Mwigulu Awaonya Wanaoshabikia CHADEMA Iramba

Mwigulu Awaonya Wanaoshabikia CHADEMA Iramba

Yule kiongozi wa siasa chafu na mbunge wa iramba amesema lowassa atakuwa raisi 2015 akiongea ktk kikao cha watu wa iramba source mimi mwenyewe.Kwa hiyo ndugu mwigulu yumo ktk siasa za makundi
 
Kwa hiyo kumbe ni kikao cha wanyiramba wana ccm na si wanyiramba wote, kama ni hivo basi iramba imepatwa kwelikweli!
 
Mwigulu ni pacha wa shetani. Hakuna chema kinachotoka kwa shetani au pacha wake.
 
İvi İramba ipo katka nchi gani?Kama Tz hii anapoteza muda ansmtisha nani Nchi hii ipo huru kwa nini awatishie wananchi hivyo Huko ni kuvunja katiba ya nchi .tutaona atatufanyanini likitokea lolote baya Mwugulu lazima awajibike
 
Mwigulu bila kutamka CDM angalau mara tatu kwa siku kama panadol 2x3x7 anakuwa mgonjwa mahututi
na hapo ndipo anakosea angebadili uelekeo aanze na CUF, NCCR, n.k sasa mungu alivyomkubwa kitakachotokea atakuja kuwatukana hao hao CCM , ndiyo ilivyo theory ya mtu wa kubwa bwaja . na siku si nyingi atamtukana tu muheshimiwa JK
 
inaonekana huko Iramba Chadema inasambaa kwa kasi sana, mbona anaweweseka huyo Mwigulu.!!
 
KUKOSA KUJIAMINI kila dakika kuitaja CHADEMA chama tishio du kweli CHADEMA kinawafanya watu wasilale usingizi mzuri anaota kila dakika CHADEMA kimeshinda si kuota ni kweli ya baadae hiyo.
 
Mbona vitisho lakini? Halafu huyu si amekataliwa kuingilia kazi za polisi? Eti baya likiwakuta wasiombe msaada serikalini...ni baya lipi alikuwa ana maanisha
......alikuwa anamaanisha watakaoipenda Chadema watarushiwa mabomu na kumwagiwa Tindikali kama alivyommwagia Musa Tesha wa Igunga kisha kuwasingizia Chadema.
 
Mwigulu ana matatizo sana,suala la maendeleo linahusiana vipi na uchadema na uccm?kwani kwenye utoaji kodi kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu huwa kuna kuulizwa kuhusu vyama?
Anataka wana Iramba waamini kwamba pesa za maendeleo zinatoka kwenye account ya CCM au?
Namsikitikia kwa ujinga wake usiojificha.
 
Mwigulu hivi hujui"mtumzima huwa hatishi nyau" Watananza nia wezangu kama mnavyo shuhudia maneno ya viongoz wa c£m hawana hoja za kuli jenga taifa ,hebu wasikile hata Bungeni jinsi wanavyo ongea utumbo tu! Eti "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" maisha bora kwavitisho kumbukeni wa Tz wamezinduka
 
Duh! Mwigulu ingawa sikufahamu lakini chadema umewaweza. Maana yake hawapati usingizi kwa sababu yako, na wakifanikiwa kusinzia tuu wanaota jinamizi la mwigulu linawakaba.

Mkuu, nimependa style yako ya kuona, sijui we unatazamaje, macho yangu mimi yananionesha anaemwogopa mwenzie sio CHADEMA ila mwigulu na ccm ndio wanaiogopa CDM, sababu ni hi, yeye yupo kwenye kikao for his part, kiongozi wa wilaya yupo na tena yupo na mbunge msataafu na ni wa chama hicho hicho, kwenye hicho kikao badala ya kupanga mikakati ya maendeleo unatahadharisha watu na CDM, hivi hapo nani mwoga? Tumia ubongo walau kidogo tu na jibu utalipata.

Anyway, back to what has said, hivi wakijiunga na CDM watapata matatizo gani? Arusha si alisema the same na watu wakapigwa mabomu? Muuaji ameisha jidhihirisha kwa maa nyingine tena, nashangaa polisi hawamkamati!
 
pier min mare...mkuu kiba nimeipenda hiyo sentesi ya mwisho

quote_icon.png
By Kiba

Mwingulu ni juha wa taifa. Sundumeru mwingulu.

Ondoch Mingi madun'g chul. Nyieno ofuwo kaguok............Wamanyneuru ajuoga ochuade ndagla. Akya ka Odemba jabilo pod ngima?
 
Duh! Mwigulu ingawa sikufahamu lakini chadema umewaweza. Maana yake hawapati usingizi kwa sababu yako, na wakifanikiwa kusinzia tuu wanaota jinamizi la mwigulu linawakaba.

Ni kweli ametuweza sana ndiomaana alipoweka kambi Arusha Chadema tukachukua kata zote 4.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
CCM imekuwa ikiwatishia wananchi kukiunga mkono la sivyo watakosa fursa za kimaendeleo. Labda wana-Iramba wamwambie Mwigulu awaeleze jinsi wana-Rombo wanavyofaidika na maendeleo yanayopelekwa kule na CHADEMA kupitia Mbunge wao Joseph Selasini ambaye ni kaka yangu. Ninavyomfahamu kaka yangu huyu, ni mimi peke yangu mwenye ruksa ya kumwita Thelathini. Kwa heshima na taadhima amekubali utani huu.

Wananchi wa Rombo, Mbeya Mjini, Iringa Mjini, Kawe, Ubungo na kwingineko ambako CHADEMA imechukua majimbo hayo, basi, dhahiri kuna maendeleo. Kwingineko, wananchi wanaendelea kulia na kusaga meno, wakijuta kuiuzia CCM kura zao kwa bei ya buku tano, kilo mbili za mchele na sukari, fulana, kofia, khanga na vitenge!

Ole wenu wana-Iramba mkiichagua CCM!
 
Last edited by a moderator:
......alikuwa anamaanisha watakaoipenda Chadema watarushiwa mabomu na kumwagiwa Tindikali kama alivyommwagia Musa Tesha wa Igunga kisha kuwasingizia Chadema.

Kwetu watu kama Mwigulu wanatumiwa Radi na mizee ya TUNGULI ambayo ulipuka kama bomu la hiroshima nagasaki. Haponi mtu....Yaani ukiweka coordinates, jumba lote linapigwa na precision
 
Ni kweli ametuweza sana ndiomaana alipoweka kambi Arusha Chadema tukachukua kata zote 4.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Chadema kujisifia kushinda Arusha ni sawa na CUF wajisifie kushinda Pemba, au CCM wajisifie kushinda bagamoyo
 
Ndio maana nikasema huyu jamaa si mwanasiasa ila yupo tu ili apunguze ukali wa maisha....
 
Mbona vitisho lakini? Halafu huyu si amekataliwa kuingilia kazi za polisi? Eti baya likiwakuta wasiombe msaada serikalini...ni baya lipi alikuwa ana maanisha
Mkuu mbona wanasema muhusika ni msomi mzuri tu, swali ni je ni kweli alitoa vitisho au watu wanamsingizia!! I am just curious.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom