Jitaidi Ila Kumbuka Iwe Ni Kweli Kama Ni UONGO Laana Itakufuatilia Mpaka Kizazi Cha 4, Kuwa Makini Sana Unapogusa Watumishi Wa Mungu
Unamkashifu Pastor Gwajima, Mizuka Yote Tunaitoa Kwa Jina La Yesu Na Ukitaka Kunijua Picha Yangu Iyo Apo Kwa Profile, Okoka Uache Uhuni Kijana
Sasa Kama Una Mizuka Wewe Ni Mfuasi Wa Ibilisi Na Ndio Maana Unamkashifu Pastor Gwajima, Mizuka Yote Tunaitoa Kwa Jina La Yesu Na Ukitaka Kunijua Picha Yangu Iyo Apo Kwa Profile, Okoka Uache Uhuni Kijana
fake pastors wanawakalilisha maandiko na nyinyi bila kupambanua mnakubali!! Kwanza biblia inasema ...mtoto hatahukumiwa kwa dhambi ya baba, na baba hatahukumiwa kwa dhambi ya mtoto.."! Fake pastors wanawakalilisha andiko la kulaaniwa mara kwa mara ili muogope kuwacritisize pale wanapokosea, wakati hata mtume paulo ansema ... Msiiamini kila roho bali zipimeni kama kweli roho hizo zimetoka kwa mungu!!
mbona umeshupalia kumtetea mzee wa hummer
kijana mbona unaweweseka?? Nani anayemzungumzia gwajima hapa!! Mi naona watu wanaamjadili mzee wa hummer wewe unakurupuka kumtaja gwajima? Umerogwa?
nimeshakueleza, mimi si mtu wa porojo sana,endelea..
Kijana mbona unaweweseka?? Nani anayemzungumzia gwajima hapa!! Mi naona watu wanaamjadili mzee wa hummer wewe unakurupuka kumtaja gwajima? Umerogwa?
hatetewi mtu hapa, tatizo watanzania wengi wamezoea porojo, mbona huwa uliz hao wanaomkashifu ni kwa nini?
Karibu nyumbani the bold
nimeshakueleza, mimi si mtu wa porojo sana,endelea..
Mbinguni kunamakaaooo mazuriii sana mbinguniii kweliio kuna Makao mazuriisana
HALELLUYA TUTAONANAAAAALELUYAA TUTAONANA TUTAONANA MBINGUNI KWA BABA ALELUYA TUTAONANA NAE
CAPITRIT TUTAMWONAAABTUKIFIKA ....KWA.......NAE THE BOLD TUTAMWONA
DONT TOUCH MY ANNOINTING
Kijana mbona unaweweseka?? Nani anayemzungumzia gwajima hapa!! Mi naona watu wanaamjadili mzee wa hummer wewe unakurupuka kumtaja gwajima? Umerogwa?