MZEE WA HUMMER: Nyundo nyingine

MZEE WA HUMMER: Nyundo nyingine

Status
Not open for further replies.
Gwajima ni masihi????

Wewe Uliyeleta huu uzi hapa, kwanza huna Sera, huna jipya, una unga unga tu taarifa za uongo na uzushi.

Wewe kinachokuzuzua ni hilo hummer 2? Au umasikini wako wa kipato na fikra?

Ungekuwa mchakarikaji wala usingethubutu kumnyooshea kidole masihi wa BWANA.

Laana inayoambatana na watu wote wenye tabia za kuwapaka matope watumishi wa Mungu hapa nchini itakufuata na wewe.

Ninao uhakika kuwa mwaka huu hauishi lazima mambo yako yaharibike, kila utakachoweka mkono wako kutenda hautafanikiwa. Kwa kwa umethubutu kunyoosha mkono wako kinyume na masihi wa BWANA.

Kama Haruni na Miriam walivyopigwa na ukoma ndivyo utakavyokuwa wewe.

Ushahidi kama hayo yote yatakupata ni kuwa utapotea kabisa hapa JF kama alivyopotea mwenzako The Bold. Imetosha kumtukanisha Mungu na kuwadhalilisha watumishi wake.
 
Muda sio mrefu hii thread itakuwa page ya 30!

Karibu tena mkuu The bold!
 
Last edited by a moderator:
Watu wote tuliokua tunakesha tukiomba The bold arudi..sasa maombi yamejibu.. huyu hapa.. da ndugu yetu ulipotelea wapi.. nondo zako nimezisambaza kwa maelfu ya watu huku kanda ya ziwa.. leta nyingine.. hakika ndani ya masaa 10 watu elfu 1 watalala na taarifa zako mkuu.. nipe kazi.. shusha nondo hapa..here we go..

mie niliona kwenye gazeti la udaku wamempambaje the bold "aliotoa siri za mzee wa hummer atishiwa maisha"
apata "Simu za vitisho"
 
Last edited by a moderator:
Gwajima ni masihi????

NDIO.

maana ya Masihi ni mpaka mafuta wa Bwana, simpl ni mtu aliyechaguliwa na Mungu wa Israel for special purpose kwa mfano kipindi cha agano la kale ambapo mtumishi Samweli alitumwa na Mungu wa Israel kwenda kumpakaa mafuta kijana mdogo kutoka katika nyumba ya Yesse aliyeitwa Daudi.
 
watu wote tuliokua tunakesha tukiomba the bold arudi..sasa maombi yamejibu.. Huyu hapa.. Da ndugu yetu ulipotelea wapi.. Nondo zako nimezisambaza kwa maelfu ya watu huku kanda ya ziwa.. Leta nyingine.. Hakika ndani ya masaa 10 watu elfu 1 watalala na taarifa zako mkuu.. Nipe kazi.. Shusha nondo hapa..here we go..

uniokoe na yule mwovu
kwani ufalme niwako na utukufu. Na hata milele
amen
amen
amen
 
Last edited by a moderator:
mzee wa hummer humjui
aloset mchezo wote wa mbasha kubaka ili akae na kiburudisho fresh
Anhaaa kumbeeeee unajua huku idugumbi info zinachelewa haya wekeni hapa ili nikawasimulie wanakijiji wenzangu
 
Mwambie mchungaji wenu amfufue Amina Chifupa kama alivyoahidi.

Mkuu pastor Gwajima nilimsikia kwenye mkutano wake pale morogoro mwezi mwezi dec mwaka jana, akisema kwamba alitaka kumfufua Amina ila mama yake amina Chifupa hakuwa tayari simply alikataa hivyo pastor Gwajma akaacha kufanya yake.
 
Hivi ni kweli gwajima atakuwa anamiliki hammer tena mbili? Ngoja na mm niwe mshamba ktk hili
 
Nimeongea na jamaa kasema anaandaa nondo azishushe
 
Daaaahh!! Mkuu capitrait umenipa mzuka wa kukataa kuwa mpole!!! Ngoja nipekue makabrasha alafu nije nifunguke kiduchu kuhusu huyo dogo... huyo dogo ni mastermind kwenye vitu vingi sana!!! Wenyewe code name yake wanamuita ‘champion'!!!

Kumbe wakuu mpo wenye nyundo za maana tu ila mko kimya???

Capitrait endelea kufungua na mimi nakuja!! (Only kuhusu huyu ‘dogo')

Mkuu ulipotelea wapi welcome back shusha vi2 mpka waumini povu liwatoke
 
Anhaaa kumbeeeee unajua huku idugumbi info zinachelewa haya wekeni hapa ili nikawasimulie wanakijiji wenzangu

ishu iko huku nikianza kutiririka wasije kuanza kunitumia pm za vitisho na kutrace nilipo
usijichimbie kijijin wapitwa na mengi
 
The bold ameshajulikana na Mzee wa hammer akae kimya au aongee ni hakuna kitachobadilika.....kama kuna maovu yenye ushahidi ni jambo jema ila tusizushe issues zisizo za kweli.
 
Last edited by a moderator:
Na Yesu alikuwa nani?

NDIO.

maana ya Masihi ni mpaka mafuta wa Bwana, simpl ni mtu aliyechaguliwa na Mungu wa Israel for special purpose kwa mfano kipindi cha agano la kale ambapo mtumishi Samweli alitumwa na Mungu wa Israel kwenda kumpakaa mafuta kijana mdogo kutoka katika nyumba ya Yesse aliyeitwa Daudi.
 
Mmmhhh!!!!!!

Mkuu pastor Gwajima nilimsikia kwenye mkutano wake pale morogoro mwezi mwezi dec mwaka jana, akisema kwamba alitaka kumfufua Amina ila mama yake amina Chifupa hakuwa tayari simply alikataa hivyo pastor Gwajma akaacha kufanya yake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom