Bado anapendelewa na Israeli huko Afrika Kusini.Nauliza wakuu
Siasa za bongo wanaziweza wenyewe wanasiasa, nayeye alikua anajiita mpinzani wa kweli.Lowassa mabadiliko mabadiliko lowasaaaaa kilichotokea baada ya hapo siasa za bongo nimewaachia wanasiasa 🍻
Mungu hapendi wanafiki.Umati mkubwa sana. Sijui Chadema walifanya trick photography? Lakini kwa crowds Kama hizi huyu anaweza Rais wakati wowote kwa sababu anaweza kuiunganisha nchi.
Wamempiga chini wanasema Hana uhusiano nzuri na Nyerere, lakini utaona familia ya Nyerere haina uhusiano nzuri na hao wanaosema wanaipigania.
Hapa ukitaka Rais Samia ajiuzulu for any reason,huyu ndiye atakuwa the best candidate kumalizia hii awamu.
Kama ni Mbinguni kwa Yehova hafiki. Ila kama mbinguni kwa shetani ataendaWatu wamekufa, watu wamefungwa, watu wamefunga biashara ghafla anarudi chama tawala, mzee mwenye bleach ya kikongo sijui Kama ataenda mbinguni
Mwenyezi Mungu sio tu hasikilizi maombi ya mnafiki bali hata hayamfikiiAlishatubu kanisani dhambi zote alizofanya kwa mawazo,kwa maneno ,kwa matendo na kwa kutotimiza wajibu sasa anasubiri kwenda zake mbinguni