Wewe jamaa Nimewahi kukwambi Magufuli ataendelea kukuumiza mpaka kufa kwako na kila utakaposkia jina lake utakuwa unaamsha vidonda vya tumbo, ni dhairi tangu JPM avuruge kabisa maisha yako mpaka leo haujakaa sawa na wala akili yako haiko sawa fanya kumuona daktari kabla hali haijawa mbaya zaidi ukaokota na makopo.Hizo comments zisikuumize wewe uliyefiwa zije kuniumiza mimi. Mimi kwangu ni furaha tele. Mungu alinishindia na kuwashindia Watanzania wote. Naamini kuna sehemu tulimkosea Mungu so akatupa huyo jiwe kama adhabu. Tulipotubu akatusamehe na kumuondosha.
Halafu wewe kama nani unawasemea watanzania wote? Uliyemkosea Mungu ni wewe na familia yako kiasi kwamba umeshindwa kupona mpaka leo, unauguza maumivu tu.
Mungu gani huyo anaweza akamuondoa Magufuli kisha akakupa kiongozi aina ya Samia mpuuzi wewe??
Wewe mpumbavv hauna sababu yoyote ya maana inayokufanya kushangilia kifo cha magufuli zaidi ya kuharibiwa ugali wako tu uliokuwa unaupata kwa ujanjanja.. maana kama ni utekaji,mauaji,ukandamizaji wa demokrasia,hofu,ufisadi kwenye awamu hii ndio vimezidi, lakin wala hata hauoneshi kuumizwa, wewe kila kukicha unakuja humu kuwinda comments zinazomuhusu Magufuli tu, kisha uanze kutoa nyongo kama sehemu ya kujipa faraja kwa maumivu yako yasioisha.
Utakufa na kihoro mjinga wewe.