Umechambuaaaaaaa hili ndio ufafanuzi wa utafiti wako?.... Halafu kwa mantiki hii isiyo na "depth" unaamini kabisa kabisa hauna chembe ya udini .....! ilhali matokeo ya utafiti wako yanajidhihirisha wazi wazi kuwa ni yakufikirika na wewe mwenyewe ndiyo mchochezi...!
Km wewe ndiyo msomi tegemezi wa kukilinda CCM basi...kazi tunayo!!!$???&&!!
Sisi km watanzania tunayo safari ndefu saaaana ya kuufikia ummoja wa kitaifa....HAMY-D anaamini aliowataja siyo Watanzani na hawana sifa ya kuongoza au kuwa na chama.
HAMY-D mara kadhaa amekiita CDM chama cha magaidi ... na hapa ametudhihirishia kuwa anamaana gani....kawatenga watu wa imani moja aka waita ndio wenye CHADEMA ... ukihuisha na imani ya HAMY-D kuwa CDM ni magaidi ni dhahiri unapata picha anawaita watu wa imani fulani ndio hao magaidi ... HAMY-D acha kutugawa hebu tuijadili siasa tuachane na Ubaguzi wa kiimani hauna tija.
Hivi Kuna wakati waliberali hamfahamiani eeeh. Kwa ukilaza Wako emeelewa kinyume, hebu fikiria kwenye huo mkutano Chadema hawakuwepo but stori zote za Mwigulu zikawa kuhusu Chadema still wewe kilaza unasema anainyima usingizi. Jakombe ukomborewe kijana.
Tukiwa kama wana Iramba eneo la Urafiki Club, Ukumbi wa Nyangumi leo jioni 03/08/2013. Bwana Mwigulu Nchemba amewaonya wana Iramba Kuishabikia CHADEMA akisema kwamba, yeyote atakayeshabikia CHADEMA atakuwa anajitenga na maendeleo, na yatakayompata asimlaumu yeyote wala kuiomba serkilali msaada wa aina yeyote, kwa sababu wameonywa mapema lakini waka kaidi.Alisisitiza kwamba CHADEMA ni chama Cha Kighaidi. Rafiki yao Zitto Ameshindwa itakuwa wao !
Mwigulu Aliendelea kusema kwamba Iramba imebarikiwa kupata kiongozi wa ngazi ya juu kwenye chama tawala, kwa hiyo kero zao zote zitasikizwa. Zaidi ya wadau wachache, Kikao kiliudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda, pamoja na Ndugu Kilimba ambaye amewahi kuwa mbunge wa Iramba Magharibi 2005-2010
![]()
Kushoto ni Mh.Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda,Mwigulu na ,Kulia ni Ndugu Kilimba
acha kujaza mavi humuumechambuaaaaaaa hili ndio ufafanuzi wa utafiti wako?.... Halafu kwa mantiki hii isiyo na "depth" unaamini kabisa kabisa hauna chembe ya udini .....! Ilhali matokeo ya utafiti wako yanajidhihirisha wazi wazi kuwa ni yakufikirika na wewe mwenyewe ndiyo mchochezi...!
Km wewe ndiyo msomi tegemezi wa kukilinda ccm basi...kazi tunayo!!!$???&&!!
Sisi km watanzania tunayo safari ndefu saaaana ya kuufikia ummoja wa kitaifa....hamy-d anaamini aliowataja siyo watanzani na hawana sifa ya kuongoza au kuwa na chama.
Hamy-d mara kadhaa amekiita cdm chama cha magaidi ... Na hapa ametudhihirishia kuwa anamaana gani....kawatenga watu wa imani moja aka waita ndio wenye chadema ... Ukihuisha na imani ya hamy-d kuwa cdm ni magaidi ni dhahiri unapata picha anawaita watu wa imani fulani ndio hao magaidi ... Hamy-d acha kutugawa hebu tuijadili siasa tuachane na ubaguzi wa kiimani hauna tija.
Anamaanisha baya kama lile la soweto kule Arusha? Maana aliwaonya wasiende kwenye mikutano ya Chadema na walipokaidi akawatuma polisi wakawalipue kwa bomu. Huyo ndiye gaidi namba moja.Mbona vitisho lakini? Halafu huyu si amekataliwa kuingilia kazi za polisi? Eti baya likiwakuta wasiombe msaada serikalini...ni baya lipi alikuwa ana maanisha
Tukiwa kama wana Iramba eneo la Urafiki Club, Ukumbi wa Nyangumi leo jioni 03/08/2013. Bwana Mwigulu Nchemba amewaonya wana Iramba Kuishabikia CHADEMA akisema kwamba, yeyote atakayeshabikia CHADEMA atakuwa anajitenga na maendeleo, na yatakayompata asimlaumu yeyote wala kuiomba serkilali msaada wa aina yeyote, kwa sababu wameonywa mapema lakini waka kaidi.Alisisitiza kwamba CHADEMA ni chama Cha Kighaidi. Rafiki yao Zitto Ameshindwa itakuwa wao !
Mwigulu Aliendelea kusema kwamba Iramba imebarikiwa kupata kiongozi wa ngazi ya juu kwenye chama tawala, kwa hiyo kero zao zote zitasikizwa. Zaidi ya wadau wachache, Kikao kiliudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda, pamoja na Ndugu Kilimba ambaye amewahi kuwa mbunge wa Iramba Magharibi 2005-2010
![]()
Kushoto ni Mh.Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda,Mwigulu na ,Kulia ni Ndugu Kilimba
Arusha aliwaambia hivi hivi ,watu wakalipuliwa na bomu ..huko sijui anataka kuwafanya nini ndugu zake huyu Pimbi..Mbona vitisho lakini? Halafu huyu si amekataliwa kuingilia kazi za polisi? Eti baya likiwakuta wasiombe msaada serikalini...ni baya lipi alikuwa ana maanisha
CHADEMA ikichukua Nchi natamani nipate nafasi katika Wizara ya Mambo ya Ndani na ninawaahidi wanaCHADEMA kwamba sitawaangusha,Kati ya watu nitakaodili nao wa kwanza kabisa lazima awe Mwigulu atakwenda Segerea bila kupitia Mahakamani wakati huo uko Segerea nitakuwa nimemtayarishia mtu maalum (Mnyapara) wa kumshughurikia ili hatimaye auone ukweli kuwa kumbe Duniani kuna Madume na vijidume.Akishawekwa sawa kule baadaye namtoa.Akili yake itakaa sawa baada ya hapo.
Mwingulu ni juha wa taifa. Sundumeru mwingulu.
Bahati mbaya kiji kimemkolea hajui hata majukumu ya serikali ni nini? Hana Leadership Traits... poor CCM ....Mbona vitisho lakini? Halafu huyu si amekataliwa kuingilia kazi za polisi? Eti baya likiwakuta wasiombe msaada serikalini...ni baya lipi alikuwa ana maanisha