Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,949
- 103,302
Mwisho October 2020!
Ni kweli, ila sio kwa kura za wananchi, bali ni kwa madaraka ya rais yanayotumika vibaya.
Mwisho October 2020!
Vipi wamesharuhusu kufanya mikutano?Mbunge wa ukonga mh Mwita Waitara amepokea wanachama wapya zaidi ya 1400 waliojiunga na CCM wakitokea Chadema na vyama vingine vya upinzani.
Waitara ameweka historia ya kuwa kiongozi wa kwanza mkoani Mara na pengine Tanzania nzima kwa kuweza kupokea " Lundo" la wapinzani wanaojiunga CCM kwa wakati mmoja.
Kadhalika Waitara ambaye pia ni naibu waziri wa Tamisemi ametoa onyo kwa wanasiasa wote wanaotoa taarifa za ugonjwa wa Corona kinyume cha utaratibu waache mara moja vinginevyi watachukuliwa hatua.
Source Channel ten habari.
Maendeleo hayana vyama!
Alishaanza ndo maana mpaka sasa yupo miongoni mwa waliogoma kuunga mkono juhudi.
Kweli CCM itabaki zilipendwa na Chama Tawala 2020 - 2025! Na Chadema kitakuwa chama gani wakati huo?Mtahangaika sana, ila CCM itabaki kuwa ni zilipendewa!!!
Mbunge wa ukonga mh Mwita Waitara amepokea wanachama wapya zaidi ya 1400 waliojiunga na CCM wakitokea Chadema na vyama vingine vya upinzani.
Waitara ameweka historia ya kuwa kiongozi wa kwanza mkoani Mara na pengine Tanzania nzima kwa kuweza kupokea " Lundo" la wapinzani wanaojiunga CCM kwa wakati mmoja.
Kadhalika Waitara ambaye pia ni naibu waziri wa Tamisemi ametoa onyo kwa wanasiasa wote wanaotoa taarifa za ugonjwa wa Corona kinyume cha utaratibu waache mara moja vinginevyi watachukuliwa hatua.
Source Channel ten habari.
Maendeleo hayana vyama!
Uongo uko wapi bwashee?!Amemaliza yale mashtaka yake? Why useme uongo?
I see kama ndio hivi itakuwa hatari.Chadema inaenda kufa. Any way kuna ka kalaana kanawatafuna.Mwisho October 2020!
Itakuwa kama tlpKweli CCM itabaki zilipendwa na Chama Tawala 2020 - 2025! Na Chadema kitakuwa chama gani wakati huo?
Mwambie mwenyekit wako aanze yeye maana ccm ilishakufa.
Mwenyekiti wake alisema,Waitara alinunuliwa kwa bei kama ya dagaa wa mwanza ambao huwa hawana bei kubwa.Amemaliza yale mashtaka yake? Why useme uongo?
Hahahaaaa........dagaa wa mwanza wanatengenezea chakula cha kuku!Mwenyekiti wake alisema,Waitara alinunuliwa kwa bei kama ya dagaa wa mwanza ambao huwa hawana bei kubwa.
Wanasiasa wamepagawa!
Ulitaka source iwe ipi tanzania daima au
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk
Hizo ngonjera walianza wengi sana, kina Wasira na kina Kombani lkn leo hii Kwisha habari zaoMwisho October 2020!
Wanunulie
Wengine wanalala kwenye miamba yabisi
Ukiiga lazima udondokee kisogoHiyo inaitwa iga ufe
In God we Trust