JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,156
- 3,626
Mbona vitisho lakini? Halafu huyu si amekataliwa kuingilia kazi za polisi? Eti baya likiwakuta wasiombe msaada serikalini...ni baya lipi alikuwa ana maanisha
ni kama anataka kuwafikishia ujumbe kuwa ukiwa ccm hata ukifanya biashara ya kulevya hutakamatwa na kwa hiyo utakuwa tajiri, ukimwagia watu tindikali ndio cheo kinapanda!! MWIGULU KAFILISIKA KILA IDARA na mbaya zaidi hajitambui kuwa hata ndani ya cha chake hawampendi kabisa na kwamba ujeri wake wote mwisho 2015.Dhaifu akiondoka na faili lake linatupwa huko.