITO ZIPI? NA KWA NINI SASA ZIWE SIRI WAKATI WEWE UNASEMA U MUWAZI AU HUMWOGOPI MTU? NDG. YANGU HAKUNA CHUKI NA MTU HUENDA NI JINSI UNAVYOJIELEZA NDIO UNAZUSHA MASWALI MWENYEWE. TENA ULISEMA,
SAWA KAMA UMESHACHOKA UNATULIA TU WENGINE NAO WAENDELEE, INAWEZEKANA, NJIA ULIZOKUWA UNATUMIA KUTAFUTA UFUMBUZI ZILIKUWA SI NZURI AU KELELE ZAKO ULIZIPIGIA KULIKO SIKO,HATUJUI. WENGINE NAO SASA WATAENDELEA KWA STAILI ZAO, WAKICHOKA NAO WAKAE KIMYA, WENGINE WAENDELEE MPAKA SIKU YA KIAMA, AMBAPO ALLAH ATAKAPOKATA SHAURI. ZAIDI YA YOTE UNATUTUSI WATANZANIA WOTE UNAPOSEMA HIVI,
LIYUNGU, BINAFSI NATOFAUTIANA KWA NGUVU ZOTE NA WEWE KATIKA MANENO KAMA HAYO HAPO JUU YA MAJUMLISHO YASIYOLETA MANTIKI WALA KUKUBALIKA.YAANI WEWE UNAONA WATANZANIA WOTE (INCLUDING YOU?) ZAIDI YA MILLION 40.5 KUWA NI WAZUNGUMZAJI TU NA KWAMBA HIYO NI TABIA YETU?? UKIAMBIWA UTUHAKIKISHIE HILO UTAWEZA? EBU JIFUNZE KUELEZA VITU ULIVYO NA UHAKIKA NAVYO NA BILA HAJA YA KUJISIFU KUWA WEWE NDIWE PEKEE MTENDAJI MWENYE UFANISI.
MAANA HATA SEHEMU NYINGINE ULISEMA KUWA BAADA YA KUONDOKA SASA KONSUL ATATESA AS IF WEWE PEKEE NDITE ULIBARIKIWA UTENDAJI BORA. KAZI YAKO INAWEZA KUWA NZURI, TUTAKUPONGEZA LAKINI HUNA HAJA YA KUWAONA WATANZANIA WENGINE WOTE KUWA NI VIBONDE.
SAMAHANI SI KAWAIDA YANGU WALA SIJAONYESHA CHUKI BALI NILIKUWA NAJIBU MASWALI YAKO MENGI BWANA LIYUNGU. WALA SINA TABIA YA KUBISHANA NA WEWE NA WALA SIJAWAHI KUBISHANA NA MTU KWA AJILI YA MABISHANO TU.
***********************************
NAKANDAMIZA KIBARA
.
SAMAHANI KAMA WEWE UNATOKA NAYE MKOA MMOJA, SI KILA MTU, ENDELEA KUBASHIRI TU PENGINE TUTAFAHAMIANA VIZURI ZAIDI. MIMI SINA BEEF NA UNAYEMZUNGUMZIA, BALI HUWA NINA BIFU NA MATENDO YA MTU YEYOTE YULE YASIYO FUATA UWAJIBIKAJI UNAOPASWA.
.
NI MATATIZO GANI AMBAYO WEWE UNAYAFAHAMU AMBAYO YALISHINDIKANA KUONGEA NAYE (KONSULI MWENYEWE) NA AU BALOZI WETU MPAKA IKABIDI MMWAMBIE RAIS? NA JE SASA TUISHIE HAPO, KWA VILE MLISHA YAWASILISHA HUKO THE HAGUE?
INAONEKANA UNAJUA SANA TAARIFA YAKE YA FEDHA YA MAPATO NA MATUMIZI. HEBU TUMEGEE KWA UFAFANUZI ZAIDI MATUMIZI YA VIZA KUTENGENEZA MAKARATASI NA CD ROM N.B (zipi) KILA WAKATI
.
NILISHASEMA SINA SHIDA NAYE; MAELEZO YA NETWORK YALITOLEWA KAMA MASAHIHISHO, PALE AMBAPO LIYUNGU ALIPOELEZA KUWA HUO NI MTANDAO AMBAO HAUMILIKIWI NA YEYOTE WALA HAKUNA ANAYE UCONTROL KITU AMBACHO SI KWELI. GET IT RIGHT, RUHUSA YA MTU YEYOTE KUJIUNGA NA MTANDAO HAINA MAANA KUWA MTANDAO HUO HAUNA MWENYEWE AU KWAMBA AUNA CONTROL!
NAKANDAMIZA KIBARA, NASHUKURU KWA KUTUONYESHA KAZI NZURI YA HUYU BWANA, MAANA UMEJITAHIDI KUWA MKWELI KATIKA KUNAKIRI ILIVYO YALIYOMO KATIKA BARUA YAKE (KUONYESHA KUWA ANAPIGANIA HAKI) LAKINI PIA NIKUKUMBUSHE KUWA UMEGUSHI SAINI YA MTUMA UJUMBE HUO KWA KUKANDAMIZA KI-(BARA)X2, UMEANDIKA IFUATAVYO:
Damian
Katibu wa muda wa Watanzania
LAKINI VYANZO VYANGU VYA HABARI VIMELETA HIYO SAINI KAMA ILIYOANDIKWA NAYE KAMA IFUATAVYO.
Damian
Katibu wa Watanzania wa Holland
HAPA NDIPO TUNASEMA WE SMELL A RODENT, NI WAZO LA BUSARA TU LITOLEWALO KWAMBA HILO NENO ULILOONGEZA LA MUDA HUWA LINAPASWA KUJULIKANA YAANI MUDA GANI? TATIZO SI YEYE NI UTARATIBU NDIO UNAGOMBA HAPO. AMA UCHAGULIWE (MAANA UNAFAA) AU USIJIITE KIONGOZI WA WATANZANIA WA HOLLAND! MTU AKIPENDEKEZA UCHAGUZI USIMCHUKULIE KUWA HAKUPENDI ANAKUSAIDIA UWE NA LEGITIMACY YA KUONGOZA.
***************************
KAFARA
SHWARI!
)
ASANTE KWA MAELEZO MAZURI NA NADHANI SASA HATA MKAMP ANAWEZA KUELEWA TUNACHOKIELEZA JUU YA VIZA ZA MIHURI
*********************
MKAMAP
NDG. MKAMAP, HUNA HAJA YA KUOMBA MSAMAHA MAANA KAMA ULIVYOSEMA HUO NI MTAZAMO WAKO. LAKINI WANGU NI KUWA SIDHANI KAMA KUNA MTU ANAFAIDI HAPA AU LA, SUALA NI KUWA HUDUMA ANAZOTOA KONSULI, ENEO LA OFISI YAKE NA MAWASILIANO YAKE HAYARIDHISHI NDIYO MAANA WOTE TUNAKUBALI KUWA ANA MATATIZO MPAKA IKABIDI MALALAMIKO YAWASILISHWE KWA RAIS ALIYEPITA. TUNAPOTOFAUTIANA NI KUWA, LIYUNGU ANAONA HATUWEZI KUFANYA CHOCHOTE ETI KWA KUWA HUYU JAMAA ANAFANYA HIVYO KWA SABABU YA AMA ANA FEDHA NYINGI, ETI HATA RAIS WA SASA ANAMTEGEMEA NA AU ANA MAHUSIANO NA WAKUU, MIMI NASEMA HILO HALIKUBALIKI NA KAMA MTU HATOI HUDUMA NZURI KWA UMMA KATIKA OFISI ALIYOKABIDHIWA ANATAKIWA KUREKEBISHWA NA KAMA HAREKEBIKI AWAACHIE WENGINE WAHUDUMU. HIVYO TUTAENDELEA KUTOA TAARIFA POPOTE NA NINA UHAKIKA HILI LITAREKEBISHWA!
***************************
ZOMBA
ZOMBA, FUATILIA LIZUNGUMZWALO HAPA. WATU HAWAZUNGUMZII RANGI YA NGOZI YA MTU WALA NASABA YAKE BALI KUTORIDHIKA NA UTENDAJI WA MTU ALIYEKABIDHIWA OFISI AU MAJUKUMU YA SERIKALI.
Mchoro wa hitimisho lako unakwenda hivi:
Kiongozi Mwarabu alifanya kazi nzuri huko Oman kwa niaba ya Tanzania,
Katibu Mzungu wa Nyerere pamoja na kujua siri nyingi za serikali alifanya kazi nzuri.
Kwa hiyo Consul Mzungu wa Uholanzi lazima naye atafanya kazi nzuri tu.
Zomba utakuwa unakabiliwa na gonjwa hatari lijulikanalo kama Dicto simpliciteritis na pengine the slippery slope argumentitis, maana unaridhika na kujiachia tu katika utelezi.
Mpaka utakapotibiwa, hitimisho lako katika thread hii linaitwa taka.
Asante kwa sifa!
Back to the topic.
Malalamiko ya kutoridhika na Mtendaji wa ofisi na mawasiliano yake na Watanzania na pia Ubalozini na mahala ofisi ilipo, yameshafikishwa kunakohusika, subirini uchunguzi ufanywe na Wakuu wake na maboresho yakifanyika tutajulishana..
Code:
Nabii unayajua haya maana uko Holland sasa unamalizia masomo yako na wewe kila mara uko na Damian.
Wewe hujawahi kusimama na kufanya kwa kujituma kama anavyo fanya jamaa mbali ya kuwa DJ kila mara.
LIYUNGU, SAMAHANI JARIBU TENA KUFANYA UTAFITI WAKO VIZURI ILI TUFAHAMIANE ZAIDI NA NI KITU GANI NINACHOANDIKA HAPA. UDJ TENA? MBONA SIKUELEWI UNACHOSEMA?
MAELEZO NILIYOTOA MIMI NI MAJIBU YA MAELEZO YAKO AMBAYO HUZAA MASWALI MENGI SANA NA PIA UNAKUWA NA LUGHA YA KUJIGHAMBA KITU AMBACHO SIKIFAGILII HASILANI. MFANO ANGALIA MANENO UNAYOANDIKA MWENYEWE:-
Code:
[COLOR="red"]Mimi nina data nzito na bado nadhani he is right kufanya hayo maana mimi na wewe hatuwezi kumpunguzia lolote kwa serikali[/COLOR]
SASA HAPO NDIPO UNAPOULIZWA DATA NZITO ZIPI? NA KWA NINI SASA ZIWE SIRI WAKATI WEWE UNASEMA U MUWAZI AU HUMWOGOPI MTU? NDG. YANGU HAKUNA CHUKI NA MTU HUENDA NI JINSI UNAVYOJIELEZA NDIO UNAZUSHA MASWALI MWENYEWE. TENA ULISEMA,
Code:
[/B]Kelele zako juu ya huyu jamaa na mambo yake unazianza leo lakini sisi tumeanza zamani na sasa tumeamua kukaa kimya si kwamba tunakubal ila hatuna namna.
Bado tueleze uoga wako na grudges zako against huu mtandao na kwa nini unadhani unahitaji Katiba kwa malengo yapi.Otherwise kwa huyu Consular nasema wewe si wa Kwanza kulalamika watu wamesha mweleza hata Mkapa uso kwa uso akauchuna .
Hakkenburg alivyo pata nafasi ya kuwa Konsgula sijui lakini mimi Lunyungu nimefanya naye kazi kwa karibu sana na ananijua nilivyo mchungu kwa Nchi yangu na hataki kunisikia mimi. Na hivi siko Holland tena nadhani anapeta.
SAWA KAMA UMESHACHOKA UNATULIA TU WENGINE NAO WAENDELEE, INAWEZEKANA, NJIA ULIZOKUWA UNATUMIA KUTAFUTA UFUMBUZI ZILIKUWA SI NZURI AU KELELE ZAKO ULIZIPIGIA KULIKO SIKO,HATUJUI. WENGINE NAO SASA WATAENDELEA KWA STAILI ZAO, WAKICHOKA NAO WAKAE KIMYA, WENGINE WAENDELEE MPAKA SIKU YA KIAMA, AMBAPO ALLAH ATAKAPOKATA SHAURI. ZAIDI YA YOTE UNATUTUSI WATANZANIA WOTE UNAPOSEMA HIVI,
Code:
[I]Watanzania wenyewe wakiambiwa wajipange wafanye mambo yao hawawezi wanaona 10 euro ni kubwa na jamaa kwa kuwa anataka ujiko anachofanya ni kusema na viongozi wale na kutoa pesa ili wakutane .
Watanzania wana maneno tu kutenda hapana. Huyu mzungu ana matatizo sana lakini sasa tufanyeje ? Mwaka 2005 August Mkapa aliulizwa mbele yake kwamba kwa nini asiondolewe tukawa na mzawa na balozi majibu ni ya Mkapa jamaa anajitolea sana so mwacheni aendelee ila ataweka note kwenye hand over notice kwa rais ajaye
Kwa tabia za watanzania ni waongeaji kama hivi lakini you got no idea ugumu wa kuendesha mambo haya[/I]
LIYUNGU, BINAFSI NATOFAUTIANA KWA NGUVU ZOTE NA WEWE KATIKA MANENO KAMA HAYO HAPO JUU YA MAJUMLISHO YASIYOLETA MANTIKI WALA KUKUBALIKA.YAANI WEWE UNAONA WATANZANIA WOTE (INCLUDING YOU?) ZAIDI YA MILLION 40.5 KUWA NI WAZUNGUMZAJI TU NA KWAMBA HIYO NI TABIA YETU?? UKIAMBIWA UTUHAKIKISHIE HILO UTAWEZA? EBU JIFUNZE KUELEZA VITU ULIVYO NA UHAKIKA NAVYO NA BILA HAJA YA KUJISIFU KUWA WEWE NDIWE PEKEE MTENDAJI MWENYE UFANISI.
MAANA HATA SEHEMU NYINGINE ULISEMA KUWA BAADA YA KUONDOKA SASA KONSUL ATATESA AS IF WEWE PEKEE NDITE ULIBARIKIWA UTENDAJI BORA. KAZI YAKO INAWEZA KUWA NZURI, TUTAKUPONGEZA LAKINI HUNA HAJA YA KUWAONA WATANZANIA WENGINE WOTE KUWA NI VIBONDE.
Code:
[COLOR="red"]Tumia lugha kidogo ya ustaraabu wacha kuonyesha chuki[/COLOR]
SAMAHANI SI KAWAIDA YANGU WALA SIJAONYESHA CHUKI BALI NILIKUWA NAJIBU MASWALI YAKO MENGI BWANA LIYUNGU. WALA SINA TABIA YA KUBISHANA NA WEWE NA WALA SIJAWAHI KUBISHANA NA MTU KWA AJILI YA MABISHANO TU.
***********************************
NAKANDAMIZA KIBARA
Code:
[COLOR="red"][I]Nabii najua huyu jamaa unatoka naye mkoa mmoja huku Tanzania beef yenu inaanzia wapi [/I][/COLOR]
SAMAHANI KAMA WEWE UNATOKA NAYE MKOA MMOJA, SI KILA MTU, ENDELEA KUBASHIRI TU PENGINE TUTAFAHAMIANA VIZURI ZAIDI. MIMI SINA BEEF NA UNAYEMZUNGUMZIA, BALI HUWA NINA BIFU NA MATENDO YA MTU YEYOTE YULE YASIYO FUATA UWAJIBIKAJI UNAOPASWA.
Code:
Matatizo ya Consul si ya Damian tunayajua sote na tumesha sema hata mbele ya Rais pale The Hague majibu yake kila mmoja aliyasikia
NI MATATIZO GANI AMBAYO WEWE UNAYAFAHAMU AMBAYO YALISHINDIKANA KUONGEA NAYE (KONSULI MWENYEWE) NA AU BALOZI WETU MPAKA IKABIDI MMWAMBIE RAIS? NA JE SASA TUISHIE HAPO, KWA VILE MLISHA YAWASILISHA HUKO THE HAGUE?
Code:
Yeye anauza visa na mambo mengine kama ya utalii anatumia pesa za visa kutengeneza makaratasi na dvd na CD rom nk za utalii Tanzania.
INAONEKANA UNAJUA SANA TAARIFA YAKE YA FEDHA YA MAPATO NA MATUMIZI. HEBU TUMEGEE KWA UFAFANUZI ZAIDI MATUMIZI YA VIZA KUTENGENEZA MAKARATASI NA CD ROM N.B (zipi) KILA WAKATI
Code:
Sasa tafadhali sema shida yako na Damian ni ipi na network ya watanzania si umoja ule maana walio wengi ni wanafunzi ambao hawana muda wa kuunda umoja
NILISHASEMA SINA SHIDA NAYE; MAELEZO YA NETWORK YALITOLEWA KAMA MASAHIHISHO, PALE AMBAPO LIYUNGU ALIPOELEZA KUWA HUO NI MTANDAO AMBAO HAUMILIKIWI NA YEYOTE WALA HAKUNA ANAYE UCONTROL KITU AMBACHO SI KWELI. GET IT RIGHT, RUHUSA YA MTU YEYOTE KUJIUNGA NA MTANDAO HAINA MAANA KUWA MTANDAO HUO HAUNA MWENYEWE AU KWAMBA AUNA CONTROL!
Code:
Hapa wabongo wa Holland wanazidi kukubali kazi ya Damian jamani mimi nataka sasa muone maneno ya Nabii kama kweli huyu mtu anachukiwa anajipendeza .Naweza comment za wengine na barua ya Damian kwa Balozi Mlay.
NAKANDAMIZA KIBARA, NASHUKURU KWA KUTUONYESHA KAZI NZURI YA HUYU BWANA, MAANA UMEJITAHIDI KUWA MKWELI KATIKA KUNAKIRI ILIVYO YALIYOMO KATIKA BARUA YAKE (KUONYESHA KUWA ANAPIGANIA HAKI) LAKINI PIA NIKUKUMBUSHE KUWA UMEGUSHI SAINI YA MTUMA UJUMBE HUO KWA KUKANDAMIZA KI-(BARA)X2, UMEANDIKA IFUATAVYO:
Damian
Katibu wa muda wa Watanzania
LAKINI VYANZO VYANGU VYA HABARI VIMELETA HIYO SAINI KAMA ILIYOANDIKWA NAYE KAMA IFUATAVYO.
Damian
Katibu wa Watanzania wa Holland
HAPA NDIPO TUNASEMA WE SMELL A RODENT, NI WAZO LA BUSARA TU LITOLEWALO KWAMBA HILO NENO ULILOONGEZA LA MUDA HUWA LINAPASWA KUJULIKANA YAANI MUDA GANI? TATIZO SI YEYE NI UTARATIBU NDIO UNAGOMBA HAPO. AMA UCHAGULIWE (MAANA UNAFAA) AU USIJIITE KIONGOZI WA WATANZANIA WA HOLLAND! MTU AKIPENDEKEZA UCHAGUZI USIMCHUKULIE KUWA HAKUPENDI ANAKUSAIDIA UWE NA LEGITIMACY YA KUONGOZA.
***************************
KAFARA
Code:
ni vyema kama malalamiko ya nabii yamepelekwa kunakohusika kama
mkuu mwawado alivyoshauri na naamini wahusika watafuatilia.
SHWARI!
Code:
awali kulikuwapo na visa za muhuri. hii viza ilikuwa muhuri mkubwa unapigwa kwenye page kisha maeneo yanayohusika yanajazwa kwa mkono kwa mfano, muda viza, tarehe ya kutolewa
balozi iliyotowa viza nk. hata hivyo mfumo huu wa viza nadhani sasa umepitwa na wakati na balozi nyingi
zinatoa viza za kubandika (sina hakika kama balozi zote za tanzania zinatoa viza za kubandika
ASANTE KWA MAELEZO MAZURI NA NADHANI SASA HATA MKAMP ANAWEZA KUELEWA TUNACHOKIELEZA JUU YA VIZA ZA MIHURI
*********************
MKAMAP
Code:
Ila nilivyojitahidi kuelewa maudhuhi ya waandishi si kweli wanalaumu mholazi kuwa consula Bali kuna baadhi ya watanzania wanafaidika na kuwepo kwa mholanzi na wengine hawafaidiki sasa hapo ndipo beef linapoanza the better soln ni kumuondoa ili wote watoke suluhu ,hapa wabongo ndipo hua nawapenda yani loss-loss Big yes win-null Big no
Am sorry Nabii kama mtazamo wangu ni ndivyo sivyo
NDG. MKAMAP, HUNA HAJA YA KUOMBA MSAMAHA MAANA KAMA ULIVYOSEMA HUO NI MTAZAMO WAKO. LAKINI WANGU NI KUWA SIDHANI KAMA KUNA MTU ANAFAIDI HAPA AU LA, SUALA NI KUWA HUDUMA ANAZOTOA KONSULI, ENEO LA OFISI YAKE NA MAWASILIANO YAKE HAYARIDHISHI NDIYO MAANA WOTE TUNAKUBALI KUWA ANA MATATIZO MPAKA IKABIDI MALALAMIKO YAWASILISHWE KWA RAIS ALIYEPITA. TUNAPOTOFAUTIANA NI KUWA, LIYUNGU ANAONA HATUWEZI KUFANYA CHOCHOTE ETI KWA KUWA HUYU JAMAA ANAFANYA HIVYO KWA SABABU YA AMA ANA FEDHA NYINGI, ETI HATA RAIS WA SASA ANAMTEGEMEA NA AU ANA MAHUSIANO NA WAKUU, MIMI NASEMA HILO HALIKUBALIKI NA KAMA MTU HATOI HUDUMA NZURI KWA UMMA KATIKA OFISI ALIYOKABIDHIWA ANATAKIWA KUREKEBISHWA NA KAMA HAREKEBIKI AWAACHIE WENGINE WAHUDUMU. HIVYO TUTAENDELEA KUTOA TAARIFA POPOTE NA NINA UHAKIKA HILI LITAREKEBISHWA!
***************************
ZOMBA
Code:
Mbona Oman tulikuwa na konsela mwarabu, mmanga, muomani ambae alizaliwa bukoba na akaukana uraia alipofika oman, na aliwakilisha vizuri tuu.
ZOMBA, FUATILIA LIZUNGUMZWALO HAPA. WATU HAWAZUNGUMZII RANGI YA NGOZI YA MTU WALA NASABA YAKE BALI KUTORIDHIKA NA UTENDAJI WA MTU ALIYEKABIDHIWA OFISI AU MAJUKUMU YA SERIKALI.
Mchoro wa hitimisho lako unakwenda hivi:
Kiongozi Mwarabu alifanya kazi nzuri huko Oman kwa niaba ya Tanzania,
Katibu Mzungu wa Nyerere pamoja na kujua siri nyingi za serikali alifanya kazi nzuri.
Kwa hiyo Consul Mzungu wa Uholanzi lazima naye atafanya kazi nzuri tu.
Zomba utakuwa unakabiliwa na gonjwa hatari lijulikanalo kama Dicto simpliciteritis na pengine the slippery slope argumentitis, maana unaridhika na kujiachia tu katika utelezi.
Mpaka utakapotibiwa, hitimisho lako katika thread hii linaitwa taka.
Code:
Mie nnauhakika wewe ni Mwanga, mchawi mkubwa wee! na kama si mwanga basi unatoka kwenye ukoo wa wanga.
Asante kwa sifa!
Back to the topic.
Malalamiko ya kutoridhika na Mtendaji wa ofisi na mawasiliano yake na Watanzania na pia Ubalozini na mahala ofisi ilipo, yameshafikishwa kunakohusika, subirini uchunguzi ufanywe na Wakuu wake na maboresho yakifanyika tutajulishana..