Nakubaliana na Mzee Mohamed Said, Historia ya Siasa za Tanzania iandikwe upya kwa yaliyotokea kwa Membe na Lowassa

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Mimi ni mwana CCM lakini sikubaliani na unafiki wa hovyo na kijinga katika zama za kidijitali na upotoshwaji wa historia.

Huwa napinga maandishi ya Mzee Mohamed Said hapa JF kutokana na simulizi zake za wakati huo kuwa historia ya uhuru wa Tanganyika umewafuta watu wengi waliopigania uhuru na kumtambua Nyerere tu

Mazishi ya Membe na Lowasa ndio yamenifanya niandike uzi huu,Wasomaji wa historia za marehemu wanapotosha uma kwa makusudi wakati hawa watu walihama ccm na kugombea urais upinzani

Kama wanapotosha leo wakati wa digitali ,Je enzi hizo si ndio walipotosha zaidi

Inawezekana vipi Baba mtu mzima na familia yako bila aibu unapotosha uma pale Arusha na lindi kuhusu historia za marehemu

Tunajenga Taifa la watu wa hovyo sana ,Yapasa wasoma wosia wajiuzuru nafasi zao za uongozi,Hawafai kuwa watumishi wa uma

Taarifa za ugonjwa tu hapo kenya wanatoa taarifa zao na sisi tunasema leo presha,kesho utumbo mara siku ya mazishi moyo
 
Wenyewe hupenda kukomoa makundi kinzani kwao ili tu nafsi zao zifurahi bila kujua athari mbeleni. Yaleyale ya kutaka kupata wabunge wote na Rais halafu kuja kushtuka wanatakiwa wakachunge ng'ombe jua limetoka.
 
Mimi ni mwana ccm lakini sikubaliani na unafiki wa hovyo na kijinga katika zama za kidijitali na upotoshwaji wa historia

Huwa napinga maandishi ya Mzee Mohamed Said hapa JF kutokana na simulizi zake za wakati huo kuwa historia ya uhuru wa Tanganyika umewafuta watu wengi waliopigania uhuru na kumtambua Nyerere tu

Mazishi ya Membe na Lowasa ndio yamenifanya niandike uzi huu,Wasomaji wa historia za marehemu wanapotosha uma kwa makusudi wakati hawa watu walihama ccm na kugombea urais upinzani

Kama wanapotosha leo wakati wa digitali ,Je enzi hizo si ndio walipotosha zaidi

Inawezekana vipi Baba mtu mzima na familia yako bila aibu unapotosha uma pale Arusha na lindi kuhusu historia za marehemu

Tunajenga Taifa la watu wa hovyo sana ,Yapasa wasoma wosia wajiuzuru nafasi zao za uongozi,Hawafai kuwa watumishi wa uma

Taarifa za ugonjwa tu hapo kenya wanatoa taarifa zao na sisi tunasema leo presha,kesho utumbo mara siku ya mazishi moyo
hakuna haja na wala si muhimu hata kidogo 🐒
 
Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa Kassim wakati akiyatolea maelezo michakato ya shughuli za Mazishi, aliashiria(signify) uwepo wa ushirikiano wa karibu na uratibu wa shughuli hizo na Familia ya Mwendazake E.N Lowassa.

Kwa msingi huo, haiwezekani Familia haikuwa inajua kuhusu Wosia wa Mhimili wao ulio kua unaoenda kuwekwa hadharani bila ya wao kuhakiki na kukubali maneno yaliyokuwa ndani yake.

Hivyobasi, kwenda kuisingizia CCM au wanasiasa au mtu yeyote yule ambao alisoma wosia wa marehemu na kudai ni wa CCM, ni kukosa akili.

Si ajabu Mbowe alifahamu hayo ila alijiondoa ufahamu kidogo, na kwa maneno yake, "alidanganya"

Yaani kama familia yenyewe haikuona umuhimu wa wosia wa Mwendazake Laigwanan E.N Lowassa kusema alikuwa CHADEMA, who is Mbowe to demand it?

Hatahivyo, ni ukweli Mwendazake Edward Lowassa alikuwemo katika kinyang'anyiro cha Uraisi kupitia tiketi ya CHADEMA.

Wasomaji wa historia za marehemu wanapotosha uma kwa makusudi wakati hawa watu walihama ccm na kugombea urais upinzani
Kwanini Familia ikubali? Walikuwa hawajui?
Kama wanapotosha leo wakati wa digitali ,Je enzi hizo si ndio walipotosha zaidi
Miaka mitatu ndani ya CHADREAMER ndio waseme alikuwa ni CHADEMA kindakindaki?
 
Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa Kassim wakati akiyatolea maelezo michakato ya shughuli za Mazishi, aliashiria(signify) uwepo wa ushirikiano wa karibu na uratibu wa shughuli hizo na Familia ya Mwendazake E.N Lowassa.

Kwa msingi huo, haiwezekani Familia haikuwa inajua kuhusu Wosia wa Mhimili wao ulio kua unaoenda kuwekwa hadharani bila ya wao kuhakiki na kukubali maneno yaliyokuwa ndani yake.

Hivyobasi, kwenda kuisingizia CCM au wanasiasa au mtu yeyote yule ambao alisoma wosia wa marehemu na kudai ni wa CCM, ni kukosa akili.

Si ajabu Mbowe alifahamu hayo ila alijiondoa ufahamu kidogo, na kwa maneno yake, "alidanganya"

Yaani kama familia yenyewe haikuona umuhimu wa wosia wa Mwendazake Laigwanan E.N Lowassa kusema alikuwa CHADEMA, who is Mbowe to demand it?

Hatahivyo, ni ukweli Mwendazake Edward Lowassa alikuwemo katika kinyang'anyiro cha Uraisi kupitia tiketi ya CHADEMA.


Kwanini Familia ikubali? Walikuwa hawajui?

Miaka mitatu ndani ya CHADREAMER ndio waseme alikuwa ni CHADEMA kindakindaki?
Kwani Yesu Kristo alihudumu kwa miaka mingapi?

Samahani lakini 😂
 
Mimi ni mwana ccm lakini sikubaliani na unafiki wa hovyo na kijinga katika zama za kidijitali na upotoshwaji wa historia

Huwa napinga maandishi ya Mzee Mohamed Said hapa JF kutokana na simulizi zake za wakati huo kuwa historia ya uhuru wa Tanganyika umewafuta watu wengi waliopigania uhuru na kumtambua Nyerere tu

Mazishi ya Membe na Lowasa ndio yamenifanya niandike uzi huu,Wasomaji wa historia za marehemu wanapotosha uma kwa makusudi wakati hawa watu walihama ccm na kugombea urais upinzani

Kama wanapotosha leo wakati wa digitali ,Je enzi hizo si ndio walipotosha zaidi

Inawezekana vipi Baba mtu mzima na familia yako bila aibu unapotosha uma pale Arusha na lindi kuhusu historia za marehemu

Tunajenga Taifa la watu wa hovyo sana ,Yapasa wasoma wosia wajiuzuru nafasi zao za uongozi,Hawafai kuwa watumishi wa uma

Taarifa za ugonjwa tu hapo kenya wanatoa taarifa zao na sisi tunasema leo presha,kesho utumbo mara siku ya mazishi moyo
Halafu historia hiyo ikiandikwa upya naomba waandishi wake wawe akina Mzee Saidi ili uzushi wake wa kidini upate milleage.

Yule mzee wangu, yeye karibu kila kitu anakitazama kwa mlengo wa dini ya kiislamu.
 
Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa Kassim wakati akiyatolea maelezo michakato ya shughuli za Mazishi, aliashiria(signify) uwepo wa ushirikiano wa karibu na uratibu wa shughuli hizo na Familia ya Mwendazake E.N Lowassa.

Kwa msingi huo, haiwezekani Familia haikuwa inajua kuhusu Wosia wa Mhimili wao ulio kua unaoenda kuwekwa hadharani bila ya wao kuhakiki na kukubali maneno yaliyokuwa ndani yake.

Hivyobasi, kwenda kuisingizia CCM au wanasiasa au mtu yeyote yule ambao alisoma wosia wa marehemu na kudai ni wa CCM, ni kukosa akili.

Si ajabu Mbowe alifahamu hayo ila alijiondoa ufahamu kidogo, na kwa maneno yake, "alidanganya"

Yaani kama familia yenyewe haikuona umuhimu wa wosia wa Mwendazake Laigwanan E.N Lowassa kusema alikuwa CHADEMA, who is Mbowe to demand it?

Hatahivyo, ni ukweli Mwendazake Edward Lowassa alikuwemo katika kinyang'anyiro cha Uraisi kupitia tiketi ya CHADEMA.


Kwanini Familia ikubali? Walikuwa hawajui?

Miaka mitatu ndani ya CHADREAMER ndio waseme alikuwa ni CHADEMA kindakindaki?
Kinachosemwa hapa ni historia za Marehemu, sio muda gani kawa chama gani. Kama tunashindwa kuvumilia mambo madogo tu yanayofahamika na dunia nzima na kutaka kuyaficha, vipi mambo ya sirini tusiyoyajua hao wahusika wanaweza kweli kuyanyoosha kama yanavyotakiwa?

Haya matukio ni kipimo cha uafrika wetu kuwa sisi Waafrika bado sana. Tuna mambo ya kijima sana na itatuchukua miaka mingi sana kuwa sawa.

Ndio maana mpaka leo Afrika watoto darasani bado wanakaa chini na wengine wanakunywa tope kwa kukosa maji safi na salama. Sisi bado sana.
 
Kinachosemwa hapa ni historia za Marehemu, sio muda gani kawa chama gani. Kama tunashindwa kuvumilia mambo madogo tu yanayofahamika na dunia nzima na kutaka kuyaficha, vipi mambo ya sirini tusiyoyajua hao wahusika wanaweza kweli kuyanyoosha kama yanavyotakiwa?

Haya matukio ni kipimo cha uafrika wetu kuwa sisi Waafrika bado sana. Tuna mambo ya kijima sana na itatuchukua miaka mingi sana kuwa sawa.
Kwa kivipi? Hebu fafanua vizuri ueleweke. Uafrika wetu bado nini? Kutambua CHADEMA ina kiherehere?
Ndio maana mpaka leo Afrika watoto darasani bado wanakaa chini na wengine wanakunywa tope kwa kukosa maji safi na salama. Sisi bado sana.
Hao hao unawasema , wamekaa chini, wametembea makilomita, wamekunywa maji ya tope, na bado CHADEMA wanawalilia wawe wanachama wao posthumously!

Watoto kukaa chini ndio inawafanya wawe vipi?

Shida ipo wapi?
 
Back
Top Bottom