maguzumasese2005
JF-Expert Member
- May 1, 2014
- 642
- 171
mkuu mbona sielewi kinachozungumzwa hapa msaada tafadhali mzee wa hammer ni nani mkuu?
Gwajima anatembelea hammer waumini wake wanatembelea ndala hawana hata hela ya kula.
mkuu mbona sielewi kinachozungumzwa hapa msaada tafadhali mzee wa hammer ni nani mkuu?
Wewe Uliyeleta huu uzi hapa, kwanza huna Sera, huna jipya, una unga unga tu taarifa za uongo na uzushi.
Wewe kinachokuzuzua ni hilo hummer 2? Au umasikini wako wa kipato na fikra?
Ungekuwa mchakarikaji wala usingethubutu kumnyooshea kidole masihi wa BWANA.
Laana inayoambatana na watu wote wenye tabia za kuwapaka matope watumishi wa Mungu hapa nchini itakufuata na wewe.
Ninao uhakika kuwa mwaka huu hauishi lazima mambo yako yaharibike, kila utakachoweka mkono wako kutenda hautafanikiwa. Kwa kwa umethubutu kunyoosha mkono wako kinyume na masihi wa BWANA.
Kama Haruni na Miriam walivyopigwa na ukoma ndivyo utakavyokuwa wewe.
Ushahidi kama hayo yote yatakupata ni kuwa utapotea kabisa hapa JF kama alivyopotea mwenzako The Bold. Imetosha kumtukanisha Mungu na kuwadhalilisha watumishi wake.
The bold nakufananisha na SUPERSUB umeingia tu umechangamsha mchezo Leo hakuna kulala tiririka
MBAYA ZAIDI KIJANA WA MIAKA ATA 40 AJAFIKA AN ZUZUKA NA
HAMMER NAAMINI. KWA MUNGU NA MIAKA YAKO WAWEZAPATA HATA TATU
KAMMA NDUGU MARAFIKI NIMEONA WATU WAKIPOTEA KABISA ULIMWENGU WA KIMWILI NA KIROHO NAMANISHA AWAPO DUNIAN KISA KUSEMA WATUMISHI WA MUNGU
NARUDIA TENA SISALI KWA GWAJIMA ILA KAMA UNANAKILU NENDA. THREAD ZINAZOMSEMA MZEE WA UPAKO NASISITIZA HILI NENO PIA
DON'T TOUCH MY ANNOINTING
MWOMBE MUNGU ASIKUPE HATA NAFASI YA KUONA UCHAFU KAMA HUU UNAOENDELEA HUKU JF NA WENYENDEGREE ZA LONG DISTANCE WAKIMTUKANA MUNGU SO SAD
Neno LA MSALABA KWA WANOPOTEA KWETU NI UPUUZI ......BALI......
WAYAHUDI WANATAKA ISHARA WAYUNANI WANATAKA .......
ANGALIENI SI WENGI WENYE HEKIMA YA MWILINI BALI MUNGU ALICHAG UA VINYONGE VYA DUNIA ILI AVIBATLISHE VILIVYOKO
MUNGU AKAWAPE HEKIMA NA HIKI KIKAWE CHOMBO TU CHA KUMTUKUZA MUNGU SI HABA NIKISEMA
KAMA SI KWELI YAONGELEWAYO JUU YA MTUMISHI WA MUNGU BASI MUNGU AKAWASAMEHE NA KUWATIA AIBU DUNIANI AKIWAKUMBUSHA MLIYOYAANDIKA HUMU MKAJUE MLIKUWA MKICHAMFUA MUNGU NA SI BINADAMU KAMA WAAMINIVYO
MIMI NILIPANDA APOLO AKATIA MAJI BALI APANDAYE NI MUNGU
NINYI NI SHAMBA LA MUNGU
HAMJUI YAKUWANNINYI NI HEKALU LA MUNGU ??
Mungu AWABARIKI
na aliemroga alishafariki
gwajima anatembelea hammer waumini wake wanatembelea ndala hawana hata hela ya kula.