MZEE WA HUMMER: Nyundo nyingine

MZEE WA HUMMER: Nyundo nyingine

Status
Not open for further replies.
hahaha dady J Gwajima hajaongea chochote j2 na watu walikuwa wengi sana kanisani ..sasa mimi niongee nn mkuu

Dady!!?? unamtusi mama yako aliyekuzaa kwa kumtetea huyo masihi wako.
 
Duh full chenga hapa...


SUALA LA WIZI WA FEDHA TSH200BILS NI HATARI KWA TAIFA YAPO MAMBO YA MSINGI KAMA IFUATAVYO:
1. Singh Sethi wa PAP amesajiliwa Kenya Kama raia wa Afrika Kusini mwenye asili ya Asia
2. Singh Sethi wa PAP amesajiliwa Afrika Kusini Kama raia wa Kenya mwenye asili ya Asia
3. Singh Sethi wa PAP amesajiliwa Tanzania Kama raia wa Tanazani Mzaliwa wa Ruvuma
4. Singh Sethi alishirikiana na Geodion Moi mtoto wa Rais Mio kwa wizi wa US$600million na kuangusha serikali ya KANU
5. Singh Sethi ametajwa kushirikinana Riziwan (Albert Marwa) ndungu wa familia ya JK na kusababisha wizi wa Tshs200Bls
6. Mwanamke Mbunge wa UK alipambana sana kwenye Bunge la UK wakati wa wizi wa fedha za Rada ulifanyika na BAYE na hatimaye fedha zikarudi Tanzania. Serious Fraud ilikuja hapa na kuwadaka akina Chenge na wizi ule lakini CCM ikawalinda.
7. Leo UKAWA wanapewa document ya ukweli juu ya Wizi wa akina Werema na wametoka nje kushinikiza akina Eliakimu Maswi wakamatwe. Ukweli ni kwamba Benki ya Standard Chater ya UK imetapeliwa zaidi ya Tsh1770bls na Singh Sett na wenzake. Serious Fraud wapo hapa na kila kitu kinafahamika
8. Kumufukuza balozi wa UK ni sawa na kumufukuza nzi badala ya kuondoa Kinyesi.
9. Prof Muhongo na Lugora wanasema pesa Tshs200Bils sio za serikali ,Je pesa zisizokuwa za serikali zinawapa CCM kuiba??. Mbona Mbunge la UK walijadili pesa zetu na kuwataja akina Chenge hadi zikarejeshwa?? Huu ni upuuzi wa CCM na serikali yake

10. Kule Malawi watendaji wa Malawi wakiongozwa na Rais Joyce Banda waliiba Zaidi ya US$320 sawa na saidi ya Tshs 500bils wizi huo unaitwa CASHGACSANDAL na Ubalozi wa UK umesususia kutoa Misaada Malawi. Rais Mpya Peter Muthariaka ametangaza Kumushughurikia Kwanza Rais Banda na watu wake ndipo aangalie katiba.
Hapa Tanzania kuna wizi wa Escrow Scandal na Kikwete ameamua kuficha wizi huo na kufanya propaganda za msiba wa Mama Zitto kabwe(shida salumu) huku akijificha kwenye ugonjwa wa dengue na Ukawa!
CCM na watawala wachague Kuwatetea Watuhumiwa kwa malengo ya kuangusha serikali nzima au kuwashughurikia watuhumiwa na kuokoa serikali
 
Naomba kama kuna mtu wa Ufufuo na Uzima anaona hii comment yangu au post hii! usiandike chochote, waache waseme wakichoka watapumzika. daddy J. Gwajima hakuongelea chochote jumapili. Tuwapuuze maana hawana madhara yoyote kwetu!!!

Hee Gwajima ni daddy yenu eeh?
 
The Bold unatisha kaka. Nasubiri nyundo nyingine ya uchafu wa Gwajima
 
Una Uhakika? Umbea Utakupeleka Jehanum

Mkuu naona unaingiza siku, mbona upo peke yako wenzako wako wapi kitengo chenu cha propaganda eti ni kweli mnalipwa kama wale wa vijana wa Lumumba?
 
Huyo dogo ana NGOs zake mbili! Moja iko kule moro nyingine iko hapa dar ambayo wanaimiliki pamoja na mshkaji wake flani hivi yupo anasoma US, walisomaga wote kibaha!! Kwa ninavyofahamu ni kwamba dogo aliendaga kumtolea mahali mdogo wake mzee wa Hama, na baada ya hapo mzee wa hama akamuita aende dar ili wafahamiane!!! Basi unaambiwa baada ya kupiga piga stori nini mzee wa hama akagundua dogo ni genius afu anajuana sana na watu!!! Basi mzee wa hama akapropose awe anamsaidia kufanya hayo mambo ya kutakatisha michuzi!! Dogo kwa kuwa na yeye ni mtu wa mipango basi akasema poa, kazi ataiweza!! Na dogo yuko poa si kitoto katika kusuka mipango, maana anajuana sana na watu wa taasisi za fedha, huwa anawasaidia hadi wafanyabiashara wakubwa pale moro kuchukua mikopo mikubwa mikubwa benki... wenyewe huwa wanamuita champion!!! Nenda moro pale sehemu yao ya starehe panaitwa BIMA (samaki samaki) wanamjua vilivyo...


Inasemekana baada ya dogo kupewa mchongo huo ikabidi aimarishe mtandao wake! Alikuwaga na demu wake flani hivi walisoma wote mzumbe, kwa sasa yupo BOT (before that alikuwa STAMICCO)! Basi dogo akarirutubisha tena mapenzi yao ya enzi zileeee ili awe anamsaidia kwenye ishu za kutakatisha! Sasa kivumbi kilikuja ndoa na mdogo wake mzee wa hama ilipokaribia bibie akagundua kuwa dogo anauhusiano wa kimapenzi na huyo bibie wa BOT!! Basi palikuwa hapatoshi, mpaka wazazi wakaitwa wakaja kusuluhisha ila dogo akawa bado anakinyongo moyoni, akawa anasema bibie amemdhalilisha sana kumtuhumu kuwa ni mzinzi!!


Basi ikafika siku ya harusi ilikuwa novemba 2013, dogo haonekani na simu amezima!!!! Ilikuwa ni aibu ya mwaka unaambiwa... harusi ikahairishwa! Likapita


Sasa ndugu wakashangaa urafiki na ukaribu kati ya dogo na mzee wa hama haukufa hata baada ya lile tukio, basi mzee wa hama aliwekwa hadi vikao asiwe karibu na dogo maana ameidhalilisha sana familia, lakini wapiiii!!! Kumbe wenzao wanabiashara zao...


Sasa ikafika mwaka jana December mzee wa hama akaanza mkutano wa injili moro, na tofauti na mikoa mingine moro akaja na dada yetu muimbaji pamoja na mme wake!! Wanasema lengo lilikuwa ni kuwakutanisha na dogo ili hawape mpango mzima kuhusu part watakayokuwa wanaplay katika utakatishaji... naskia kikao kilifanyika Nashera Hotel, jumamosi tarehe 18, December!!

Baada ya kile kikao mume wa dada yetu muimbaji akawa anafanya kazi direct na pamoja na dogo kusaidia kutakatisha maprosoo ya muheshimiwa!! Wakapiga kazi fresh tu mpaka kufikia mwezi march mwaka huu, ambapo mume wa dada yetu muimbaji alipovurunda ishu flani hivi mpaka kupelekea Dogo kufunguliwa kesi ya madai ya MILIONI 90 (hii kesi mpaka sasa bado inaunguruma mahakama ya hakimu mkazi, Morogoro)!!!

Hapo ndipo mume wa dada yetu muimbaji alipoanza kuonja joto la jiwe mpaka sakata hili la kubaka.....

Wakuu, nisimalize uhondo wote maana mtaacha kunimiss na kuniombea!!

Tudadavue hii kwanza, alafu tutaendelea...

Yes The bold, there we go.
 
Last edited by a moderator:
Naomba kama kuna mtu wa Ufufuo na Uzima anaona hii comment yangu au post hii! usiandike chochote, waache waseme wakichoka watapumzika. daddy J. Gwajima hakuongelea chochote jumapili. Tuwapuuze maana hawana madhara yoyote kwetu!!!

Ahahahahaha unakimbia. Nilikwambia, the game is not over na huyo mungu mtu wenu. This is just the beginning
 
Najitole kuwa msukule....... bure kabisa sihitaji hat Mia. with wanakufa hospital kwanini hamuendi kuwafufua?
 
Mwamakula, mkuu naomba ukaanzishe thread inayohusiana na ayo unayoyazungumza, ungese wa CCM tunaujua na serikali yake wewe cio wa kwanza kuona hilo, unatambua fka kuwa wananchi tumechoka na huo ujinga so unauleta kwenye hii thread ukiwa na uhakika utavuruga uelekeo wa hii thread, so plz nenda ukaanzishe thread nyngne tutakuja kucomment hii thread inahusu davidm's dad!!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom