Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,840
Huyu mzee ni mwasisi wa hii mifumo ya kipumbavu acha naye avune maumivu kidogo
Maumivu ya nini tena? Na toka lini mimi nikawa mjane? Mimi nina furaha baada ya lile jibwana kuuliwa na Mungu
Hakuna masika za kudumuWakuu,
Huyu Mzee wetu Makamba ni mnafiki sana alitubuana na Jiwe Kwa mambo yake ya Kuuma na Kupuliza
Leo nimeona list ya watoto wa Viongozi wengi sana wakiwa wamependekezwa ili kwenda kupigiwa Kura na Wajumbe
Kitu Kimenifurahisha Mtoto wa Mzee Makamba January Makamba wamemkata!!!
Huyu Mzee ndio kapotea kabisa kwenye Mikutano ya chama Sasa alambe asali Vizuri
Hakuna Mtu Mkubwa kuliko Chama.
Pale wizara ya nishati alipiga hela sana. Yaani umeme unakatwa kwa lazima. Kijana mjinga sana yule!Ila ni mabilionea kwasasa
Sasa mbona mwanae kafaa ubunge?Mzee makamba 'wazuri hawafi'
Wenye ccm yao 'wazuri hawakatwi'
😂
😁Mzee makamba 'wazuri hawafi'
Wenye ccm yao 'wazuri hawakatwi'
😂
1. Vyeti feki/lifanyakazi hewaComments zinazomhusu jiwe huwa zinakutekenya sana mjane
Ubunge wapi hukoSasa mbona mwanae kafaa ubunge?
Hizo comments zisikuumize wewe uliyefiwa zije kuniumiza mimi. Mimi kwangu ni furaha tele. Mungu alinishindia na kuwashindia Watanzania wote. Naamini kuna sehemu tulimkosea Mungu so akatupa huyo jiwe kama adhabu. Tulipotubu akatusamehe na kumuondosha.Comments zinazomhusu jiwe huwa zinakutekenya sana mjane
Hivi shosti yake wa msoga kashindwa kumpigia debe?Huyu Mzee wetu Makamba ni mnafiki sana alitubuana na Jiwe Kwa mambo yake ya Kuuma na Kupuliza
Leo nimeona list ya watoto wa Viongozi wengi sana wakiwa wamependekezwa ili kwenda kupigiwa Kura na Wajumbe
Watu kama nyie ndiyo jiwe aliwatumia kama mtaji wake. Eti unaitwa mnyonge na wewe unafurahi na kubinuka. Jiulize baada ya kukuita mnyonge umepata faida ipi na je huo unyonge wako umeisha au bado upo?1. Vyeti feki/lifanyakazi hewa
2. Fisadi
3. Liuza unga
4. Ponjoro uchwara/lihujumu uchumi
5. Likiongozi lizembe
Hawa wakisikia tu Jiwe presha inapanda. Mwamba bado anaendesha maisha yao japo kalala zake huko baada ya kumaliza kilichomleta hapa duniani na kutuonyesha kwamba kumbe tukiwa siriazi tunaweza. Umasikini wetu huu ni wa kujitakia tu!
Hizo comments zisikuumize wewe uliyefiwa zije kuniumiza mimi. Mimi kwangu ni furaha tele. Mungu alinishindia na kuwashindia Watanzania wote. Naamini kuna sehemu tulimkosea Mungu so akatupa huyo jiwe kama adhabu. Tulipotubu akatusamehe na kumuondosha.
1. Vyeti feki/lifanyakazi hewa
2. Fisadi
3. Liuza unga
4. Ponjoro uchwara/lihujumu uchumi
5. Likiongozi lizembe
Hawa wakisikia tu Jiwe presha inapanda. Mwamba bado anaendesha maisha yao japo kalala zake huko baada ya kumaliza kilichomleta hapa duniani na kutuonyesha kwamba kumbe tukiwa siriazi tunaweza. Umasikini wetu huu ni wa kujitakia tu!
Na nikionaga majitu manafiki na mabinafsi kama haya huwa nasikitika sana. Tunastahili hata tunayopitia kwa sasa. Acha kila kitu cha Tanganyika kiuzwe mpaka akili zitukae sawa. Hopulesi kabisa!
In maana huna hoja nyingine zaidi ya mimba? Mungu aliwapiga na kitu kizito sana nyie Sukuma gang. Moaka leo bado mko na maumivu. Poleni na msonge mbele. Ile ilikuwa laana kwa TaifaMjane punguza kunikurupukia kwa mapovu. Unanifata fata sana kila nikikoment kuhusu JPM,hio mimba kaitoe tu ishaharibika tangu march ile hadi leo haujajifungua tu pole sana
😂😂😂😂😂😂Naunga mkono hoja Mkuu. Hasa huyo jamaa kila kona yupo kila comments za JPM yeye analia lia tu
Acha shobo. Sijakukwoti wewe wala sina muda wa kujibishanaWatu kama nyie ndiyo jiwe aliwatumia kama mtaji wake. Eti unaitwa mnyonge na wewe unafurahi na kubinuka. Jiulize baada ya kukuita mnyonge umepata faida ipi na je huo unyonge wako umeisha au bado upo?
Fisadi vyeti feki liuza unga lizembe...Mjane punguza kunikurupukia kwa mapovu. Unanifata fata sana kila nikikoment kuhusu JPM,hio mimba kaitoe tu ishaharibika tangu march ile hadi leo haujajifungua tu pole sana