Mzee Makamba Pole sana

Mzee Makamba Pole sana

Acha shobo. Sijakukwoti wewe wala sina muda wa kujibishana na mtu mjinga ambaye hata haelewi taifa lake na vizazi vyake vinataka nini. Magufuli alikuwa na mapungufu yake lakini alikuwa mtu sahihi kwa taifa hili. Ila kwenu vyeti feki na mafisadi mauza unga hamtakaa mmsahau.

Haya sasa hayupo. Ni nini kilichobadilika? Tunaendelea au tunarudi nyuma? Miafrika mingine hopulesi kabisa. Hata kama unafaidika na mfumo wa Samia lakini you are selfish, myopic and just inhumane!
Huyo hatakuelewa!
Vyeti feki
Wafanyakazi hewa
Unga
Ufisadi
NDO SIFA KUBWA WANAZOTAKA, UKIGUSA TU HZO SEKTA UNAAMBIWA HAO NDO WAJENGA NCHI, USIWAGUSE..
some africans are black morons
 
Pole sana kaitoe tu ishaoza
In maana huna hoja nyingine zaidi ya mimba? Mungu aliwapiga na kitu kizito sana nyie Sukuma gang. Moaka leo bado mko na maumivu. Poleni na msonge mbele. Ile ilikuwa laana kwa Taifa
 
Acha shobo. Sijakukwoti wewe wala sina muda wa kujibishana na mtu mjinga ambaye hata haelewi taifa lake na vizazi vyake vinataka nini. Magufuli alikuwa na mapungufu yake lakini alikuwa mtu sahihi kwa taifa hili. Ila kwenu vyeti feki na mafisadi mauza unga hamtakaa mmsahau.

Haya sasa hayupo. Ni nini kilichobadilika? Tunaendelea au tunarudi nyuma? Miafrika mingine hopulesi kabisa. Hata kama unafaidika na mfumo wa Samia lakini you are selfish, myopic and just inhumane!
Huyo jiwe wako alikuwa sahihi kwa watu kama wewe mliokuwa mnajiita wanyonge. Mimi sifaidiki na mfumo wa sa100 lakini mambo ya jiwe sikuwahi kuyakubali hata kidogo.
 
Wakuu,

Huyu Mzee wetu Makamba ni mnafiki sana alitubuana na Jiwe Kwa mambo yake ya Kuuma na Kupuliza
Leo nimeona list ya watoto wa Viongozi wengi sana wakiwa wamependekezwa ili kwenda kupigiwa Kura na Wajumbe

Kitu Kimenifurahisha Mtoto wa Mzee Makamba January Makamba wamemkata!!!
Huyu Mzee ndio kapotea kabisa kwenye Mikutano ya chama Sasa alambe asali Vizuri

Hakuna Mtu Mkubwa kuliko Chama.
Katika viapo vya kuwa mwana siasa mwiko mkubwa ni kutokuwa na aibu,kama unajijua una aibu fanya tu shughuli nyingine za kujiingizia kipato...
 
Huyo jiwe wako alikuwa sahihi kwa watu kama wewe mliokuwa mnajiita wanyonge. Mimi sifaidiki na mfumo wa sa100 lakini mambo ya jiwe sikuwahi kuyakubali hata kidogo.
IMG-20250726-WA0017.jpg
 
Hata mimi hilo nimelihisi na kuna sehemu nime comment,
Na ili kudhibitisha hili ikitokea Januari hajatoa lawama za aina yoyote kuhusiana na jina lake kukatwa nyuma ya pazia iko hivyo,
Ikienda kinyume hapo itakuwa ni taswira nyingine
January ni katibu mkuu wa CCM baada ya mzee Nchimbi, itunze hiii
 
Chato kwa Jiwe 🤣🤣🤣🤣🤣
Jiwe ilikuwa laana kwa Taifa lenu
Laana wapi wewe acha hasira au kwa sababu alikuchapia dada yako.

Mwenye dada hakosi shemeji acha ubwege wewe.
 
Laana wapi wewe acha hasira au kwa sababu alikuchapia dada yako.

Mwenye dada hakosi shemeji acha ubwege wewe.
Sasa mambo ya kuchapia dada yanatoka wapi? Au ulitaka akuchape wewe? Jiwe alikuwa laana hilo halina ubishi. Lakini yawezekana kwako alikuwa mkombozi wa unyonge wako
 
Alisema kwamba Watanzania wote sasa wanalamba asali. Na sijui anajisikiaje akiona watoto wa wenzake wanalamba asali wakati wa kwake katupwa nje. Wazuri kweli hawafi. Zee la hovyo sana na siku yeye na mshika rimoti wakifa watu watakesha baa.
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

Familia ya Rais SAMIA SULUHU HASSAN

1. Mtoto - Wanu Hafidh Ameir
Jimbo: Makunduchi, Zanzibar

Familia ya RAIS MSTAAFU MRISHO KIKWETE

1. Mke - Salma Kikwete
Jimbo - Mchinga

2. Mtoto - Ridhiwani Kikwete
Jimbo - Chalinze

Familia ya Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo pinda

1. Mtoto - Geophrey Privatus Mizengo Pinda
Jimbo - Kavuu

2. Mtoto - Sylivanus Mizengo Ole Pinda
Jimbo - Ngorongoro

Familia ya Mzee Wasira
1. Mtoto - Kambarage Masato Wasira
Jimbo - Bunda Mjini

Familia ya Hayati Rais Ali Hassan Mwinyi ambaye pia mtoto wake ni Rais wa Zanzibar (Hussein Mwinyi )

1. Mtoto - Abasi Ali Mwinyi
Jimbo - Fuoni, Zanzibar

2. Mtoto - Fahmy Ali Mwinyi
Jimbo - Mwanakwerekwe, Zanzibar

3. Mtoto - Asma Ali Mwinyi
Jimbo - Welezo, Zanzibar

4. Mtoto - Abdulla Ali Mwinyi
Jimbo- Mahonda, Zanzibar
Daaah!
 
Huijui CCM. Weka akiba ya maneno.
Usishangae ukasikia January anamrithi Nchimbi kwenye ukatibu mkuu
Mkuu iko hivi, Nchi hii Vyeo salama zaidi ni vile ambayo uta serve bila pleasure ya aliyekuteua ambavyo ni Ubunge tu at least na CAG , The rest uko ukitibuana na aliyekuteua unakuwa Fired,
Wewe unadhani Kwanini Riziwani kikwete na Salma kikwete wanarejea Bungeni unadhani, Kikwete ameshindwa kuwatafutia nafasi Kubwa zaidi ya Ubunge serikalini?

Watu wanataka post ambazo Zina security of tenure na Decision making zote za Executive zipo Bungeni through ministries
 
Wakuu,

Huyu Mzee wetu Makamba ni mnafiki sana alitubuana na Jiwe Kwa mambo yake ya Kuuma na Kupuliza
Leo nimeona list ya watoto wa Viongozi wengi sana wakiwa wamependekezwa ili kwenda kupigiwa Kura na Wajumbe

Kitu Kimenifurahisha Mtoto wa Mzee Makamba January Makamba wamemkata!!!
Huyu Mzee ndio kapotea kabisa kwenye Mikutano ya chama Sasa alambe asali Vizuri

Hakuna Mtu Mkubwa kuliko Chama.
Aliwahi kusema wazuri hawafi!!!
 
Back
Top Bottom