Kikawaida kulingana na maandiko umri wa binadamu kuishi ni miaka 70, kwa huyu Mzee wetu nadhani amefariki akiwa na 83, sio mbaya tumshukuru Mungu kwa kumuweka hadi leo hii, yeye ndiye mtoaji na ndiye anayetoa pale anapoamua. Sisi ni mavumbi tu
RIP
Kaizer; Sijui ni maandiko gani you're refering to....However life expectancy sehemu nyingi duniani sspecially zile ziliozendelea ni miaka 70.
Ambayo tukirudi kwenye pointi bado ni michache sana na ndio maana tuwe happy as much as we can for as life is too short.
Inasemekana kama ukiishi kwa miaka sabini basi minimally unalala kwa miaka 30,sasa miaka 70 uliyoishi ukiondoa 30 ya kulala unabakiwa na 40.
Kwenye hiyo miaka 40 unaambiwa utoe miaka 18 as a minor,kwani kwa miaka 18 ndani ya maisha yako wewe ni mtoto,na huwezi kujiamulia mambo yako wewe mwenyewe kwa uhuru,so kwenye 40-18,unabakiwa na miaka 22 tu.
Kwenye hiyo miaka 22,unaambiwa miaka 10 ni ya matatizo kama magonjwa nk....Hapo unabakiwa na miaka 12 tu.
Hiyo miaka 12,assume hujafungwa jela hata siku moja na kwamba hukulala kwa zaidi ya muda unaozidi miaka 30,na matatizo na magonjwa kwa kipindi chote hayakuzidi miaka 10 ilhali jela hujaonja hata siku moja.
Kwa kifupi life is too short,we as human beings are never perfect,and so therefore we should never strive for perfection.......We should strive for exellence rather than perfection....As they say "Hujafa Hujaumbika"
Sote tumo safarini,and not much.In this ceremonial,we should celebrate his life for he has strived for exellence during his life tenure!
Rest In Peace Ndugu Rashid Mfaume Kawawa and the Nation will remember you for what you have done for it and not what it has done for you.