My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Sawa mkuu nmekuelewa na najua unavyojihisi, ila you are a man potezea tu kwn ushapenda wangapi mkuu mpk ss? We mcheki tena PM akizingua achana naye cz wapo hivyo hawa viumbe, ukimkazia sn atakusumbua ila uki calm down utashangaa cku PM hiyoo "mambo".
Alishaniblock
 
Eti sasa mmoja kaoa mwingine kaolewa
hii mambo imenikumbusha kipindi hicho tunatongoza tusiowajua kwa njia ya simu kisa sauti imekuvutia...... siku ya kuonana unamtoroka stend maana mtu ni kituko[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Una matatizo wewe si bure, mimi nadhani mtende yupo busy na huwa anasocialize hapa kama tu akiona kuna ulazima na sio kwamba kuna jambo linamzuia au ana tatizo

Wivu unakusumbua mbuzi wee
pole sana mkuu, nayaelewa unayoyapitia!
 
Basi epuka sana kukaa peke yako, pia usiwe karibu na kamba au vitu vyenye Ncha Kali... haya maisha tu.
Sawa nimekuelewa
Maxence Melo Moderator naombeni mnisaidie kuufunga huu uzi, member alietajwa kwenye huu uzi atakwazika na nadhani itakua sio vizuri huu uzi kuendelea, naomba mnisaidie kuugunga kwa sababu pia umekiuka malengo ya uzi wenyewe
Asanteni
 
Hawezi kuja, naogopa asije akaanzisha uzi kuwaomba mods waufute huu uzi hapa, najisikia vibaya natamani niwaombe mods waufute maana nahisi amekwazika, hajapay attention at all

You’re not a man enough, tukubaliane hilo kwanza kisha tuone namna sahihi ya kukusaidia.

Unaishije kwa hofu namna hii?
 
You’re not a man enough, tukubaliane hilo kwanza kisha tuone namna sahihi ya kukusaidia.

Unaishije kwa hofu namna hii?
Hofu yangu ni kwamba huyu dada ni mke wa mtu na alishaweka wazi wapa jukwaani na anaonekana ni mtu ambae yupo commited kwenye ndoa yake,kitendo cha yeye kuupotezea tu huu uzi basi si sign tosha kwamba amepuuza na hana muda

Wachangiaji hapa kila mtu anaongea analojisikia pasipo kuconsider upande wa pili wa muhusika, wengine wanamvunjia heshima ilhali yeye amekaa kimya na wengine wanaongea mambo ambayo hayapo

Mimi binafsi sikuanzisha huu uzi kwa lengo hilo bali kwa lengo la kuwatakia wale tunaowacrush heri ya siku ya wanawake

Unadhani ni sahihi huu uzi kuendelea kuwepo?
 
unadhani hata huyo mtende ana interest na ww??

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Angekua na interest na mimi mkuu asingeniblock na anenipa nafasi tangu mwanzo nilipoanza kumtumia pm, ila amekua akinipuuza na hajawahi kunijibu pm hata moja, mbaya zaidi alipoona huu uzi akapiga block mbaya

Nina uhakika hana interest ila niliweka huu uzi ili tu kuelezea hisia zangu kwake
 
Anaanzaje, sana sana ataripoti kwa mods tu kwamba kakosewa heshima... yupo siriazi sana na haya maisha utafikiri ni yake!
Acha upuuzi basi jombaaa, kwa hiyo unataka awe na character za kilevi kama za kwako?
 
Mkuu Malume ulishaga wahi kuona piche yake na ukajiaminisha fika yeye ni mwanamke?

Hii ni jamiiforum ujue

Fake Id na fake Avatar[emoji1]

Unaweza kuta hiyo id uliyoizimikia inamilikiwa na mwanaume[emoji1]

Natania tu.......
Wewe soma commwnts usepe
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom