My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Mimi Kuna mtu Alikuja PM...hatukufikia MAKUBALIANO...Ni mwendo wa matusi tu kila Akiona comment zangu...Mara naliwa kimasihara...Mara kahaba...Mara najiuza buguruni...Mara na bwawa la mtera ....MAra nimeshikia Panga anioe yeye haoi Makahaba.......

Nashukuru Mungu moderator wamekuwa wakizifuta baadhi ya comment zaka na mjibu yangu.

Analazimisha Nije na ID mpya....kwakweli
Nimeshangaa Sana na visa vya Huyu mutu
 
Duh! Kuna watu wengine wamekosa manners kabisa. 😳😳😳
Mimi Kuna mtu Alikuja PM...hatukufikia MAKUBALIANO...Ni mwendo wa matusi tu kila Akiona comment zangu...Mara naliwa kimasihara...Mara kahaba...Mara najiuza buguruni...Mara na bwawa la mtera ....MAra nimeshikia Panga anioe yeye haoi Makahaba.......

Nashukuru Mungu moderator wamekuwa wakizifuta baadhi ya comment zaka na mjibu yangu.

Analazimisha Nije na ID mpya....kwakweli
Nimeshangaa Sana na visa vya Huyu mutu
 
Mimi Kuna mtu Alikuja PM...hatukufikia MAKUBALIANO...Ni mwendo wa matusi tu kila Akiona comment zangu...Mara naliwa kimasihara...Mara kahaba...Mara najiuza buguruni...Mara na bwawa la mtera ....MAra nimeshikia Panga anioe yeye haoi Makahaba.......

Nashukuru Mungu moderator wamekuwa wakizifuta baadhi ya comment zaka na mjibu yangu.

Analazimisha Nije na ID mpya....kwakweli
Nimeshangaa Sana na visa vya Huyu mutu
Pole sana, kwa jinsi ninavymheshimu huyu mama, siwezi kusema baya lolote juu yake na nikiona mtu anasema baya nitapambana nae
 
Yh! It happened kwa yoyote yule 'in a lifetime!
1. High school, nilikuwa nikimuona napata mpaka mshtuko [emoji3] ila akaja kunitaka kipindi ambacho nishamuona wa kawaida sanaaaaa..

2. Nilim'crush mtu humu ndani, nikiona ameniqoute nitasmile hapo nakuwa sina tofauti na chizi fresh. Mbaya zaidi ilikuwa mpaka akuqoute aisee inachukua muda... Wonders shall never cease, alivyoanza kunilike na kuniqoute zile feelings zimekufa [emoji10] ila bado iko siku nitakayomwambia 'hapo zamani kidogo palikuwa na moja na mbili.

3. Alinipenda yeye, akanifanya nikampenda boom kitumbua kikaingia mchanga.... Ehehe sitaki kukumbuka vile nili'struggle kumsahau na kumuona wa kawaida. Naishukuru akili ilifanikiwa now nimejifunza zile za mguu nje mguu ndani, Mimi kwanza wengine baadaye...Na'enjoy kwa kweli
Kumbe hii haki ya ku crush sio mimi.peke yangu, shida ni kwamba tu moyo umegoma kumpotezea huyu mwana mama
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom