It pains alot!!!!!!!!!!
Kweli imenigusa sana,
Nimedondosha Mchozi maana huyu Baba ndio kimbilio letu watu wa Kusini.
Sasa itakuwaje,
Mungu amemchukua sekunde chache kabla ya Mwaka mpya.
Yaani Taifa linaanza mwaka mpya kwa Msiba Mkubwa kama huu.
kweli Hujafa Hujaumbika.
Jamani tuwe waangalifu Kwa muda huu mfupi ulio baki.
Watakao uona mwaka huu jamani tutumiane hata sms tuu.
Ahsanteni wanandugu,
Benno
+255 713 092 952
GODBLESS ALL WHO WILL WISH ME A HAPPY NEW YEAR 2010