Chadema ya Mzee Freeman Ekael Mbowe unaweza kusema ndio ilikuwa Chadema bora

Irene17

Member
Feb 8, 2025
10
38
Chadema ya Mzee Freeman Ekael Mbowe unaweza kusema ndio imekuwa Chadema bora ya wakati wote katika Uhai wa Chadema kwa maana ya mafanikio na ukuaji wa Chama cha Siasa hata kama hakikuweza kushika Dola katika nyakati zake!

Kura milioni 6+ za Urais mwaka 2015 mbele ya mgombea wa CCM John Pombe Magufuli aliyekuwa na kura milioni 8+!Unataka nini?

Mwaka 2010 chini ya Katibu Mkuu Mzee Dr Slaa na Mwenyekiti Mzee Freeman Mbowe Chadema ilikuwa na Wabunge, Madiwani kiasi kwamba waliweza kuongoza baadhi ya Halsmashauri NCHINI!Unataka nini?

Ni Chadema hii hii iliweza "kumsulubisha" marehemu Mh Jaji Warema,Waziri Profesa Muhongo na hata "Uwaziri Mkuu" wa Mzee hayati Edward Lowassa ukapotea!Unataka nini?

Chadema ile ingekuja na wimbo huu wa NO REFORMS NO ELECTION ingeweza "kutoboa" kwani ilikuwa na "uwanja" mzuri wa KUSUKUMA mambo yake kwa maana ya Bunge na Mabaraza ya Madiwani katika maeneo fulani fulani ya Nchi!Unataka nini?

NINI NATAKA KUSEMA HAPA?

Mwezi January mwaka 2025 iliingia Chadema ya "wajuaji" Chini ya Ndugu Tundu Lissu na John Heche lakini wasiojua "lolote" wala "chochote" kuhusu jinsi ya kucheza na Siasa kulingana na nyakati(Timing Politics).

Chadema ya Mzee Freeman Mbowe ilikuwa angalau inajua kufanya "tactical positioning" na kufanya "appreciation of the political situation" ya Nchi na kujua jinsi ya kwenda nayo!

Maridhiano this time yangeifanya Chadema kurudi kwenye Enzi zake hasa kuingia Bungeni jijini Dodoma kwanza!Maridhiano haya haya yakammpa Mzee Freeman Mbowe Ruzuku kwanza ya Chama(Noti)Maridhiano haya haya yakampa mzee Mbowe tena "uwanja" wa kufanyia Siasa ambao haukuwepo kwa miaka mitano hivi nyuma!

Maridhiano yakamfutia kesi zote za Viongozi wa juu wa Chama!Unataka nini wakati hapo mwanzo ulikuwa hata haupumuhi?,

NO REFORMS NO ELECTION YA MWENYEKITI TUNDU LISSU INAIRUDISHA "KABURINI" CHADEMA.

"Ubogus" wa Chadema hii upo hapa๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

I.Hakuna mabadiliko hakuna Uchaguzi!No Reforms No Election!๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

MSIMAMO UKAWA hakuna Uchaguzi kwa upande wao!Juzi wakaitwa na watu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kusaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 wakagomesha!

II.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima "akawakazia"kwamba kwa mujibu wa Sheria "Majamaa" hawawezi kushiriki Uchaguzi tena mpaka mwaka 2030!

III.Next Morning Majamaa yakastuka ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na kuanza kupiga kelele kana kwamba wanautaka Uchaguzi ambao wamesema wenyewe kwenye Mikutano yao Nchi nzima kwamba "haupo-No Election"๐Ÿคช๐Ÿคช

IV.Leo kaibuka Wakili mmoja "kilaza" kweli kweli(Ntala)ambaye ndio Mwanasheria Mkuu wa Chama,anasema eti inakuwaje kanuni ambazo hazijaanza kutumika ziwe na nguvu kisheria?๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธhuyu Wakili wa wapi?

Labda Nimpe Shule kidogo Wakili Ntala๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐ŸฟIPO HIVI ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Inawezekana kabla ya kusainiwa kanuni zile zilikuwa "toothless" labda,lakini kitendo cha Vyama vya Siasa 18 kuzisaini kanuni zile za Maadili,uhalali wa kanuni zile(binding)ndio ukaanzia hapo!Sijui Wakili ananielewa!

Ndio maana Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima hakutangaza kufuta Ushiriki wa Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu kabla ya kanuni zile za Maadili ya Uchaguzi hazijasainiwa!

Uhalali wa kanuni zile(Binding Docs) ulianza soon after ACT -Wazalendo,CCM,UDP, NCCR-MAGEUZI na Vyama vingine "vilipoanguka Saini"๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Eti Wakili Ntala leo anamtisha "Poti" Jaji Gwiji Mwambegele na Mkurugenzi Kahilima kwamba "Waombe"radhi Chadema!Aseee!Aseee!

Mzee Freeman Ekael Mbowe huko aliko ATAKUWA anacheka sana!Mwanaharakati yule kwa sasa yupo "sehemu" salama zaidi ya home kwake!

NILISEMA kuwa Chadema kabla ya January 2026 itakuwa imekufa!Nipo pale ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ
 
Chadema ya Mzee Freeman Ekael Mbowe unaweza kusema ndio imekuwa Chadema bora ya wakati wote katika Uhai wa Chadema kwa maana ya mafanikio na ukuaji wa Chama cha Siasa hata kama hakikuweza kushika Dola katika nyakati zake!

Kura milioni 6+ za Urais mwaka 2015 mbele ya mgombea wa CCM John Pombe Magufuli aliyekuwa na kura milioni 8+!Unataka nini?

Mwaka 2010 chini ya Katibu Mkuu Mzee Dr Slaa na Mwenyekiti Mzee Freeman Mbowe Chadema ilikuwa na Wabunge, Madiwani kiasi kwamba waliweza kuongoza baadhi ya Halsmashauri NCHINI!Unataka nini?

Ni Chadema hii hii iliweza "kumsulubisha" marehemu Mh Jaji Warema,Waziri Profesa Muhongo na hata "Uwaziri Mkuu" wa Mzee hayati Edward Lowassa ukapotea!Unataka nini?

Chadema ile ingekuja na wimbo huu wa NO REFORMS NO ELECTION ingeweza "kutoboa" kwani ilikuwa na "uwanja" mzuri wa KUSUKUMA mambo yake kwa maana ya Bunge na Mabaraza ya Madiwani katika maeneo fulani fulani ya Nchi!Unataka nini?

NINI NATAKA KUSEMA HAPA?

Mwezi January mwaka 2025 iliingia Chadema ya "wajuaji" Chini ya Ndugu Tundu Lissu na John Heche lakini wasiojua "lolote" wala "chochote" kuhusu jinsi ya kucheza na Siasa kulingana na nyakati(Timing Politics).

Chadema ya Mzee Freeman Mbowe ilikuwa angalau inajua kufanya "tactical positioning" na kufanya "appreciation of the political situation" ya Nchi na kujua jinsi ya kwenda nayo!

Maridhiano this time yangeifanya Chadema kurudi kwenye Enzi zake hasa kuingia Bungeni jijini Dodoma kwanza!Maridhiano haya haya yakammpa Mzee Freeman Mbowe Ruzuku kwanza ya Chama(Noti)Maridhiano haya haya yakampa mzee Mbowe tena "uwanja" wa kufanyia Siasa ambao haukuwepo kwa miaka mitano hivi nyuma!

Maridhiano yakamfutia kesi zote za Viongozi wa juu wa Chama!Unataka nini wakati hapo mwanzo ulikuwa hata haupumuhi?,

NO REFORMS NO ELECTION YA MWENYEKITI TUNDU LISSU INAIRUDISHA "KABURINI" CHADEMA.

"Ubogus" wa Chadema hii upo hapa๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

I.Hakuna mabadiliko hakuna Uchaguzi!No Reforms No Election!๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

MSIMAMO UKAWA hakuna Uchaguzi kwa upande wao!Juzi wakaitwa na watu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kusaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 wakagomesha!

II.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima "akawakazia"kwamba kwa mujibu wa Sheria "Majamaa" hawawezi kushiriki Uchaguzi tena mpaka mwaka 2030!

III.Next Morning Majamaa yakastuka ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na kuanza kupiga kelele kana kwamba wanautaka Uchaguzi ambao wamesema wenyewe kwenye Mikutano yao Nchi nzima kwamba "haupo-No Election"๐Ÿคช๐Ÿคช

IV.Leo kaibuka Wakili mmoja "kilaza" kweli kweli(Ntala)ambaye ndio Mwanasheria Mkuu wa Chama,anasema eti inakuwaje kanuni ambazo hazijaanza kutumika ziwe na nguvu kisheria?๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธhuyu Wakili wa wapi?

Labda Nimpe Shule kidogo Wakili Ntala๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐ŸฟIPO HIVI ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Inawezekana kabla ya kusainiwa kanuni zile zilikuwa "toothless" labda,lakini kitendo cha Vyama vya Siasa 18 kuzisaini kanuni zile za Maadili,uhalali wa kanuni zile(binding)ndio ukaanzia hapo!Sijui Wakili ananielewa!

Ndio maana Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima hakutangaza kufuta Ushiriki wa Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu kabla ya kanuni zile za Maadili ya Uchaguzi hazijasainiwa!

Uhalali wa kanuni zile(Binding Docs) ulianza soon after ACT -Wazalendo,CCM,UDP, NCCR-MAGEUZI na Vyama vingine "vilipoanguka Saini"๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Eti Wakili Ntala leo anamtisha "Poti" Jaji Gwiji Mwambegele na Mkurugenzi Kahilima kwamba "Waombe"radhi Chadema!Aseee!Aseee!

Mzee Freeman Ekael Mbowe huko aliko ATAKUWA anacheka sana!Mwanaharakati yule kwa sasa yupo "sehemu" salama zaidi ya home kwake!

NILISEMA kuwa Chadema kabla ya January 2026 itakuwa imekufa!Nipo pale ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ
Hii ya sasa inaelekea kibra.Likizo miaka mitano
 
Chadema ya Mzee Freeman Ekael Mbowe unaweza kusema ndio imekuwa Chadema bora ya wakati wote katika Uhai wa Chadema kwa maana ya mafanikio na ukuaji wa Chama cha Siasa hata kama hakikuweza kushika Dola katika nyakati zake!

Kura milioni 6+ za Urais mwaka 2015 mbele ya mgombea wa CCM John Pombe Magufuli aliyekuwa na kura milioni 8+!Unataka nini?

Mwaka 2010 chini ya Katibu Mkuu Mzee Dr Slaa na Mwenyekiti Mzee Freeman Mbowe Chadema ilikuwa na Wabunge, Madiwani kiasi kwamba waliweza kuongoza baadhi ya Halsmashauri NCHINI!Unataka nini?

Ni Chadema hii hii iliweza "kumsulubisha" marehemu Mh Jaji Warema,Waziri Profesa Muhongo na hata "Uwaziri Mkuu" wa Mzee hayati Edward Lowassa ukapotea!Unataka nini?

Chadema ile ingekuja na wimbo huu wa NO REFORMS NO ELECTION ingeweza "kutoboa" kwani ilikuwa na "uwanja" mzuri wa KUSUKUMA mambo yake kwa maana ya Bunge na Mabaraza ya Madiwani katika maeneo fulani fulani ya Nchi!Unataka nini?

NINI NATAKA KUSEMA HAPA?

Mwezi January mwaka 2025 iliingia Chadema ya "wajuaji" Chini ya Ndugu Tundu Lissu na John Heche lakini wasiojua "lolote" wala "chochote" kuhusu jinsi ya kucheza na Siasa kulingana na nyakati(Timing Politics).

Chadema ya Mzee Freeman Mbowe ilikuwa angalau inajua kufanya "tactical positioning" na kufanya "appreciation of the political situation" ya Nchi na kujua jinsi ya kwenda nayo!

Maridhiano this time yangeifanya Chadema kurudi kwenye Enzi zake hasa kuingia Bungeni jijini Dodoma kwanza!Maridhiano haya haya yakammpa Mzee Freeman Mbowe Ruzuku kwanza ya Chama(Noti)Maridhiano haya haya yakampa mzee Mbowe tena "uwanja" wa kufanyia Siasa ambao haukuwepo kwa miaka mitano hivi nyuma!

Maridhiano yakamfutia kesi zote za Viongozi wa juu wa Chama!Unataka nini wakati hapo mwanzo ulikuwa hata haupumuhi?,

NO REFORMS NO ELECTION YA MWENYEKITI TUNDU LISSU INAIRUDISHA "KABURINI" CHADEMA.

"Ubogus" wa Chadema hii upo hapa๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

I.Hakuna mabadiliko hakuna Uchaguzi!No Reforms No Election!๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

MSIMAMO UKAWA hakuna Uchaguzi kwa upande wao!Juzi wakaitwa na watu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kusaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 wakagomesha!

II.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima "akawakazia"kwamba kwa mujibu wa Sheria "Majamaa" hawawezi kushiriki Uchaguzi tena mpaka mwaka 2030!

III.Next Morning Majamaa yakastuka ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na kuanza kupiga kelele kana kwamba wanautaka Uchaguzi ambao wamesema wenyewe kwenye Mikutano yao Nchi nzima kwamba "haupo-No Election"๐Ÿคช๐Ÿคช

IV.Leo kaibuka Wakili mmoja "kilaza" kweli kweli(Ntala)ambaye ndio Mwanasheria Mkuu wa Chama,anasema eti inakuwaje kanuni ambazo hazijaanza kutumika ziwe na nguvu kisheria?๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธhuyu Wakili wa wapi?

Labda Nimpe Shule kidogo Wakili Ntala๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐ŸฟIPO HIVI ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Inawezekana kabla ya kusainiwa kanuni zile zilikuwa "toothless" labda,lakini kitendo cha Vyama vya Siasa 18 kuzisaini kanuni zile za Maadili,uhalali wa kanuni zile(binding)ndio ukaanzia hapo!Sijui Wakili ananielewa!

Ndio maana Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima hakutangaza kufuta Ushiriki wa Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu kabla ya kanuni zile za Maadili ya Uchaguzi hazijasainiwa!

Uhalali wa kanuni zile(Binding Docs) ulianza soon after ACT -Wazalendo,CCM,UDP, NCCR-MAGEUZI na Vyama vingine "vilipoanguka Saini"๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Eti Wakili Ntala leo anamtisha "Poti" Jaji Gwiji Mwambegele na Mkurugenzi Kahilima kwamba "Waombe"radhi Chadema!Aseee!Aseee!

Mzee Freeman Ekael Mbowe huko aliko ATAKUWA anacheka sana!Mwanaharakati yule kwa sasa yupo "sehemu" salama zaidi ya home kwake!

NILISEMA kuwa Chadema kabla ya January 2026 itakuwa imekufa!Nipo pale ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ
Cdm ya mazombie imefikia mwisho, kama cdm hii ya Mbowe ilikuwa bora, ni viti vingapi ilipata 2019,2020, na 2024? Kama mlitarajia cdm ya wataka asali kwa ahadi za hadaa, bakini kwa huyo huyo dalali. Hakina mabadiliko hakuna uchagzuzi, cdm ya kusaka sifa za kuwa chama kikuu cha upinzani huku wafuasi wake wakiuwawa na kuachwa na vilema vya maisha sio hii. Cdm hii imekubali kupoteza pambano, ili ishinde vita.
 
SASA hapa unacholalamika ni nini?, Maamzi ya chama ni kama hakuna reforms hakuna uchaguzi full stop!! Nyie si Mnataka kushinda uchaguzi, Mnataka kura nyingi?. Uwanja umebaki na mashoga zenu 18pamabane.... MBOWE hakuwahi kuwa mwenye mwelekeo wakutaka kushika dolla, mbowe alikuwa agent wa ccm ndani ya cdm...Ndio maana saizi mfumo mzima wa ccm umepalalaizi kwq ujio wa Heche na Lissu hawakutegemea, walizoea biashara zao na mbowe as usual!!.
2015 aliyeiuza cdm ni MBOWE kwa Lowasa.
 
Mbowe kastaafishwa siasa kwa lazima na Lissu. Narudia Tena, Lissu kamstaafisha Mbowe siasa kwa lazima. Lissu hoye.
 
Chadema ya Mzee Freeman Ekael Mbowe unaweza kusema ndio imekuwa Chadema bora ya wakati wote katika Uhai wa Chadema kwa maana ya mafanikio na ukuaji wa Chama cha Siasa hata kama hakikuweza kushika Dola katika nyakati zake!

Kura milioni 6+ za Urais mwaka 2015 mbele ya mgombea wa CCM John Pombe Magufuli aliyekuwa na kura milioni 8+!Unataka nini?

Mwaka 2010 chini ya Katibu Mkuu Mzee Dr Slaa na Mwenyekiti Mzee Freeman Mbowe Chadema ilikuwa na Wabunge, Madiwani kiasi kwamba waliweza kuongoza baadhi ya Halsmashauri NCHINI!Unataka nini?

Ni Chadema hii hii iliweza "kumsulubisha" marehemu Mh Jaji Warema,Waziri Profesa Muhongo na hata "Uwaziri Mkuu" wa Mzee hayati Edward Lowassa ukapotea!Unataka nini?

Chadema ile ingekuja na wimbo huu wa NO REFORMS NO ELECTION ingeweza "kutoboa" kwani ilikuwa na "uwanja" mzuri wa KUSUKUMA mambo yake kwa maana ya Bunge na Mabaraza ya Madiwani katika maeneo fulani fulani ya Nchi!Unataka nini?

NINI NATAKA KUSEMA HAPA?

Mwezi January mwaka 2025 iliingia Chadema ya "wajuaji" Chini ya Ndugu Tundu Lissu na John Heche lakini wasiojua "lolote" wala "chochote" kuhusu jinsi ya kucheza na Siasa kulingana na nyakati(Timing Politics).

Chadema ya Mzee Freeman Mbowe ilikuwa angalau inajua kufanya "tactical positioning" na kufanya "appreciation of the political situation" ya Nchi na kujua jinsi ya kwenda nayo!

Maridhiano this time yangeifanya Chadema kurudi kwenye Enzi zake hasa kuingia Bungeni jijini Dodoma kwanza!Maridhiano haya haya yakammpa Mzee Freeman Mbowe Ruzuku kwanza ya Chama(Noti)Maridhiano haya haya yakampa mzee Mbowe tena "uwanja" wa kufanyia Siasa ambao haukuwepo kwa miaka mitano hivi nyuma!

Maridhiano yakamfutia kesi zote za Viongozi wa juu wa Chama!Unataka nini wakati hapo mwanzo ulikuwa hata haupumuhi?,

NO REFORMS NO ELECTION YA MWENYEKITI TUNDU LISSU INAIRUDISHA "KABURINI" CHADEMA.

"Ubogus" wa Chadema hii upo hapa๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

I.Hakuna mabadiliko hakuna Uchaguzi!No Reforms No Election!๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

MSIMAMO UKAWA hakuna Uchaguzi kwa upande wao!Juzi wakaitwa na watu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kusaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 wakagomesha!

II.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima "akawakazia"kwamba kwa mujibu wa Sheria "Majamaa" hawawezi kushiriki Uchaguzi tena mpaka mwaka 2030!

III.Next Morning Majamaa yakastuka ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na kuanza kupiga kelele kana kwamba wanautaka Uchaguzi ambao wamesema wenyewe kwenye Mikutano yao Nchi nzima kwamba "haupo-No Election"๐Ÿคช๐Ÿคช

IV.Leo kaibuka Wakili mmoja "kilaza" kweli kweli(Ntala)ambaye ndio Mwanasheria Mkuu wa Chama,anasema eti inakuwaje kanuni ambazo hazijaanza kutumika ziwe na nguvu kisheria?๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธhuyu Wakili wa wapi?

Labda Nimpe Shule kidogo Wakili Ntala๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐ŸฟIPO HIVI ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Inawezekana kabla ya kusainiwa kanuni zile zilikuwa "toothless" labda,lakini kitendo cha Vyama vya Siasa 18 kuzisaini kanuni zile za Maadili,uhalali wa kanuni zile(binding)ndio ukaanzia hapo!Sijui Wakili ananielewa!

Ndio maana Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima hakutangaza kufuta Ushiriki wa Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu kabla ya kanuni zile za Maadili ya Uchaguzi hazijasainiwa!

Uhalali wa kanuni zile(Binding Docs) ulianza soon after ACT -Wazalendo,CCM,UDP, NCCR-MAGEUZI na Vyama vingine "vilipoanguka Saini"๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Eti Wakili Ntala leo anamtisha "Poti" Jaji Gwiji Mwambegele na Mkurugenzi Kahilima kwamba "Waombe"radhi Chadema!Aseee!Aseee!

Mzee Freeman Ekael Mbowe huko aliko ATAKUWA anacheka sana!Mwanaharakati yule kwa sasa yupo "sehemu" salama zaidi ya home kwake!

NILISEMA kuwa Chadema kabla ya January 2026 itakuwa imekufa!Nipo pale ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ
Kumbe uchawa nao ni kazi sana aisee mana kila siku chadema inakufa inakufa,mngekuja na propaganda nyingine hiyo tumeshaichoka.
 
Chadema ya Mzee Freeman Ekael Mbowe unaweza kusema ndio imekuwa Chadema bora ya wakati wote katika Uhai wa Chadema kwa maana ya mafanikio na ukuaji wa Chama cha Siasa hata kama hakikuweza kushika Dola katika nyakati zake!

Kura milioni 6+ za Urais mwaka 2015 mbele ya mgombea wa CCM John Pombe Magufuli aliyekuwa na kura milioni 8+!Unataka nini?

Mwaka 2010 chini ya Katibu Mkuu Mzee Dr Slaa na Mwenyekiti Mzee Freeman Mbowe Chadema ilikuwa na Wabunge, Madiwani kiasi kwamba waliweza kuongoza baadhi ya Halsmashauri NCHINI!Unataka nini?

Ni Chadema hii hii iliweza "kumsulubisha" marehemu Mh Jaji Warema,Waziri Profesa Muhongo na hata "Uwaziri Mkuu" wa Mzee hayati Edward Lowassa ukapotea!Unataka nini?

Chadema ile ingekuja na wimbo huu wa NO REFORMS NO ELECTION ingeweza "kutoboa" kwani ilikuwa na "uwanja" mzuri wa KUSUKUMA mambo yake kwa maana ya Bunge na Mabaraza ya Madiwani katika maeneo fulani fulani ya Nchi!Unataka nini?

NINI NATAKA KUSEMA HAPA?

Mwezi January mwaka 2025 iliingia Chadema ya "wajuaji" Chini ya Ndugu Tundu Lissu na John Heche lakini wasiojua "lolote" wala "chochote" kuhusu jinsi ya kucheza na Siasa kulingana na nyakati(Timing Politics).

Chadema ya Mzee Freeman Mbowe ilikuwa angalau inajua kufanya "tactical positioning" na kufanya "appreciation of the political situation" ya Nchi na kujua jinsi ya kwenda nayo!

Maridhiano this time yangeifanya Chadema kurudi kwenye Enzi zake hasa kuingia Bungeni jijini Dodoma kwanza!Maridhiano haya haya yakammpa Mzee Freeman Mbowe Ruzuku kwanza ya Chama(Noti)Maridhiano haya haya yakampa mzee Mbowe tena "uwanja" wa kufanyia Siasa ambao haukuwepo kwa miaka mitano hivi nyuma!

Maridhiano yakamfutia kesi zote za Viongozi wa juu wa Chama!Unataka nini wakati hapo mwanzo ulikuwa hata haupumuhi?,

NO REFORMS NO ELECTION YA MWENYEKITI TUNDU LISSU INAIRUDISHA "KABURINI" CHADEMA.

"Ubogus" wa Chadema hii upo hapa๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

I.Hakuna mabadiliko hakuna Uchaguzi!No Reforms No Election!๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

MSIMAMO UKAWA hakuna Uchaguzi kwa upande wao!Juzi wakaitwa na watu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kusaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 wakagomesha!

II.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima "akawakazia"kwamba kwa mujibu wa Sheria "Majamaa" hawawezi kushiriki Uchaguzi tena mpaka mwaka 2030!

III.Next Morning Majamaa yakastuka ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na kuanza kupiga kelele kana kwamba wanautaka Uchaguzi ambao wamesema wenyewe kwenye Mikutano yao Nchi nzima kwamba "haupo-No Election"๐Ÿคช๐Ÿคช

IV.Leo kaibuka Wakili mmoja "kilaza" kweli kweli(Ntala)ambaye ndio Mwanasheria Mkuu wa Chama,anasema eti inakuwaje kanuni ambazo hazijaanza kutumika ziwe na nguvu kisheria?๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธhuyu Wakili wa wapi?

Labda Nimpe Shule kidogo Wakili Ntala๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐ŸฟIPO HIVI ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Inawezekana kabla ya kusainiwa kanuni zile zilikuwa "toothless" labda,lakini kitendo cha Vyama vya Siasa 18 kuzisaini kanuni zile za Maadili,uhalali wa kanuni zile(binding)ndio ukaanzia hapo!Sijui Wakili ananielewa!

Ndio maana Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima hakutangaza kufuta Ushiriki wa Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu kabla ya kanuni zile za Maadili ya Uchaguzi hazijasainiwa!

Uhalali wa kanuni zile(Binding Docs) ulianza soon after ACT -Wazalendo,CCM,UDP, NCCR-MAGEUZI na Vyama vingine "vilipoanguka Saini"๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Eti Wakili Ntala leo anamtisha "Poti" Jaji Gwiji Mwambegele na Mkurugenzi Kahilima kwamba "Waombe"radhi Chadema!Aseee!Aseee!

Mzee Freeman Ekael Mbowe huko aliko ATAKUWA anacheka sana!Mwanaharakati yule kwa sasa yupo "sehemu" salama zaidi ya home kwake!

NILISEMA kuwa Chadema kabla ya January 2026 itakuwa imekufa!Nipo pale ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ
Ilikuwa chadema Bora sana kwa sababu ilifanya kazi ya CCM,na ilikubali wizi, utekaji,ufisadi na uozo wa kila aina na ndio maana chadema ya Mbowe hajawahi fuatilia wote waliotekwa na hiyo ndio raha na furaha ya CCM kwa Chadema ya Mbowe wakati ule.
 
Ho
Chadema ya Mzee Freeman Ekael Mbowe unaweza kusema ndio imekuwa Chadema bora ya wakati wote katika Uhai wa Chadema kwa maana ya mafanikio na ukuaji wa Chama cha Siasa hata kama hakikuweza kushika Dola katika nyakati zake!

Kura milioni 6+ za Urais mwaka 2015 mbele ya mgombea wa CCM John Pombe Magufuli aliyekuwa na kura milioni 8+!Unataka nini?

Mwaka 2010 chini ya Katibu Mkuu Mzee Dr Slaa na Mwenyekiti Mzee Freeman Mbowe Chadema ilikuwa na Wabunge, Madiwani kiasi kwamba waliweza kuongoza baadhi ya Halsmashauri NCHINI!Unataka nini?

Ni Chadema hii hii iliweza "kumsulubisha" marehemu Mh Jaji Warema,Waziri Profesa Muhongo na hata "Uwaziri Mkuu" wa Mzee hayati Edward Lowassa ukapotea!Unataka nini?

Chadema ile ingekuja na wimbo huu wa NO REFORMS NO ELECTION ingeweza "kutoboa" kwani ilikuwa na "uwanja" mzuri wa KUSUKUMA mambo yake kwa maana ya Bunge na Mabaraza ya Madiwani katika maeneo fulani fulani ya Nchi!Unataka nini?

NINI NATAKA KUSEMA HAPA?

Mwezi January mwaka 2025 iliingia Chadema ya "wajuaji" Chini ya Ndugu Tundu Lissu na John Heche lakini wasiojua "lolote" wala "chochote" kuhusu jinsi ya kucheza na Siasa kulingana na nyakati(Timing Politics).

Chadema ya Mzee Freeman Mbowe ilikuwa angalau inajua kufanya "tactical positioning" na kufanya "appreciation of the political situation" ya Nchi na kujua jinsi ya kwenda nayo!

Maridhiano this time yangeifanya Chadema kurudi kwenye Enzi zake hasa kuingia Bungeni jijini Dodoma kwanza!Maridhiano haya haya yakammpa Mzee Freeman Mbowe Ruzuku kwanza ya Chama(Noti)Maridhiano haya haya yakampa mzee Mbowe tena "uwanja" wa kufanyia Siasa ambao haukuwepo kwa miaka mitano hivi nyuma!

Maridhiano yakamfutia kesi zote za Viongozi wa juu wa Chama!Unataka nini wakati hapo mwanzo ulikuwa hata haupumuhi?,

NO REFORMS NO ELECTION YA MWENYEKITI TUNDU LISSU INAIRUDISHA "KABURINI" CHADEMA.

"Ubogus" wa Chadema hii upo hapa๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

I.Hakuna mabadiliko hakuna Uchaguzi!No Reforms No Election!๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

MSIMAMO UKAWA hakuna Uchaguzi kwa upande wao!Juzi wakaitwa na watu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kusaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 wakagomesha!

II.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima "akawakazia"kwamba kwa mujibu wa Sheria "Majamaa" hawawezi kushiriki Uchaguzi tena mpaka mwaka 2030!

III.Next Morning Majamaa yakastuka ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na kuanza kupiga kelele kana kwamba wanautaka Uchaguzi ambao wamesema wenyewe kwenye Mikutano yao Nchi nzima kwamba "haupo-No Election"๐Ÿคช๐Ÿคช

IV.Leo kaibuka Wakili mmoja "kilaza" kweli kweli(Ntala)ambaye ndio Mwanasheria Mkuu wa Chama,anasema eti inakuwaje kanuni ambazo hazijaanza kutumika ziwe na nguvu kisheria?๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธhuyu Wakili wa wapi?

Labda Nimpe Shule kidogo Wakili Ntala๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐ŸฟIPO HIVI ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Inawezekana kabla ya kusainiwa kanuni zile zilikuwa "toothless" labda,lakini kitendo cha Vyama vya Siasa 18 kuzisaini kanuni zile za Maadili,uhalali wa kanuni zile(binding)ndio ukaanzia hapo!Sijui Wakili ananielewa!

Ndio maana Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima hakutangaza kufuta Ushiriki wa Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu kabla ya kanuni zile za Maadili ya Uchaguzi hazijasainiwa!

Uhalali wa kanuni zile(Binding Docs) ulianza soon after ACT -Wazalendo,CCM,UDP, NCCR-MAGEUZI na Vyama vingine "vilipoanguka Saini"๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Eti Wakili Ntala leo anamtisha "Poti" Jaji Gwiji Mwambegele na Mkurugenzi Kahilima kwamba "Waombe"radhi Chadema!Aseee!Aseee!

Mzee Freeman Ekael Mbowe huko aliko ATAKUWA anacheka sana!Mwanaharakati yule kwa sasa yupo "sehemu" salama zaidi ya home kwake!

NILISEMA kuwa Chadema kabla ya January 2026 itakuwa imekufa!Nipo pale ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ
Hoja zako zinamashiko na tegemea upinzani using na hoja kutoka kwa fanatic fans(sio member) wa CHADEMA ambao hawatumii akili kuchanganua mambo ball mihemuko na utashi wa mioyo yao!
 
Chadema ya Mzee Freeman Ekael Mbowe unaweza kusema ndio imekuwa Chadema bora ya wakati wote katika Uhai wa Chadema kwa maana ya mafanikio na ukuaji wa Chama cha Siasa hata kama hakikuweza kushika Dola katika nyakati zake!

Kura milioni 6+ za Urais mwaka 2015 mbele ya mgombea wa CCM John Pombe Magufuli aliyekuwa na kura milioni 8+!Unataka nini?

Mwaka 2010 chini ya Katibu Mkuu Mzee Dr Slaa na Mwenyekiti Mzee Freeman Mbowe Chadema ilikuwa na Wabunge, Madiwani kiasi kwamba waliweza kuongoza baadhi ya Halsmashauri NCHINI!Unataka nini?

Ni Chadema hii hii iliweza "kumsulubisha" marehemu Mh Jaji Warema,Waziri Profesa Muhongo na hata "Uwaziri Mkuu" wa Mzee hayati Edward Lowassa ukapotea!Unataka nini?

Chadema ile ingekuja na wimbo huu wa NO REFORMS NO ELECTION ingeweza "kutoboa" kwani ilikuwa na "uwanja" mzuri wa KUSUKUMA mambo yake kwa maana ya Bunge na Mabaraza ya Madiwani katika maeneo fulani fulani ya Nchi!Unataka nini?

NINI NATAKA KUSEMA HAPA?

Mwezi January mwaka 2025 iliingia Chadema ya "wajuaji" Chini ya Ndugu Tundu Lissu na John Heche lakini wasiojua "lolote" wala "chochote" kuhusu jinsi ya kucheza na Siasa kulingana na nyakati(Timing Politics).

Chadema ya Mzee Freeman Mbowe ilikuwa angalau inajua kufanya "tactical positioning" na kufanya "appreciation of the political situation" ya Nchi na kujua jinsi ya kwenda nayo!

Maridhiano this time yangeifanya Chadema kurudi kwenye Enzi zake hasa kuingia Bungeni jijini Dodoma kwanza!Maridhiano haya haya yakammpa Mzee Freeman Mbowe Ruzuku kwanza ya Chama(Noti)Maridhiano haya haya yakampa mzee Mbowe tena "uwanja" wa kufanyia Siasa ambao haukuwepo kwa miaka mitano hivi nyuma!

Maridhiano yakamfutia kesi zote za Viongozi wa juu wa Chama!Unataka nini wakati hapo mwanzo ulikuwa hata haupumuhi?,

NO REFORMS NO ELECTION YA MWENYEKITI TUNDU LISSU INAIRUDISHA "KABURINI" CHADEMA.

"Ubogus" wa Chadema hii upo hapa๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

I.Hakuna mabadiliko hakuna Uchaguzi!No Reforms No Election!๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

MSIMAMO UKAWA hakuna Uchaguzi kwa upande wao!Juzi wakaitwa na watu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kusaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 wakagomesha!

II.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima "akawakazia"kwamba kwa mujibu wa Sheria "Majamaa" hawawezi kushiriki Uchaguzi tena mpaka mwaka 2030!

III.Next Morning Majamaa yakastuka ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na kuanza kupiga kelele kana kwamba wanautaka Uchaguzi ambao wamesema wenyewe kwenye Mikutano yao Nchi nzima kwamba "haupo-No Election"๐Ÿคช๐Ÿคช

IV.Leo kaibuka Wakili mmoja "kilaza" kweli kweli(Ntala)ambaye ndio Mwanasheria Mkuu wa Chama,anasema eti inakuwaje kanuni ambazo hazijaanza kutumika ziwe na nguvu kisheria?๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธhuyu Wakili wa wapi?

Labda Nimpe Shule kidogo Wakili Ntala๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐ŸฟIPO HIVI ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Inawezekana kabla ya kusainiwa kanuni zile zilikuwa "toothless" labda,lakini kitendo cha Vyama vya Siasa 18 kuzisaini kanuni zile za Maadili,uhalali wa kanuni zile(binding)ndio ukaanzia hapo!Sijui Wakili ananielewa!

Ndio maana Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima hakutangaza kufuta Ushiriki wa Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu kabla ya kanuni zile za Maadili ya Uchaguzi hazijasainiwa!

Uhalali wa kanuni zile(Binding Docs) ulianza soon after ACT -Wazalendo,CCM,UDP, NCCR-MAGEUZI na Vyama vingine "vilipoanguka Saini"๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Eti Wakili Ntala leo anamtisha "Poti" Jaji Gwiji Mwambegele na Mkurugenzi Kahilima kwamba "Waombe"radhi Chadema!Aseee!Aseee!

Mzee Freeman Ekael Mbowe huko aliko ATAKUWA anacheka sana!Mwanaharakati yule kwa sasa yupo "sehemu" salama zaidi ya home kwake!

NILISEMA kuwa Chadema kabla ya January 2026 itakuwa imekufa!Nipo pale ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ
Huu ndo ukweli ambao watu wnegi wa chadema hawataki kuusikia.
 
Ilikuwa chadema Bora sana kwa sababu ilifanya kazi ya CCM,na ilikubali wizi, utekaji,ufisadi na uozo wa kila aina na ndio maana chadema ya Mbowe hajawahi fuatilia wote waliotekwa na hiyo ndio raha na furaha ya CCM kwa Chadema ya Mbowe wakati ule.
Chadema ya Lissu imewezaje kusaidia kurejesha waliotekwa mkuu?
 
Mbowe kastaafishwa siasa kwa lazima na Lissu. Narudia Tena, Lissu kamstaafisha Mbowe siasa kwa lazima. Lissu hoye.
Lakini Lissu sio mtu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kama utani utani kasema:

Yaani mimi ni mtu wa kuletewa Wenje dalali?

Mimi nitashindana na aliyemleta na baada ya uchaguzi hakuna mtu kuhama๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kiko wapi cha mzee yule
 
Mbowe kastaafishwa siasa kwa lazima na Lissu. Narudia Tena, Lissu kamstaafisha Mbowe siasa kwa lazima. Lissu hoye.
Na Lissu anaenda kukistaafisha CDM siasa kwa lazima.Siasa za Lissu zingefaa kwa wananchi active kama Kenya pale, sio kwa wabongo.Wabongo tena wa bara ndo hasara zaidi, hata mkoloni mwenyewe tulimtoa kwa kumlamba makalio - maneno mengi sio vitendo, Zanzibar pale ndo walimkimbiza mtu kwa mtutu wa bunduki.Sasa huku bara kama babu zetu walishindwa ndo hiki kizazi cha sasa waweze kupamba na CCM??
 
Chadema ya Mzee Freeman Ekael Mbowe unaweza kusema ndio imekuwa Chadema bora ya wakati wote katika Uhai wa Chadema kwa maana ya mafanikio na ukuaji wa Chama cha Siasa hata kama hakikuweza kushika Dola katika nyakati zake!

Kura milioni 6+ za Urais mwaka 2015 mbele ya mgombea wa CCM John Pombe Magufuli aliyekuwa na kura milioni 8+!Unataka nini?

Mwaka 2010 chini ya Katibu Mkuu Mzee Dr Slaa na Mwenyekiti Mzee Freeman Mbowe Chadema ilikuwa na Wabunge, Madiwani kiasi kwamba waliweza kuongoza baadhi ya Halsmashauri NCHINI!Unataka nini?

Ni Chadema hii hii iliweza "kumsulubisha" marehemu Mh Jaji Warema,Waziri Profesa Muhongo na hata "Uwaziri Mkuu" wa Mzee hayati Edward Lowassa ukapotea!Unataka nini?

Chadema ile ingekuja na wimbo huu wa NO REFORMS NO ELECTION ingeweza "kutoboa" kwani ilikuwa na "uwanja" mzuri wa KUSUKUMA mambo yake kwa maana ya Bunge na Mabaraza ya Madiwani katika maeneo fulani fulani ya Nchi!Unataka nini?

NINI NATAKA KUSEMA HAPA?

Mwezi January mwaka 2025 iliingia Chadema ya "wajuaji" Chini ya Ndugu Tundu Lissu na John Heche lakini wasiojua "lolote" wala "chochote" kuhusu jinsi ya kucheza na Siasa kulingana na nyakati(Timing Politics).

Chadema ya Mzee Freeman Mbowe ilikuwa angalau inajua kufanya "tactical positioning" na kufanya "appreciation of the political situation" ya Nchi na kujua jinsi ya kwenda nayo!

Maridhiano this time yangeifanya Chadema kurudi kwenye Enzi zake hasa kuingia Bungeni jijini Dodoma kwanza!Maridhiano haya haya yakammpa Mzee Freeman Mbowe Ruzuku kwanza ya Chama(Noti)Maridhiano haya haya yakampa mzee Mbowe tena "uwanja" wa kufanyia Siasa ambao haukuwepo kwa miaka mitano hivi nyuma!

Maridhiano yakamfutia kesi zote za Viongozi wa juu wa Chama!Unataka nini wakati hapo mwanzo ulikuwa hata haupumuhi?,

NO REFORMS NO ELECTION YA MWENYEKITI TUNDU LISSU INAIRUDISHA "KABURINI" CHADEMA.

"Ubogus" wa Chadema hii upo hapa๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

I.Hakuna mabadiliko hakuna Uchaguzi!No Reforms No Election!๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

MSIMAMO UKAWA hakuna Uchaguzi kwa upande wao!Juzi wakaitwa na watu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kusaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 wakagomesha!

II.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima "akawakazia"kwamba kwa mujibu wa Sheria "Majamaa" hawawezi kushiriki Uchaguzi tena mpaka mwaka 2030!

III.Next Morning Majamaa yakastuka ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na kuanza kupiga kelele kana kwamba wanautaka Uchaguzi ambao wamesema wenyewe kwenye Mikutano yao Nchi nzima kwamba "haupo-No Election"๐Ÿคช๐Ÿคช

IV.Leo kaibuka Wakili mmoja "kilaza" kweli kweli(Ntala)ambaye ndio Mwanasheria Mkuu wa Chama,anasema eti inakuwaje kanuni ambazo hazijaanza kutumika ziwe na nguvu kisheria?๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธhuyu Wakili wa wapi?

Labda Nimpe Shule kidogo Wakili Ntala๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐ŸฟIPO HIVI ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Inawezekana kabla ya kusainiwa kanuni zile zilikuwa "toothless" labda,lakini kitendo cha Vyama vya Siasa 18 kuzisaini kanuni zile za Maadili,uhalali wa kanuni zile(binding)ndio ukaanzia hapo!Sijui Wakili ananielewa!

Ndio maana Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima hakutangaza kufuta Ushiriki wa Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu kabla ya kanuni zile za Maadili ya Uchaguzi hazijasainiwa!

Uhalali wa kanuni zile(Binding Docs) ulianza soon after ACT -Wazalendo,CCM,UDP, NCCR-MAGEUZI na Vyama vingine "vilipoanguka Saini"๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Eti Wakili Ntala leo anamtisha "Poti" Jaji Gwiji Mwambegele na Mkurugenzi Kahilima kwamba "Waombe"radhi Chadema!Aseee!Aseee!

Mzee Freeman Ekael Mbowe huko aliko ATAKUWA anacheka sana!Mwanaharakati yule kwa sasa yupo "sehemu" salama zaidi ya home kwake!

NILISEMA kuwa Chadema kabla ya January 2026 itakuwa imekufa!Nipo pale ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ
Mimi sijui taaluma yako, na wala mimi si mwana sheria. Ila kwa kusikiliza kwa makini kutoka kwa mwanasheria PhD ya Harvard, Nshala, anaeleza kwamba mambo ya kusaini hayawezi kuzuia chama kushiriki uchaguzi, yaani tume ilifanya kama watendaji wa vijiji na kata wanavyo engua wagombea wa upinzani huko vijijini! Ni hila na mbinu ovu tu lkn katiba wala sheria mama haziruhusu hayo!
Kuhusu Mbowe na Lissu wote ni muhimu kwa wakati wake! Mbowe ktk kipindi chake amefanikiwa kujenga chama hadi kimekuwa kikubwa sana, ni kuanzia chini hadi juu, siyo kama CUF au NCCR wao hawakuvijenga kama ilivyo Chadema ya sasa ndiyo maana vilikuja kufa.
Hii kazi Lissu asingeiweza huenda! Lakini naye Lissu kwa sasa kwa kukitumia chama kilicho imara, anapambana na Ccm kwa msimamo mkali, jambo ambalo huenda Mbowe asingeliweza kuwa na msimamo mkali kama huo! Mbowe alijaribu wakati wa Ukuta, lkn walivyomfuata viongozi wa dini akaahirisha, lkn Lissu anavyowabana Ccm, huenda Mbowe asingeweza!
Hivyo kwangu mimi wote wamefanya kwa wakati wao na wanategemeana!
 
Chadema ya Mzee Freeman Ekael Mbowe unaweza kusema ndio imekuwa Chadema bora ya wakati wote katika Uhai wa Chadema kwa maana ya mafanikio na ukuaji wa Chama cha Siasa hata kama hakikuweza kushika Dola katika nyakati zake!

Kura milioni 6+ za Urais mwaka 2015 mbele ya mgombea wa CCM John Pombe Magufuli aliyekuwa na kura milioni 8+!Unataka nini?

Mwaka 2010 chini ya Katibu Mkuu Mzee Dr Slaa na Mwenyekiti Mzee Freeman Mbowe Chadema ilikuwa na Wabunge, Madiwani kiasi kwamba waliweza kuongoza baadhi ya Halsmashauri NCHINI!Unataka nini?

Ni Chadema hii hii iliweza "kumsulubisha" marehemu Mh Jaji Warema,Waziri Profesa Muhongo na hata "Uwaziri Mkuu" wa Mzee hayati Edward Lowassa ukapotea!Unataka nini?

Chadema ile ingekuja na wimbo huu wa NO REFORMS NO ELECTION ingeweza "kutoboa" kwani ilikuwa na "uwanja" mzuri wa KUSUKUMA mambo yake kwa maana ya Bunge na Mabaraza ya Madiwani katika maeneo fulani fulani ya Nchi!Unataka nini?

NINI NATAKA KUSEMA HAPA?

Mwezi January mwaka 2025 iliingia Chadema ya "wajuaji" Chini ya Ndugu Tundu Lissu na John Heche lakini wasiojua "lolote" wala "chochote" kuhusu jinsi ya kucheza na Siasa kulingana na nyakati(Timing Politics).

Chadema ya Mzee Freeman Mbowe ilikuwa angalau inajua kufanya "tactical positioning" na kufanya "appreciation of the political situation" ya Nchi na kujua jinsi ya kwenda nayo!

Maridhiano this time yangeifanya Chadema kurudi kwenye Enzi zake hasa kuingia Bungeni jijini Dodoma kwanza!Maridhiano haya haya yakammpa Mzee Freeman Mbowe Ruzuku kwanza ya Chama(Noti)Maridhiano haya haya yakampa mzee Mbowe tena "uwanja" wa kufanyia Siasa ambao haukuwepo kwa miaka mitano hivi nyuma!

Maridhiano yakamfutia kesi zote za Viongozi wa juu wa Chama!Unataka nini wakati hapo mwanzo ulikuwa hata haupumuhi?,

NO REFORMS NO ELECTION YA MWENYEKITI TUNDU LISSU INAIRUDISHA "KABURINI" CHADEMA.

"Ubogus" wa Chadema hii upo hapa๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

I.Hakuna mabadiliko hakuna Uchaguzi!No Reforms No Election!๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

MSIMAMO UKAWA hakuna Uchaguzi kwa upande wao!Juzi wakaitwa na watu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kusaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 wakagomesha!

II.Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima "akawakazia"kwamba kwa mujibu wa Sheria "Majamaa" hawawezi kushiriki Uchaguzi tena mpaka mwaka 2030!

III.Next Morning Majamaa yakastuka ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na kuanza kupiga kelele kana kwamba wanautaka Uchaguzi ambao wamesema wenyewe kwenye Mikutano yao Nchi nzima kwamba "haupo-No Election"๐Ÿคช๐Ÿคช

IV.Leo kaibuka Wakili mmoja "kilaza" kweli kweli(Ntala)ambaye ndio Mwanasheria Mkuu wa Chama,anasema eti inakuwaje kanuni ambazo hazijaanza kutumika ziwe na nguvu kisheria?๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธ๐Ÿคท๐Ÿปโ€โ™‚๏ธhuyu Wakili wa wapi?

Labda Nimpe Shule kidogo Wakili Ntala๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐ŸฟIPO HIVI ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Inawezekana kabla ya kusainiwa kanuni zile zilikuwa "toothless" labda,lakini kitendo cha Vyama vya Siasa 18 kuzisaini kanuni zile za Maadili,uhalali wa kanuni zile(binding)ndio ukaanzia hapo!Sijui Wakili ananielewa!

Ndio maana Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Ndugu Kahilima hakutangaza kufuta Ushiriki wa Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu kabla ya kanuni zile za Maadili ya Uchaguzi hazijasainiwa!

Uhalali wa kanuni zile(Binding Docs) ulianza soon after ACT -Wazalendo,CCM,UDP, NCCR-MAGEUZI na Vyama vingine "vilipoanguka Saini"๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Eti Wakili Ntala leo anamtisha "Poti" Jaji Gwiji Mwambegele na Mkurugenzi Kahilima kwamba "Waombe"radhi Chadema!Aseee!Aseee!

Mzee Freeman Ekael Mbowe huko aliko ATAKUWA anacheka sana!Mwanaharakati yule kwa sasa yupo "sehemu" salama zaidi ya home kwake!

NILISEMA kuwa Chadema kabla ya January 2026 itakuwa imekufa!Nipo pale ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ
Mbowe amekaa madarakani miaka 24 .
Lisu yupo madarakani miezi mitatu tu sasa hapo ni wajinga na wapumbavu wanaoweza kuwalinganisha katika mafanikio yao kwa muda huo ambao ni muda wa Kuelekea uchaguzi wa CCM . Leo CCM ni wazuri baada ya kuona Chadema hawagombei lakini amini amini nakwambia kama chandema wangegombea leo hii mpaka sasa watu wangekua wametekwa na kuuawa wengi sana .
Tafuta watu ndani ya mifumo watakueleza kinachofanyika ili CCM ishinde . Kama mpaka ndani ya Jeshi kuna Makada waliopewa ahadi za vyeo unategemea nchi iko kwenye demokrasia au ndio yale wengine wapate ubunge wengine wauawe na kisha hakuna mabadiliko na maisha yanakuwa hivyo miaka yote .
Kwenye chaguzi Chadema ikiwepo utatumiwa mpaka majambazi watakuua au kupora fomu au kuwanunua mawakala ,wakurugenzi wakatimpaka mil 500 na mawaziri ili washinde kirahisi .
Walimu mwaka Jana waliunda umoja wao wa Samia mitano tena .
Polisi wa mtandao wa Wanawake walikutana wakiwa wameshona sare za vitenge vya Samia mitano tena . Hujiulizi kwa nini wanafanya hivyo. ?
Uchaguzi ndani ya CCM haukufanyika kumpata Mgombea urais wakati Samia alikua ni kama Rais wa mpito tu. Je, huoni kuwa nguvu kubwa na pesa nyingi zinazotolewa mitaani kwa ajili ya rushwa na mabango nchi nzima ni wazi kuwa Samia hawezi kamwe kushinda kihalali . Je, unawajua Wazanzibar wewe linapokuja suala la kushinda au kushindwa uchaguzi ? Wale kukukata shingo kama kuku kwenye dini na siasa ni tofauti na Watangayika .?
Huwezi kulinganisha Serikali ya Watangayika wasiobaguana na wavumilivu ya Mkapa ,Kikwete au Hata Magufuli na ya hawa Watu kutoka Oman ?
Kwanza walishauana sana kwenye chaguzi za Zanzibar . Lakini pia Serikali ya Zanzibar iliyowalea ni serikali ya mapinduzi ya kumwaga damu .
Ni watu ambao kumwaga damu ya mtu ni sekunde linapokuja suala la madaraka na dini kama hakuna sheria zinazowadhibidi . Kama mnabisha subirini mchakato wa ndani ya CCM kuwapata wagombea wa ubunge na udiwani na uchaguzi wa Zanzibar kama utakua ni wa kutoa madaraka kwa vipande vya karatasi .
Kama kanchi ka Zanzibar kasiko na mianya ya kupiga walikua wanapiga mamia ya watu risasi Ili wakalie kiti itakuaje kwa Tanganyika yenye marasilimali yasiyo na mwenyewe. Tafakari kabla ya kumlinganisha Mbowe na Lisu wakati ni watu wawili tofauti kabisa .
Tafuta Mzanzibari yeyote umuulize habari ya Chadema atakuambia ni Chama cha Wakristo . Mwanzoni walisema ni Chama cha wachaga .
Sasa ukiingia kwenye uchaguzi ambao Amiri Jeshi mkuu ana Mamlaka juu ya Tume basi ni hatari kama kuna propaganda za kidini ndani yake .

Kumbuka CCM, wakati CUF ilipokua na nguvu walisema kuwa ni chama cha Waislam ili wakrsto wawaunge CCM mkono wakati wanawapiga CUF risasi na kuwaua kule Zanzibar .
Wakasema CUF wameingiza Konteina la visu na majambia kuua watu.
Uchaguzi ukawa ni vita kubwa lakini ndani yake palikua na hisia za kidini .
Kwenye Demokrasia ya kweli katiba ndiyo inayofuatwa maana nchi hairuhusu Chama cha kidini kusajiliwa . Sasa inakuaje seikali ya CCM idanganye watu kwa propaganda hatari kama za kidini,? Jibu ni kuwa wanataka kuwagawa watu kulingana na maeneo na dini ya mgombea . Ni mbinu haram inayochochea vurugu na chuki wakati wa Uchaguzi .


Mbinu hiyo hiyo kama Chandema wataingia kwenye uchaguzi kichwa kichwa wajue wazi kuwa CCM ya leo ni ile ile ya miaka yote na sheria zile zile za kuhakikisha wanashinda na wanatumia nguvu kubwa hata ya kuua halaiki maana haina nguvu ya ushawishi Ila imejipanga kidola kwenye kila idara na wanalamba asali na wameshaona utamu wake watawapoteza wanachadema wengi kwa hasira kubwa huku wakiwa wanasema ni chama cha wakristo .

Kule Kenya Wakati wa TANU na katiba mbovu walikua wanatumia ukabila kukaa madarakani kwa nguvu .
Ilikua maeneo yenye Wajalio wengi walikua wanawatuma maaskari wengi Wakikuyu na Wakalenjii na waliwaajiri kwa wingi. Walikua wanawaua Wajalio kama kuku kwa sababu ya kuingia kwenye uchaguzi na hisiasa za kikabila chini ya sheria na tume inayoteuliwa na Mgombea mmoja wa kabila lenye nguvu na walioeneza propaganda kuwa chama fulani ni cha kabila fulani .
Mpaka ilipofikia siku ambayo Askari walipigana risasi wenyewe baada ya kuona kuwa kila wanapofika kwenye maeneo ya Wajalio na basi Wakikuyu wanawaua sana na kuwapiga sana Wajalio . Mjaluo ,mmoja akaona ndugu zake wanapigwa na wanauawa sana ikapidi ageuke na kuwafyatulia risasi wenzake . Ikawa mwanzo wa kubadilika na watawala wakaona sasa nchi itaharibika . Wakaruhusi katiba mpya .
Leo Kenya uchaguzi unafanyika kwa uhuru na haki na ukabila Kwenye unaanza kupotea .
Bila shaka watawala wa ndio waliokuwa wanatumia ukabila kupata madaraka na kuchochea vurugu kisha kutumia dola kuumiza wapinzani .


Kwa hiyo kuingia kwenye Uchaguzi wa Nchi bila Sheria za uchaguzi kuboreshwa ni hatari sana kwa Chandema kushiriki kwa sababu tayari kinaitwa chama cha wakristo .
Lakini Pia Chadema isiposhiriki halafu kwa ACT wakashiriki basi ni wazi kuwa Wataanza kuwahusisha na Udini

Uchaguzi wa Mwaka huu ukifanyika kwa sheria hizi na Chadema wakashiriki nchi hii itakua katika mgawanyiko mkubwa sana maana ili CCM ishinde ni lazima watumie nguvu au watumie propaganda za dini ,utekaji mauaji ,kuhonga na kununua wagombea n.k.

Kwa upande wa Lisu ni kwamba huyo ndiye mtu hatari sana kwa sababu ya kukataa Rushwa za CCM na kuwataja mafisadi kwa wazi .
Nikufahamishe tu kuwa Mbowe alikua hajawahi kuwekwa ndani hata mara moja na kufunguliwa kesi kubwa tangu 1992.
Baada ya Lisu kupigwa risasi umaarufu wa Mbowe ukapotea kabisa kwa sababu Slaa alikua amejitoa kwenye siasa za majukwaani na kutojihusisha na siasa tena kwa sababu hakutaka kumuunga mkono Lowasa badala ya Magufuli .
Magufuli katika Historia yake ya uwaziri alikua muadilifu sana na hakuwa na Kashafa ya kulihujumu taifa .
Lowasa alikua ni kama Mbowe ,wote walikua wachapakazi na wenye mipango mizuri lakini walikua na tamaa sana ya pesa na hawakuwahi kutoeheka na pesa wanapoona fursa ya kupiga pesa za umma.
Sasa
Mbowe na Chadema Mwaka 2020 hawakua na Mgombea wa Uraisi Jasiri na anayeweza kukubalika na wkashindana na MAGUFULI.
Walimpa Lisu Umakamu wa Mwenyekiti na kisha kugombea urais kwa sababu walijua kuwa Chama ki;ikua kimeshakufa kabisa hasa kwa wananchi wa kawaida .
Kurudi kwa Lisu kugombea urais kukafufua tena chama .

Kuanzia wakati huo Mbowe alishikwa na Wivu mkubwa sana kuona kuwa kumbe Wananchi wanampenda Lisu kuliko yeye .
Akaanza kutengeneza matukio yatakayomfanya apate umaarufu kama Lisu . Ndio Mbowe akaanza kukamatwa na kuwekwa gerezani .

Hakuna namna tena ya kuijenga Chadema kwa kushiriki uchaguzi usio na Tume huru.
Kilichokuwa kimepangwa kama Chadema itashiriki kichwa kichwa ni kuipa ACT majimbo mengi na kuvuruga majimbo ya Chadema ili ACT kishike nafsi ya pili halafu waseme kuwa Chadema haikubaliki .
Na kwa Sababu ACT na CCM imeshikwa na Wazanzibar tena wa Dini moja ingekuwa ni rahisi kuhujumu sana majimbo na kura za Chadema kwa kupitia watu wao waliojaa hasira na Chuki huku wakisema hiki chama ni cha wakristo tukidhibiti .

Jambo litakaloiacha nchi hii salama ni Maridhiano na kufanya marekebisho ya sheria .
Huo sio uhaini maana wanafanya marekebisho Rais akiwa bado ni Samia hakuna aliyesema Samia aondoke madarakani bila uchaguzi.
Wanazuia uchaguzi Samia anaendelea ,marekebisho yafanyike hapo hakuna dhambi wala kosa . Dhambi na kosa ni kuua watu ,kubambikia watu kesi na kuiba uchaguzi.
 
Mbowe amekaa madarakani miaka 24 .
Lisu yupo madarakani miezi mitatu tu sasa hapo ni wajinga na wapumbavu wanaoweza kuwalinganisha katika mafanikio yao kwa muda huo ambao ni muda wa Kuelekea uchaguzi wa CCM . Leo CCM ni wazuri baada ya kuona Chadema hawagombei lakini amini amini nakwambia kama chandema wangegombea leo hii mpaka sasa watu wangekua wametekwa na kuuawa wengi sana .
Tafuta watu ndani ya mifumo watakueleza kinachofanyika ili CCM ishinde . Kama mpaka ndani ya Jeshi kuna Makada waliopewa ahadi za vyeo unategemea nchi iko kwenye demokrasia au ndio yale wengine wapate ubunge wengine wauawe na kisha hakuna mabadiliko na maisha yanakuwa hivyo miaka yote .
Kwenye chaguzi Chadema ikiwepo utatumiwa mpaka majambazi watakuua au kupora fomu au kuwanunua mawakala ,wakurugenzi wakatimpaka mil 500 na mawaziri ili washinde kirahisi .
Walimu mwaka Jana waliunda umoja wao wa Samia mitano tena .
Polisi wa mtandao wa Wanawake walikutana wakiwa wameshona sare za vitenge vya Samia mitano tena . Hujiulizi kwa nini wanafanya hivyo. ?
Uchaguzi ndani ya CCM haukufanyika kumpata Mgombea urais wakati Samia alikua ni kama Rais wa mpito tu. Je, huoni kuwa nguvu kubwa na pesa nyingi zinazotolewa mitaani kwa ajili ya rushwa na mabango nchi nzima ni wazi kuwa Samia hawezi kamwe kushinda kihalali . Je, unawajua Wazanzibar wewe linapokuja suala la kushinda au kushindwa uchaguzi ? Wale kukukata shingo kama kuku kwenye dini na siasa ni tofauti na Watangayika .?
Huwezi kulinganisha Serikali ya Watangayika wasiobaguana na wavumilivu ya Mkapa ,Kikwete au Hata Magufuli na ya hawa Watu kutoka Oman ?
Kwanza walishauana sana kwenye chaguzi za Zanzibar . Lakini pia Serikali ya Zanzibar iliyowalea ni serikali ya mapinduzi ya kumwaga damu .
Ni watu ambao kumwaga damu ya mtu ni sekunde linapokuja suala la madaraka na dini kama hakuna sheria zinazowadhibidi . Kama mnabisha subirini mchakato wa ndani ya CCM kuwapata wagombea wa ubunge na udiwani na uchaguzi wa Zanzibar kama utakua ni wa kutoa madaraka kwa vipande vya karatasi .
Kama kanchi ka Zanzibar kasiko na mianya ya kupiga walikua wanapiga mamia ya watu risasi Ili wakalie kiti itakuaje kwa Tanganyika yenye marasilimali yasiyo na mwenyewe. Tafakari kabla ya kumlinganisha Mbowe na Lisu wakati ni watu wawili tofauti kabisa .
Tafuta Mzanzibari yeyote umuulize habari ya Chadema atakuambia ni Chama cha Wakristo . Mwanzoni walisema ni Chama cha wachaga .
Sasa ukiingia kwenye uchaguzi ambao Amiri Jeshi mkuu ana Mamlaka juu ya Tume basi ni hatari kama kuna propaganda za kidini ndani yake .

Kumbuka CCM, wakati CUF ilipokua na nguvu walisema kuwa ni chama cha Waislam ili wakrsto wawaunge CCM mkono wakati wanawapiga CUF risasi na kuwaua kule Zanzibar .
Wakasema CUF wameingiza Konteina la visu na majambia kuua watu.
Uchaguzi ukawa ni vita kubwa lakini ndani yake palikua na hisia za kidini .
Kwenye Demokrasia ya kweli katiba ndiyo inayofuatwa maana nchi hairuhusu Chama cha kidini kusajiliwa . Sasa inakuaje seikali ya CCM idanganye watu kwa propaganda hatari kama za kidini,? Jibu ni kuwa wanataka kuwagawa watu kulingana na maeneo na dini ya mgombea . Ni mbinu haram inayochochea vurugu na chuki wakati wa Uchaguzi .


Mbinu hiyo hiyo kama Chandema wataingia kwenye uchaguzi kichwa kichwa wajue wazi kuwa CCM ya leo ni ile ile ya miaka yote na sheria zile zile za kuhakikisha wanashinda na wanatumia nguvu kubwa hata ya kuua halaiki maana haina nguvu ya ushawishi Ila imejipanga kidola kwenye kila idara na wanalamba asali na wameshaona utamu wake watawapoteza wanachadema wengi kwa hasira kubwa huku wakiwa wanasema ni chama cha wakristo .

Kule Kenya Wakati wa TANU na katiba mbovu walikua wanatumia ukabila kukaa madarakani kwa nguvu .
Ilikua maeneo yenye Wajalio wengi walikua wanawatuma maaskari wengi Wakikuyu na Wakalenjii na waliwaajiri kwa wingi. Walikua wanawaua Wajalio kama kuku kwa sababu ya kuingia kwenye uchaguzi na hisiasa za kikabila chini ya sheria na tume inayoteuliwa na Mgombea mmoja wa kabila lenye nguvu na walioeneza propaganda kuwa chama fulani ni cha kabila fulani .
Mpaka ilipofikia siku ambayo Askari walipigana risasi wenyewe baada ya kuona kuwa kila wanapofika kwenye maeneo ya Wajalio na basi Wakikuyu wanawaua sana na kuwapiga sana Wajalio . Mjaluo ,mmoja akaona ndugu zake wanapigwa na wanauawa sana ikapidi ageuke na kuwafyatulia risasi wenzake . Ikawa mwanzo wa kubadilika na watawala wakaona sasa nchi itaharibika . Wakaruhusi katiba mpya .
Leo Kenya uchaguzi unafanyika kwa uhuru na haki na ukabila Kwenye unaanza kupotea .
Bila shaka watawala wa ndio waliokuwa wanatumia ukabila kupata madaraka na kuchochea vurugu kisha kutumia dola kuumiza wapinzani .


Kwa hiyo kuingia kwenye Uchaguzi wa Nchi bila Sheria za uchaguzi kuboreshwa ni hatari sana kwa Chandema kushiriki kwa sababu tayari kinaitwa chama cha wakristo .
Lakini Pia Chadema isiposhiriki halafu kwa ACT wakashiriki basi ni wazi kuwa Wataanza kuwahusisha na Udini

Uchaguzi wa Mwaka huu ukifanyika kwa sheria hizi na Chadema wakashiriki nchi hii itakua katika mgawanyiko mkubwa sana maana ili CCM ishinde ni lazima watumie nguvu au watumie propaganda za dini ,utekaji mauaji ,kuhonga na kununua wagombea n.k.

Kwa upande wa Lisu ni kwamba huyo ndiye mtu hatari sana kwa sababu ya kukataa Rushwa za CCM na kuwataja mafisadi kwa wazi .
Nikufahamishe tu kuwa Mbowe alikua hajawahi kuwekwa ndani hata mara moja na kufunguliwa kesi kubwa tangu 1992.
Baada ya Lisu kupigwa risasi umaarufu wa Mbowe ukapotea kabisa kwa sababu Slaa alikua amejitoa kwenye siasa za majukwaani na kutojihusisha na siasa tena kwa sababu hakutaka kumuunga mkono Lowasa badala ya Magufuli .
Magufuli katika Historia yake ya uwaziri alikua muadilifu sana na hakuwa na Kashafa ya kulihujumu taifa .
Lowasa alikua ni kama Mbowe ,wote walikua wachapakazi na wenye mipango mizuri lakini walikua na tamaa sana ya pesa na hawakuwahi kutoeheka na pesa wanapoona fursa ya kupiga pesa za umma.
Sasa
Mbowe na Chadema Mwaka 2020 hawakua na Mgombea wa Uraisi Jasiri na anayeweza kukubalika na wkashindana na MAGUFULI.
Walimpa Lisu Umakamu wa Mwenyekiti na kisha kugombea urais kwa sababu walijua kuwa Chama ki;ikua kimeshakufa kabisa hasa kwa wananchi wa kawaida .
Kurudi kwa Lisu kugombea urais kukafufua tena chama .

Kuanzia wakati huo Mbowe alishikwa na Wivu mkubwa sana kuona kuwa kumbe Wananchi wanampenda Lisu kuliko yeye .
Akaanza kutengeneza matukio yatakayomfanya apate umaarufu kama Lisu . Ndio Mbowe akaanza kukamatwa na kuwekwa gerezani .

Hakuna namna tena ya kuijenga Chadema kwa kushiriki uchaguzi usio na Tume huru.
Kilichokuwa kimepangwa kama Chadema itashiriki kichwa kichwa ni kuipa ACT majimbo mengi na kuvuruga majimbo ya Chadema ili ACT kishike nafsi ya pili halafu waseme kuwa Chadema haikubaliki .
Na kwa Sababu ACT na CCM imeshikwa na Wazanzibar tena wa Dini moja ingekuwa ni rahisi kuhujumu sana majimbo na kura za Chadema kwa kupitia watu wao waliojaa hasira na Chuki huku wakisema hiki chama ni cha wakristo tukidhibiti .

Jambo litakaloiacha nchi hii salama ni Maridhiano na kufanya marekebisho ya sheria .
Huo sio uhaini maana wanafanya marekebisho Rais akiwa bado ni Samia hakuna aliyesema Samia aondoke madarakani bila uchaguzi.
Wanazuia uchaguzi Samia anaendelea ,marekebisho yafanyike hapo hakuna dhambi wala kosa . Dhambi na kosa ni kuua watu ,kubambikia watu kesi na kuiba uchaguzi.
Mwenye sikio na asikie .. sio chawa
 
Back
Top Bottom