MZEE WA HUMMER: Nyundo nyingine

MZEE WA HUMMER: Nyundo nyingine

Status
Not open for further replies.
Wewe Uliyeleta huu uzi hapa, kwanza huna Sera, huna jipya, una unga unga tu taarifa za uongo na uzushi.

Wewe kinachokuzuzua ni hilo hummer 2? Au umasikini wako wa kipato na fikra?

Ungekuwa mchakarikaji wala usingethubutu kumnyooshea kidole masihi wa BWANA.

Laana inayoambatana na watu wote wenye tabia za kuwapaka matope watumishi wa Mungu hapa nchini itakufuata na wewe.

Ninao uhakika kuwa mwaka huu hauishi lazima mambo yako yaharibike, kila utakachoweka mkono wako kutenda hautafanikiwa. Kwa kwa umethubutu kunyoosha mkono wako kinyume na masihi wa BWANA.

Kama Haruni na Miriam walivyopigwa na ukoma ndivyo utakavyokuwa wewe.

Ushahidi kama hayo yote yatakupata ni kuwa utapotea kabisa hapa JF kama alivyopotea mwenzako The Bold. Imetosha kumtukanisha Mungu na kuwadhalilisha watumishi wake.

Mtumishi naona unanena kwa lugha kumsafisha mzee wa hammer!
Sasa nasema hivi;
POKEA UPONYAJI KWA JIIINA LA YESU!
 
Bi. Kongosho! Naamini hili ni jina mbadala ila kulingana maaandiko masihi wa Bwana ni mpakwa mafuta wa Bwana
 
Watumishi wa siku hizi ni kichefuchefu hasa haya makanisa yanayoanzishwa kama utitiri.
Wizi mtupu, tena hadi wa wake za watu, duh " The dunia is over"
 
ishu iko huku nikianza kutiririka wasije kuanza kunitumia pm za vitisho na kutrace nilipo
usijichimbie kijijin wapitwa na mengi
Njoo tukae pale kwenye michongoma unipe habari inaonyesha uko nondo hakuna wakutuona pale
 
Dengu fake mmeumbuliwa sasa mnaanza kutunga shutuma fake! Poleni sana! Tengenezeni ugonjwa mwingine!
 
Huyo dogo ana NGOs zake mbili! Moja iko kule moro nyingine iko hapa dar ambayo wanaimiliki pamoja na mshkaji wake flani hivi yupo anasoma US, walisomaga wote kibaha!! Kwa ninavyofahamu ni kwamba dogo aliendaga kumtolea mahali mdogo wake mzee wa Hama, na baada ya hapo mzee wa hama akamuita aende dar ili wafahamiane!!! Basi unaambiwa baada ya kupiga piga stori nini mzee wa hama akagundua dogo ni genius afu anajuana sana na watu!!! Basi mzee wa hama akapropose awe anamsaidia kufanya hayo mambo ya kutakatisha michuzi!! Dogo kwa kuwa na yeye ni mtu wa mipango basi akasema poa, kazi ataiweza!! Na dogo yuko poa si kitoto katika kusuka mipango, maana anajuana sana na watu wa taasisi za fedha, huwa anawasaidia hadi wafanyabiashara wakubwa pale moro kuchukua mikopo mikubwa mikubwa benki... wenyewe huwa wanamuita champion!!! Nenda moro pale sehemu yao ya starehe panaitwa BIMA (samaki samaki) wanamjua vilivyo...


Inasemekana baada ya dogo kupewa mchongo huo ikabidi aimarishe mtandao wake! Alikuwaga na demu wake flani hivi walisoma wote mzumbe, kwa sasa yupo BOT (before that alikuwa STAMICCO)! Basi dogo akarirutubisha tena mapenzi yao ya enzi zileeee ili awe anamsaidia kwenye ishu za kutakatisha! Sasa kivumbi kilikuja ndoa na mdogo wake mzee wa hama ilipokaribia bibie akagundua kuwa dogo anauhusiano wa kimapenzi na huyo bibie wa BOT!! Basi palikuwa hapatoshi, mpaka wazazi wakaitwa wakaja kusuluhisha ila dogo akawa bado anakinyongo moyoni, akawa anasema bibie amemdhalilisha sana kumtuhumu kuwa ni mzinzi!!


Basi ikafika siku ya harusi ilikuwa novemba 2013, dogo haonekani na simu amezima!!!! Ilikuwa ni aibu ya mwaka unaambiwa... harusi ikahairishwa! Likapita


Sasa ndugu wakashangaa urafiki na ukaribu kati ya dogo na mzee wa hama haukufa hata baada ya lile tukio, basi mzee wa hama aliwekwa hadi vikao asiwe karibu na dogo maana ameidhalilisha sana familia, lakini wapiiii!!! Kumbe wenzao wanabiashara zao...


Sasa ikafika mwaka jana December mzee wa hama akaanza mkutano wa injili moro, na tofauti na mikoa mingine moro akaja na dada yetu muimbaji pamoja na mme wake!! Wanasema lengo lilikuwa ni kuwakutanisha na dogo ili hawape mpango mzima kuhusu part watakayokuwa wanaplay katika utakatishaji... naskia kikao kilifanyika Nashera Hotel, jumamosi tarehe 18, December!!

Baada ya kile kikao mume wa dada yetu muimbaji akawa anafanya kazi direct na pamoja na dogo kusaidia kutakatisha maprosoo ya muheshimiwa!! Wakapiga kazi fresh tu mpaka kufikia mwezi march mwaka huu, ambapo mume wa dada yetu muimbaji alipovurunda ishu flani hivi mpaka kupelekea Dogo kufunguliwa kesi ya madai ya MILIONI 90 (hii kesi mpaka sasa bado inaunguruma mahakama ya hakimu mkazi, Morogoro)!!!

Hapo ndipo mume wa dada yetu muimbaji alipoanza kuonja joto la jiwe mpaka sakata hili la kubaka.....

Wakuu, nisimalize uhondo wote maana mtaacha kunimiss na kuniombea!!

Tudadavue hii kwanza, alafu tutaendelea...
 
NDIO.

maana ya Masihi ni mpaka mafuta wa Bwana, simpl ni mtu aliyechaguliwa na Mungu wa Israel for special purpose kwa mfano kipindi cha agano la kale ambapo mtumishi Samweli alitumwa na Mungu wa Israel kwenda kumpakaa mafuta kijana mdogo kutoka katika nyumba ya Yesse aliyeitwa Daudi.

Hakuna mahali popote katika Biblia Agano la Kale au Jipya ambapo mtu aliyepakwa mafuta kuwa kuhani, nabii au mfalme aliitwa Masihi hata Daudi hakuitwa Masihi kwa sababu maandishi ya manabii yaliweka wazi Masihi angekuwa nani.....unless unasoma Biblia uliyoiandika wewe mwenyewe.

Masihi = christus=Kristo....Yesu peke yake ndiye Masihi.....unampenda Gwajima. Ni vizuri sana ni mchungaji wako, lakini angalia upendo wako kwake usikufanya ukaanza kukufuru.
 
Naomba kama kuna mtu wa Ufufuo na Uzima anaona hii comment yangu au post hii! usiandike chochote, waache waseme wakichoka watapumzika. daddy J. Gwajima hakuongelea chochote jumapili. Tuwapuuze maana hawana madhara yoyote kwetu!!!
 
Mtumishi naona unanena kwa lugha kumsafisha mzee wa hammer!
Sasa nasema hivi;
POKEA UPONYAJI KWA JIIINA LA YESU!




Mtumishi naona unanena kwa lugha kumsafisha mzee wa hammer!
Sasa nasema hivi;
POKEA UPONYAJI KWA JIIINA LA YESU!



MBAYA ZAIDI KIJANA WA MIAKA ATA 40 AJAFIKA AN ZUZUKA NA
HAMMER NAAMINI. KWA MUNGU NA MIAKA YAKO WAWEZAPATA HATA TATU

KAMMA NDUGU MARAFIKI NIMEONA WATU WAKIPOTEA KABISA ULIMWENGU WA KIMWILI NA KIROHO NAMANISHA AWAPO DUNIAN KISA KUSEMA WATUMISHI WA MUNGU
NARUDIA TENA SISALI KWA GWAJIMA ILA KAMA UNANAKILU NENDA. THREAD ZINAZOMSEMA MZEE WA UPAKO NASISITIZA HILI NENO PIA

DON'T TOUCH MY ANNOINTING


MWOMBE MUNGU ASIKUPE HATA NAFASI YA KUONA UCHAFU KAMA HUU UNAOENDELEA HUKU JF NA WENYENDEGREE ZA LONG DISTANCE WAKIMTUKANA MUNGU SO SAD


Neno LA MSALABA KWA WANOPOTEA KWETU NI UPUUZI ......BALI......

WAYAHUDI WANATAKA ISHARA WAYUNANI WANATAKA .......

ANGALIENI SI WENGI WENYE HEKIMA YA MWILINI BALI MUNGU ALICHAG UA VINYONGE VYA DUNIA ILI AVIBATLISHE VILIVYOKO

MUNGU AKAWAPE HEKIMA NA HIKI KIKAWE CHOMBO TU CHA KUMTUKUZA MUNGU SI HABA NIKISEMA

KAMA SI KWELI YAONGELEWAYO JUU YA MTUMISHI WA MUNGU BASI MUNGU AKAWASAMEHE NA KUWATIA AIBU DUNIANI AKIWAKUMBUSHA MLIYOYAANDIKA HUMU MKAJUE MLIKUWA MKICHAMFUA MUNGU NA SI BINADAMU KAMA WAAMINIVYO

MIMI NILIPANDA APOLO AKATIA MAJI BALI APANDAYE NI MUNGU

NINYI NI SHAMBA LA MUNGU
HAMJUI YAKUWANNINYI NI HEKALU LA MUNGU ??

Mungu AWABARIKI
 
Duuu ama kweli!
leta uhondo mku theBold
 
Last edited by a moderator:
Naomba kama kuna mtu wa Ufufuo na Uzima anaona hii comment yangu au post hii! usiandike chochote, waache waseme wakichoka watapumzika. daddy J. Gwajima hakuongelea chochote jumapili. Tuwapuuze maana hawana madhara yoyote kwetu!!!

shujaa wa daudi naona uko kazini
 
Naomba kama kuna mtu wa Ufufuo na Uzima anaona hii comment yangu au post hii! usiandike chochote, waache waseme wakichoka watapumzika. daddy J. Gwajima hakuongelea chochote jumapili. Tuwapuuze maana hawana madhara yoyote kwetu!!!

Mhhhh!!! Yetu macho na masikio maana...
 
Naomba kama kuna mtu wa Ufufuo na Uzima anaona hii comment yangu au post hii! usiandike chochote, waache waseme wakichoka watapumzika. daddy J. Gwajima hakuongelea chochote jumapili. Tuwapuuze maana hawana madhara yoyote kwetu!!!

Nakuonea huruma davidm unamtetea mtu unayemuona madhabauni ila hujui maisha yake baada ya kutoka kanisani.wacha watu wanayemjua nje ya kanisa wakupe habari
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom