The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,300
Bila kupoteza mda waraka wa Maaskofu umemtoa Kikwete pangoni alikojificha siku nyingi.
Binafsi nimekuwa nikihoji uadilifu wa huyu mstaafu na faida yake kwa nchi pale mambo yanapokuwa yanaenda mrama amekuwa kimya sana.
Sasa tumemskia anakemea udini ambayo ni planned huko mara kwenye kanisa la wasabato.. maaskofu wamefanya makusudi maana jambo hili serikali inalichukulia lele mama
Lakini nilitegemea Kikwetele atoke mapema hata kabla ya waraka maana mambo yalishaonekana mapema kabisa . Tulisikia Dpw wanakuja.kujenga misikiti...
Ni mambo mengi sana ya hovyo yametendeka alikuwa kimya kwa mfano isue ya sukuma gang alikuwa wapi? naona ni.mwendelezo tu wa haya ya udini.
Pamoja.na kukemea udini sijasikia hoja yake ya msingi juu ya maktaba mbovu wa bandari ambao ndiyo chanzo Cha yote haya. Alipaswa atoe way foward siyo ngonjera na masimango.
Mpaka Maaskofu wanatoa waraka im.sure wamejirizisha pasipo shaka kwamba serikalii bado inataka muwaburuza wananchi kwenye uwekezaji huu.
Kwa hiyo atoe maoni yke tumsikie
Binafsi nimekuwa nikihoji uadilifu wa huyu mstaafu na faida yake kwa nchi pale mambo yanapokuwa yanaenda mrama amekuwa kimya sana.
Sasa tumemskia anakemea udini ambayo ni planned huko mara kwenye kanisa la wasabato.. maaskofu wamefanya makusudi maana jambo hili serikali inalichukulia lele mama
Lakini nilitegemea Kikwetele atoke mapema hata kabla ya waraka maana mambo yalishaonekana mapema kabisa . Tulisikia Dpw wanakuja.kujenga misikiti...
Ni mambo mengi sana ya hovyo yametendeka alikuwa kimya kwa mfano isue ya sukuma gang alikuwa wapi? naona ni.mwendelezo tu wa haya ya udini.
Pamoja.na kukemea udini sijasikia hoja yake ya msingi juu ya maktaba mbovu wa bandari ambao ndiyo chanzo Cha yote haya. Alipaswa atoe way foward siyo ngonjera na masimango.
Mpaka Maaskofu wanatoa waraka im.sure wamejirizisha pasipo shaka kwamba serikalii bado inataka muwaburuza wananchi kwenye uwekezaji huu.
Kwa hiyo atoe maoni yke tumsikie