My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
She is the one Mkuu. Ngoja ninyamaze Mkuu.
BAK najua unampenda huyu mama, i can tell it from your comments, mimi ni mfatiliani mzuri sana na kama nilvyosema nimemfatilia since 2014

All the best bana, mimi amenipiga mute na block juu
 
😂😂😂😂hapana Mkuu usinifikirie hivyo.
BAK najua unampenda huyu mama, i can tell it from your comments, mimi ni mfatiliani mzuri sana na kama nilvyosema nimemfatilia since 2014

All the best bana, mimi amenipiga mute na block juu
 
Kwani ulishawahi kuonana naye? Au ni avatar tu na michango yake ndiyo ilikudatisha? Ukija kubahatika kumuona halafu ugundue ni toto moja refu jeupe somi la Kibarbaig umbo mkatiko utafanyeje wakati umeoa na yeye kaolewa?

Nakwambia tena let it go [emoji16][emoji16][emoji16]
Mnaongea kwa codes ngumu mno! Salimeti fungueni codes japo kidogo tumtambue super wumani pia🤔, ila popote ulipo hongera zako hizi sifa zinamaanisha msaada wako na hekima zako zinawasaidia watu! Keep it up😍
 
Mnaongea kwa codes ngumu mno! Salimeti fungueni codes japo kidogo tumtambue super wumani pia[emoji848], ila popote ulipo hongera zako hizi sifa zinamaanisha msaada wako na hekima zako zinawasaidia watu! Keep it up[emoji7]
Ameniblock sijui hata kama anasoma huu uzi, ningejua na mimi ningemfata PM kwa gia ya msaada labda by this time tungekua pazuri
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..... Sasa Kama Ni Ex....shida yake Ni Nini?

Mbona Mimi sihangaiki kumporomoshea mitusi.....

He just wakes up and chooses violence
Internet bullies...Ni kuwapotezea tu. Na kujifunza tabia za watu wa kuwa nao kwa kuangalia dalili korofi kungali mapema ili kuepuka maumivu kama haya huko mbele ya safari. Na JF hii kwa sasa wengi ni wanafunzi. Kizazi hiki kipya kimekuzwa na mitandao na hakina ethics wala utu kivile. Ni matusi mtindo mmoja, hakuna subira wala kujenga hoja na kuvumiliana. Ni shida sana na inaonekana this bully real hurt you. Pole sana !!!
 
Ninachoweza kusema Mkuu she is very beautiful and her husband is very lucky to have such a beautiful wife, down to earth and excellent manners.
Acha tu mkuu, natamani hata angeonekana kwenye huu uzi japo hata kulike ningesuuzika moyo sana ila ndio kwanza ameniblock kabisa, moyo unaniumaaa
 
Internet bullies...Ni kuwapotezea tu. Na kujifunza tabia za watu wa kuwa nao kwa kuangalia dalili korofi kungali mapema ili kuepuka maumivu kama haya huko mbele ya safari. Na JF hii kwa sasa wengi ni wanafunzi. Kizazi hiki kipya kimekuzwa na mitandao na hakina ethics wala utu kivile. Ni matusi mtindo mmoja, hakuna subira wala kujenga hoja na kuvumiliana. Ni shida sana na inaonekana this bully real hurt you. Pole sana !!!
Just imagine mtu aaanze kukutana tu ...after seeing your comments...

Namshangaa namuona Kama mgonjwa wa Akili hivi
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom