Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,345
- 10,840
Seriously ...why would you insult me out no wherever... Kama anataka matusi SI tukatukanane huko Dm...Pole sana huku kuna ma stalkers, wao hawana jema na unaloliandika, hapo anakutukana na ID yake,hujui nyingine ngapi anazo tumia kukutukana?,,,,Mimi nataka kuwaomba mods wawe wanafuatilia stalkers , ikigundulika wewe ni stalker unapigwa life ban, we all want to have good time and feel safe while using JF!
Why akiona Comment zangu ndo anaaza kuporomosha mitusi yake