Mzee Makamba Pole sana

Mzee Makamba Pole sana

Makamba Snr aliwahi kusema katiba hair lets ugali mezani. Tungekua na katiba bora na nchi inayoongozwa kwa utawala wa sheria. Mtoto wake angeweza kutimiza ndoto zake za kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
 
Wakuu,

Huyu Mzee wetu Makamba ni mnafiki sana alitubuana na Jiwe Kwa mambo yake ya Kuuma na Kupuliza
Leo nimeona list ya watoto wa Viongozi wengi sana wakiwa wamependekezwa ili kwenda kupigiwa Kura na Wajumbe

Kitu Kimenifurahisha Mtoto wa Mzee Makamba January Makamba wamemkata!!!
Huyu Mzee ndio kapotea kabisa kwenye Mikutano ya chama Sasa alambe asali Vizuri

Hakuna Mtu Mkubwa kuliko Chama.
'Mamake una maatatizo ya kiakili, unamuonea huruma Mze Makamba ili iweje? Huyu mtu hastahili huruma yeyote, ni mpuuzi mno na mnafiki aliyeshindikana. Ni bora arudie tu taaluma yake ya uimbaji taarab kama awali.
 
Wakuu,

Huyu Mzee wetu Makamba ni mnafiki sana alitubuana na Jiwe Kwa mambo yake ya Kuuma na Kupuliza
Leo nimeona list ya watoto wa Viongozi wengi sana wakiwa wamependekezwa ili kwenda kupigiwa Kura na Wajumbe

Kitu Kimenifurahisha Mtoto wa Mzee Makamba January Makamba wamemkata!!!
Huyu Mzee ndio kapotea kabisa kwenye Mikutano ya chama Sasa alambe asali Vizuri

Hakuna Mtu Mkubwa kuliko Chama.
Anabatizwa kwa MOTO.
 
Jiwe alilolikataa Makamba naona limekuwa laana kwa familia yake sasa.
Lazima unabii wa jiwe utakumbukwa tu.
Wa kukumbukwa kwa mema na wala si kwa mabaya,
Amina.
Uovu wote ule alioufanya kwa Taifa ni nani atamsahau. Hata huko alipo ikibidi afe tena. Kama kuna mtu alihusika kwenye kifo chake basi huyo inabidi awe shujaa wa Taifa
 
Mambo ya nyakati....
Kabisa,maana alikuwa bingwa wa kutengeneza sinema,leo hii naskia huko Pwani magari yameandaliwa kila kata na vijiji ili waende kwenye uzinduzi wa bandari kavu.Lengo ni kuonyesha kiongozi anapendwa saana.Kuna saa unaanza kuamini hata upuuzi tunaupenda.
 
Wakuu,

Huyu Mzee wetu Makamba ni mnafiki sana alitubuana na Jiwe Kwa mambo yake ya Kuuma na Kupuliza
Leo nimeona list ya watoto wa Viongozi wengi sana wakiwa wamependekezwa ili kwenda kupigiwa Kura na Wajumbe

Kitu Kimenifurahisha Mtoto wa Mzee Makamba January Makamba wamemkata!!!
Huyu Mzee ndio kapotea kabisa kwenye Mikutano ya chama Sasa alambe asali Vizuri

Hakuna Mtu Mkubwa kuliko Chama.
ALisema wapinzani watabatizwa kwa moto sasa mwanae nae kabatizwa kwa moto.
 
Wakuu,

Huyu Mzee wetu Makamba ni mnafiki sana alitubuana na Jiwe Kwa mambo yake ya Kuuma na Kupuliza
Leo nimeona list ya watoto wa Viongozi wengi sana wakiwa wamependekezwa ili kwenda kupigiwa Kura na Wajumbe

Kitu Kimenifurahisha Mtoto wa Mzee Makamba January Makamba wamemkata!!!
Huyu Mzee ndio kapotea kabisa kwenye Mikutano ya chama Sasa alambe asali Vizuri

Hakuna Mtu Mkubwa kuliko Chama.
Mwenyekiti ni mkubwa kuliko chama kanusha
 
Wakuu,

Huyu Mzee wetu Makamba ni mnafiki sana alitubuana na Jiwe Kwa mambo yake ya Kuuma na Kupuliza
Leo nimeona list ya watoto wa Viongozi wengi sana wakiwa wamependekezwa ili kwenda kupigiwa Kura na Wajumbe

Kitu Kimenifurahisha Mtoto wa Mzee Makamba January Makamba wamemkata!!!
Huyu Mzee ndio kapotea kabisa kwenye Mikutano ya chama Sasa alambe asali Vizuri

Hakuna Mtu Mkubwa kuliko Chama.
CCM chama dume, hakuna mkubwa kuliko chama. Siondoki CCM kumpotea January ni zaidi ya ushindi. Yule ni tapeli, mpenda makuu, msaliti, hana adabu, hongera chama langu
 
Wakuu,

Huyu Mzee wetu Makamba ni mnafiki sana alitubuana na Jiwe Kwa mambo yake ya Kuuma na Kupuliza
Leo nimeona list ya watoto wa Viongozi wengi sana wakiwa wamependekezwa ili kwenda kupigiwa Kura na Wajumbe

Kitu Kimenifurahisha Mtoto wa Mzee Makamba January Makamba wamemkata!!!
Huyu Mzee ndio kapotea kabisa kwenye Mikutano ya chama Sasa alambe asali Vizuri

Hakuna Mtu Mkubwa kuliko Chama.
Huijui CCM. Weka akiba ya maneno.
Usishangae ukasikia January anamrithi Nchimbi kwenye ukatibu mkuu
 
Wakuu,

Huyu Mzee wetu Makamba ni mnafiki sana alitubuana na Jiwe Kwa mambo yake ya Kuuma na Kupuliza
Leo nimeona list ya watoto wa Viongozi wengi sana wakiwa wamependekezwa ili kwenda kupigiwa Kura na Wajumbe

Kitu Kimenifurahisha Mtoto wa Mzee Makamba January Makamba wamemkata!!!
Huyu Mzee ndio kapotea kabisa kwenye Mikutano ya chama Sasa alambe asali Vizuri

Hakuna Mtu Mkubwa kuliko Chama.
Ha ha wewe ccm huijui,january makamba ashaandalia nafasi kubwa sana kwenye chama,yeye ndio anachukua nafasi ya nchimbi,sio kwamba ametupwa ike imefanywa makusudi
 
Kajifungue hiyo mimba
😂😂😂😂😂😂😂
Muda wote unawaza kupata mimba tu. Kama umehangaika kwa waganga ukakosa jaribu hata mamposa labda utapata hiyo mimba. Kila kitu wewe unawaza mimba tu 😀😀
 
Back
Top Bottom