Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,654
- 68,608
Ametoa povuu hahahaha
Ametoa povuu hahahaha
dogo kaonewa sana yani, bora hata angekua anajibiwa pm mara moja moja aisee.......!Penye miti......!
Itakuwaje ukipuuzwa kama alivyopuuzwa huyu chalii?
HahahaahKuwa na huruma aisee. Huyu anaweza hata akajidhuru huko aliko
Mwendelezo ambao sijui ulipotokea?
mtende sijawai muona hata akitumia emoj ya aina yoyote ileMtende amekuja kujibu???
kavaa sura ya dagaa mazima!.....Mtende amekuja kujibu???
dogo kaonewa sana yani, bora hata angekua anajibiwa pm mara moja moja aisee.......!
Huyu niliemquote namjua na huu uzi nimeanzisha kwa ajili yake
Eti sasa mmoja kaoa mwingine kaolewakavaa sura ya dagaa mazima!.....
dina, mshaurini mwenzenu aje kumpooza jamaa yetu, asije akajinyonga
ukichunguza vizuri watu wa aina hiyo huwa wanakua na changamoto flani zinazowafanya wasiwe huru sana hata kwenye majukwaa yenye privacy kubwa kama hapa!mtende sijawai muona hata akitumia emoj ya aina yoyote ile
mama katili sana huyo
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
kabisa mkuu, tusijempoteza mwanaume mwenzetu!Mshaurini asije tu akajidhuru, walio karibu naye wahakikishe ulinzi.
Sawa mkuu nmekuelewa na najua unavyojihisi, ila you are a man potezea tu kwn ushapenda wangapi mkuu mpk ss? We mcheki tena PM akizingua achana naye cz wapo hivyo hawa viumbe, ukimkazia sn atakusumbua ila uki calm down utashangaa cku PM hiyoo "mambo".Usizungumze jambo.ambalonhuna uhakika nalo, na usimvunjie mtu heshima yake kwa sababu unataka kufurahisha genge
Una matatizo wewe si bure, mimi nadhani mtende yupo busy na huwa anasocialize hapa kama tu akiona kuna ulazima na sio kwamba kuna jambo linamzuia au ana tatizoukichunguza vizuri watu wa aina hiyo huwa wanakua na changamoto flani zinazowafanya wasiwe huru sana hata kwenye majukwaa yenye privacy kubwa kama hapa!
unaweza kuta bidada ana bonge la disorder ambayo inamtesa kisaikolojia ndani kwa ndani
Mimi nina crush wangu humu wewekabisa mkuu, tusijempoteza mwanaume mwenzetu!
au tumtume Saint Anne akampe kampani japo kumpooza mwamba