MZEE WA HUMMER: Nyundo nyingine

MZEE WA HUMMER: Nyundo nyingine

Status
Not open for further replies.

Capitrait

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
226
Reaction score
328
kwanza kabisa niseme nimekuwa very dissappointed na huyu mkuu The Bold kwa uoga aliouonyesha kukaa kimya kwasababu ya mikwara ya kitoto aliyopigwa!! hivi inakuwaje mtu info muhimu kusaidia taofa lako lakini unakubali kufungwa mdomo kirahisi namna hii? kama kila mtu angekuwa muoga kama The Bold hivi hii nchi ingekuwa wapi? tufahamu kuwa hata wanasiasa wanaofichua ufisadi nao huwa wanarisk maisha yao kama wewe The Bold lakini wanapiga moyo konde!! huwa tunapenda kushangilia tu lakini sisi tukiwa na taarifa muhimu tunaufyata mkia kuhofia kuuawa!!! watu kama The Bold hamfai kuishi hapa Tanzania, tafuteni nnchi nyingine mkaishi.....


turudi kwenye nyundo!

NAMNA MZEE WA HUMMER ANAVYOSAFISHA PESA HARAMU

nimefuatilia kwa makini sana post zilizokuwa zikiwekwa na The Bold, na baada ya kujiridhisha na usahihi wa taarifa zake na baada ya kumuona ameingia mitini nimeona ni bora na mimi nifunguke kueleza yale ninayoyafahamu juu ya mzee wa hummer, katika bandiko hili nitajikita zaidi kueleza namna ambavyo huyu mtu anasafisha pesa zake...

baada ya jamaa kutibuana katika ile CARTEL yao inaonekana kuwa jamaa akapania kuunda mtandao wake mwenyewe yeye binafsi!! The bold alitaja mambo kadhaa ambayo jamaa aliyafanya lakini kuna moja nahisi The Bold bado hajalifahamu ni kuwa jamaa alitafuta watu maalumu kwa ajili ya kumsaidia kusafisha fedha na hapa ndipo hasa alipowahitaji yule dada yetu muimbaji, mumewe na Bwana Mdogo mmoja anaishi moro ambaye kwa kipindi kile alikuwa amemchumbia mdogo wake mzee wa hummer!! master Mind katika hii ishu alikuwa ni huyo Bwana Mdogo wa moro ambaye ni shemejiye Mzee wa Hummer... (naomba nilisitiri jina lake) ila nitaeleza kwa ufupi wasifu wake na wasifu wa mchumba wake (mdogo wake mzee wa hummer) ili tuweze kuelewa vizuri nitakachokiandika...

MDOGO WA MZEE WA HUMMER -- binti mwenye umri wa miaka 26, amewahi kuajiriwa katika mashirika makubwa tya misaada yakiwemo International Rescue Committee, UNHCR na sasa anafanya kazi katika shirika lingine kubwa lenye makazi yake nchini marekani.

MCHUMBA WAKE -- huyu dogo ana miaka 28, amesoma kibaha enzi zile za vipaji maalumu, A-level alichaguliwa tambaza ila hakumaliza akacha akaenda kupiga mishe mishe marekani, baadaye alirudi akaenda kumalizia masomo yake Chuo kikuu Mzumbe

post hajiaingia yote wakuu! najitahidi niilete yote...
 
We Hamna Kitu Umekopi Umbea Ukaja Nao Huku Hata Huusoma,USIANDIKE USIJOJUA WEWE KIJANA, UMEKALIA MAJUNGU TU
 
Mkuu sikuelewi . wewe unaogopa nini kuwataja ? kama na mwenyewe si muoga kama huyo the bold ? wataje the bold. mzee wa hummer tuwajue tuwaepuke.
 
post haijakaa yote wakuu! najitahidi niirekebishe
 
Mzee wa hammer ni mpuuzi na mtu wa motoni tu ,mungu atamuumbua hapahapa duniani .alaaniwe kwa umafia anaofanya.
 
kwanza kabisa niseme nimekuwa very dissappointed na huyu mkuu The Bold kwa uoga aliouonyesha kukaa kimya kwasababu ya mikwara ya kitoto aliyopigwa!! hivi inakuwaje mtu info muhimu kusaidia taofa lako lakini unakubali kufungwa mdomo kirahisi namna hii? kama kila mtu angekuwa muoga kama The Bold hivi hii nchi ingekuwa wapi? tufahamu kuwa hata wanasiasa wanaofichua ufisadi nao huwa wanarisk maisha yao kama wewe The Bold lakini wanapiga moyo konde!! huwa tunapenda kushangilia tu lakini sisi tukiwa na taarifa muhimu tunaufyata mkia kuhofia kuuawa!!! watu kama The Bold hamfai kuishi hapa Tanzania, tafuteni nnchi nyingine mkaishi.....


turudi kwenye nyundo!

NAMNA MZEE WA HUMMER ANAVYOSAFISHA PESA HARAMU

nimefuatilia kwa makini sana post zilizokuwa zikiwekwa na The Bold, na baada ya kujiridhisha na usahihi wa taarifa zake na baada ya kumuona ameingia mitini nimeona ni bora na mimi nifunguke kueleza yale ninayoyafahamu juu ya mzee wa hummer, katika bandiko hili nitajikita zaidi kueleza namna ambavyo huyu mtu anasafisha pesa zake...

baada ya jamaa kutibuana katika ile CARTEL yao inaonekana kuwa jamaa akapania kuunda mtandao wake mwenyewe yeye binafsi!! The bold alitaja mambo kadhaa ambayo jamaa aliyafanya lakini kuna moja nahisi The Bold bado hajalifahamu ni kuwa jamaa alitafuta watu maalumu kwa ajili ya kumsaidia kusafisha fedha na hapa ndipo hasa alipowahitaji yule dada yetu muimbaji, mumewe na Bwana Mdogo mmoja anaishi moro ambaye kwa kipindi kile alikuwa amemchumbia mdogo wake mzee wa hummer!! master Mind katika hii ishu alikuwa ni huyo Bwana Mdogo wa moro ambaye ni shemejiye Mzee wa Hummer... (naomba nilisitiri jina lake) ila nitaeleza kwa ufupi wasifu wake na wasifu wa mchumba wake (mdogo wake mzee wa hummer) ili tuweze kuelewa vizuri nitakachokiandika...

MDOGO WA MZEE WA HUMMER -- binti mwenye umri wa miaka 26, amewahi kuajiriwa katika mashirika makubwa tya misaada yakiwemo International Rescue Committee, UNHCR na sasa anafanya kazi katika shirika lingine kubwa lenye makazi yake nchini marekani.

MCHUMBA WAKE -- huyu dogo ana miaka 28, amesoma kibaha enzi zile za vipaji maalumu, A-level alichaguliwa tambaza ila hakumaliza akacha akaenda kupiga mishe mishe marekani, baadaye alirudi akaenda kumalizia masomo yake Chuo kikuu Mzumbe

post hajiaingia yote wakuu! najitahidi niilete yote...

Mbinguni kunamakaaooo mazuriii sana mbinguniii kweliio kuna Makao mazuriisana


HALELLUYA TUTAONANAAAAALELUYAA TUTAONANA TUTAONANA MBINGUNI KWA BABA ALELUYA TUTAONANA NAE

CAPITRIT TUTAMWONAAABTUKIFIKA ....KWA.......NAE THE BOLD TUTAMWONA

DONT TOUCH MY ANNOINTING
 
post haijakaa yote wakuu! najitahidi niirekebishe

Jitaidi Ila Kumbuka Iwe Ni Kweli Kama Ni UONGO Laana Itakufuatilia Mpaka Kizazi Cha 4, Kuwa Makini Sana Unapogusa Watumishi Wa Mungu
 
Daaaahh!! Mkuu capitrait umenipa mzuka wa kukataa kuwa mpole!!! Ngoja nipekue makabrasha alafu nije nifunguke kiduchu kuhusu huyo dogo... huyo dogo ni mastermind kwenye vitu vingi sana!!! Wenyewe code name yake wanamuita ‘champion'!!!

Kumbe wakuu mpo wenye nyundo za maana tu ila mko kimya???

Capitrait endelea kufungua na mimi nakuja!! (Only kuhusu huyu ‘dogo')
 
Daaaahh!! Mkuu capitrait umenipa mzuka wa kukataa kuwa mpole!!! Ngoja nipekue makabrasha alafu nije nifunguke kiduchu kuhusu huyo dogo... huyo dogo ni mastermind kwenye vitu vingi sana!!! Wenyewe code name yake wanamuita ‘champion'!!!

Kumbe wakuu mpo wenye nyundo za maana tu ila mko kimya???

Capitrait endelea kufungua na mimi nakuja!! (Only kuhusu huyu ‘dogo')

Unajipaisha Tu Kijana, Ivi Wewe Ni Wa Kumuita Pastor Gwajima Dogo! Ok Ngoja Muda Kidogo Ntakuanika Hapa Wewe Ni Nani Na Ip Adres Unayotumia Na Location Ulipo{ha Ha Ha Ha Ha, Cheki Ulivotoa Macho!}
 
Wewe Uliyeleta huu uzi hapa, kwanza huna Sera, huna jipya, una unga unga tu taarifa za uongo na uzushi.

Wewe kinachokuzuzua ni hilo hummer 2? Au umasikini wako wa kipato na fikra?

Ungekuwa mchakarikaji wala usingethubutu kumnyooshea kidole masihi wa BWANA.

Laana inayoambatana na watu wote wenye tabia za kuwapaka matope watumishi wa Mungu hapa nchini itakufuata na wewe.

Ninao uhakika kuwa mwaka huu hauishi lazima mambo yako yaharibike, kila utakachoweka mkono wako kutenda hautafanikiwa. Kwa kwa umethubutu kunyoosha mkono wako kinyume na masihi wa BWANA.

Kama Haruni na Miriam walivyopigwa na ukoma ndivyo utakavyokuwa wewe.

Ushahidi kama hayo yote yatakupata ni kuwa utapotea kabisa hapa JF kama alivyopotea mwenzako The Bold. Imetosha kumtukanisha Mungu na kuwadhalilisha watumishi wake.
 
Hapa itanipasa nifuatilie kwa ukaribu naona wenyewe wamekuja.
 
Daaaahh!! Mkuu capitrait umenipa mzuka wa kukataa kuwa mpole!!! Ngoja nipekue makabrasha alafu nije nifunguke kiduchu kuhusu huyo dogo... huyo dogo ni mastermind kwenye vitu vingi sana!!! Wenyewe code name yake wanamuita ‘champion'!!!

Kumbe wakuu mpo wenye nyundo za maana tu ila mko kimya???

Capitrait endelea kufungua na mimi nakuja!! (Only kuhusu huyu ‘dogo')

Naona Tunaelekea Season Two, Episode One...
 
Daaaahh!! Mkuu capitrait umenipa mzuka wa kukataa kuwa mpole!!! Ngoja nipekue makabrasha alafu nije nifunguke kiduchu kuhusu huyo dogo... huyo dogo ni mastermind kwenye vitu vingi sana!!! Wenyewe code name yake wanamuita ‘champion'!!!

Kumbe wakuu mpo wenye nyundo za maana tu ila mko kimya???

Capitrait endelea kufungua na mimi nakuja!! (Only kuhusu huyu ‘dogo')
Mkuu na wewe umezidi uoga. sijui ni mbinu yako ya ku'draw watu antention! I don't know.
 
Daaaahh!! Mkuu capitrait umenipa mzuka wa kukataa kuwa mpole!!! Ngoja nipekue makabrasha alafu nije nifunguke kiduchu kuhusu huyo dogo... huyo dogo ni mastermind kwenye vitu vingi sana!!! Wenyewe code name yake wanamuita ‘champion'!!!

Kumbe wakuu mpo wenye nyundo za maana tu ila mko kimya???

Capitrait endelea kufungua na mimi nakuja!! (Only kuhusu huyu ‘dogo')

Sasa Kama Una Mizuka Wewe Ni Mfuasi Wa Ibilisi Na Ndio Maana Unamkashifu Pastor Gwajima, Mizuka Yote Tunaitoa Kwa Jina La Yesu Na Ukitaka Kunijua Picha Yangu Iyo Apo Kwa Profile, Okoka Uache Uhuni Kijana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom