Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Hayo ni mawazo yako, sina haja ya kukupinga.
We kila mkipigwa za uso unamsingizia chakubanga. Kwani ile nyomi iliyorudi Ccm hukuiona katika Tv?Kama ulikuwepo na siyo hicho kijarida cha chakubanga
In God we Trust
We kila mkipigwa za uso unamsingizia chakubanga. Kwani ile nyomi iliyorudi Ccm hukuiona katika Tv?
Tv ipi kwa mfano?
In God we Trust
Mkuu ebu tuambie na faida kwa mtanzania, mkulima,mfanyabiashara nkMbunge wa ukonga mh Mwita Waitara amepokea wanachama wapya zaidi ya 1400 waliojiunga na CCM wakitokea Chadema na vyama vingine vya upinzani.
Waitara ameweka historia ya kuwa kiongozi wa kwanza mkoani Mara na pengine Tanzania nzima kwa kuweza kupokea " Lundo" la wapinzani wanaojiunga CCM kwa wakati mmoja.
Kadhalika Waitara ambaye pia ni naibu waziri wa Tamisemi ametoa onyo kwa wanasiasa wote wanaotoa taarifa za ugonjwa wa Corona kinyume cha utaratibu waache mara moja vinginevyi watachukuliwa hatua.
Source Channel ten habari.
Maendeleo hayana vyama!
Wapinzani wanauwawa ,Maalim Seif alishanda Uchaguzi huko Zanzibar, Ben Saanane na Mawazo waliuwawa...mnataka tusifie nini..Ilisikika sauti ya Waitara Bungeni akiwa CHADEMA...Huyu ametutuhumu ccm kuuwa na kumnyanganya ushindi mgombea wa CUF...
Badilisha santuri, hii imeshachosha baada ya kurudiwa rudiwa mara nyingi.Wapinzani wanauwawa ,Maalim Seif alishanda Uchaguzi huko Zanzibar, Ben Saanane na Mawazo waliuwawa...mnataka tusifie nini..Ilisikika sauti ya Waitara Bungeni akiwa CHADEMA...Huyu ametutuhumu ccm kuuwa na kumnyanganya ushindi mgombea wa CUF...
Wewe ni mpuuzi.. Jinai inakufa? Ipo siku atatueleza jinsi gani CCM tulimnyanganya ushindi Maalim Seif,atueleze ni lini na wapi wanaccm walimuua Ben 8 na Mawazo?.Apo tu ndiyo tunataka alete ushaidi .Badilisha santuri, hii imeshachosha baada ya kurudiwa rudiwa mara nyingi.
Huo wimbo endeleeni kuucheza hapo ufipa. Mkichoka mtaacha.Wewe ni mpuuzi.. Jinai inakufa? Ipo siku atatueleza jinsi gani CCM tulimnyanganya ushindi Maalim Seif,atueleze ni lini na wapi wanaccm walimuua Ben 8 na Mawazo?.Apo tu ndiyo tunataka alete ushaidi .
kwan Heche ana hati miliki ya hilo jimbo?Waitara angesahau tu kuhusu swala la ubunge Tarime hawezi kumng'oa Heche. hizo pesa anazotumia kuharibu Tarime angewekeza pengine hata kwenye biashara ingemlipa kuliko kusaka ubunge ambao hawezi kupata.
hana lakini mara mia heche kuliko waitara. heche alichofanya kinaonekana waitara kafanya nini Ukonga?kwan Heche ana hati miliki ya hilo jimbo?
Tarime sio ukonga
Hakuna akiwa chadema Hakuna akiwa ccm,ukonga ndilo jimbo lenye barabara mbovu kuliko yote dar,mvua zikinyesha aliye nyumbani ubaki nyumbani aliye nje ubakia njehana lakini mara mia heche kuliko waitara. heche alichofanya kinaonekana waitara kafanya nini Ukonga?